Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Yohana 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Yohana—Yaliyomo

      • Sisi ni watoto wa Mungu (1-3)

      • Tofauti kati ya watoto wa Mungu na watoto wa Ibilisi (4-12)

        • Yesu atazivunja kazi za Ibilisi (8)

      • Mpendane (13-18)

      • Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu (19-24)

1 Yohana 3:1

Marejeo

  • +Yoh 3:16
  • +Yoh 1:12, 13
  • +Yoh 15:19
  • +Yoh 17:25

1 Yohana 3:2

Marejeo

  • +Ro 8:15, 16; Efe 1:5
  • +1Ko 15:49; Flp 3:20, 21

1 Yohana 3:3

Marejeo

  • +2Ko 7:1

1 Yohana 3:5

Marejeo

  • +Law 16:21, 22; Isa 53:11; Yoh 1:29

1 Yohana 3:6

Marejeo

  • +Ro 6:12

1 Yohana 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tangu alipoanza.”

  • *

    Au “aangamize.”

Marejeo

  • +Mwa 3:14; Yoh 8:44
  • +Yoh 16:33; Ebr 2:14

1 Yohana 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, mbegu inayoweza kuzaa, au inayotokeza matunda.

Marejeo

  • +1Yo 5:18
  • +1Pe 1:23

1 Yohana 3:10

Marejeo

  • +1Yo 4:8

1 Yohana 3:11

Marejeo

  • +Yoh 13:34; 1Yo 2:7; 2Yo 5

1 Yohana 3:12

Marejeo

  • +Mwa 4:8
  • +Mwa 4:5
  • +Mwa 4:4; Ebr 11:4

1 Yohana 3:13

Marejeo

  • +Mt 5:11; Yoh 15:18; 2Ti 3:12

1 Yohana 3:14

Marejeo

  • +Yoh 5:24; Ro 8:2
  • +1Yo 2:10
  • +Yoh 3:36

1 Yohana 3:15

Marejeo

  • +Mt 5:21, 22; Efe 4:31
  • +Mwa 9:6; Hes 35:31; Ufu 21:8

1 Yohana 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yake.”

  • *

    Au “nafsi zetu.”

Marejeo

  • +Yoh 3:16; 13:1; 15:13
  • +Yoh 13:15; Ro 16:3, 4; 1Th 2:8

1 Yohana 3:17

Marejeo

  • +Kum 15:7, 8; Lu 3:11; Ro 12:13; Yak 2:15, 16; 1Yo 4:20

1 Yohana 3:18

Marejeo

  • +Ro 12:9
  • +Yak 1:22; 2:17
  • +1Pe 1:22

1 Yohana 3:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tutaishawishi; tutaisadikisha.”

1 Yohana 3:20

Marejeo

  • +Ebr 4:13

1 Yohana 3:21

Marejeo

  • +Ebr 4:16; 1Yo 5:14

1 Yohana 3:22

Marejeo

  • +Zb 34:15; Mt 7:8; 1Pe 3:12

1 Yohana 3:23

Marejeo

  • +Yoh 6:29
  • +Yoh 13:34

1 Yohana 3:24

Marejeo

  • +1Yo 2:24
  • +Yoh 14:23

Jumla

1 Yoh. 3:1Yoh 3:16
1 Yoh. 3:1Yoh 1:12, 13
1 Yoh. 3:1Yoh 15:19
1 Yoh. 3:1Yoh 17:25
1 Yoh. 3:2Ro 8:15, 16; Efe 1:5
1 Yoh. 3:21Ko 15:49; Flp 3:20, 21
1 Yoh. 3:32Ko 7:1
1 Yoh. 3:5Law 16:21, 22; Isa 53:11; Yoh 1:29
1 Yoh. 3:6Ro 6:12
1 Yoh. 3:8Mwa 3:14; Yoh 8:44
1 Yoh. 3:8Yoh 16:33; Ebr 2:14
1 Yoh. 3:91Yo 5:18
1 Yoh. 3:91Pe 1:23
1 Yoh. 3:101Yo 4:8
1 Yoh. 3:11Yoh 13:34; 1Yo 2:7; 2Yo 5
1 Yoh. 3:12Mwa 4:8
1 Yoh. 3:12Mwa 4:5
1 Yoh. 3:12Mwa 4:4; Ebr 11:4
1 Yoh. 3:13Mt 5:11; Yoh 15:18; 2Ti 3:12
1 Yoh. 3:14Yoh 5:24; Ro 8:2
1 Yoh. 3:141Yo 2:10
1 Yoh. 3:14Yoh 3:36
1 Yoh. 3:15Mt 5:21, 22; Efe 4:31
1 Yoh. 3:15Mwa 9:6; Hes 35:31; Ufu 21:8
1 Yoh. 3:16Yoh 3:16; 13:1; 15:13
1 Yoh. 3:16Yoh 13:15; Ro 16:3, 4; 1Th 2:8
1 Yoh. 3:17Kum 15:7, 8; Lu 3:11; Ro 12:13; Yak 2:15, 16; 1Yo 4:20
1 Yoh. 3:18Ro 12:9
1 Yoh. 3:18Yak 1:22; 2:17
1 Yoh. 3:181Pe 1:22
1 Yoh. 3:20Ebr 4:13
1 Yoh. 3:21Ebr 4:16; 1Yo 5:14
1 Yoh. 3:22Zb 34:15; Mt 7:8; 1Pe 3:12
1 Yoh. 3:23Yoh 6:29
1 Yoh. 3:23Yoh 13:34
1 Yoh. 3:241Yo 2:24
1 Yoh. 3:24Yoh 14:23
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Yohana 3:1-24

Barua ya Kwanza ya Yohana

3 Oneni upendo ambao Baba ametuonyesha,+ kwamba tunapaswa kuitwa watoto wa Mungu!+ Na hivyo ndivyo tulivyo. Ndiyo sababu ulimwengu hautujui,+ kwa sababu haumjui yeye.+ 2 Wapendwa, sasa sisi ni watoto wa Mungu,+ lakini bado haijafunuliwa jinsi tutakavyokuwa.+ Tunajua kwamba atakapofunuliwa tutakuwa kama yeye, kwa sababu tutamwona kama alivyo. 3 Na kila mtu aliye na tumaini hili ndani yake hujisafisha,+ kama huyo alivyo safi.

4 Kila mtu aliye na mazoea ya kufanya dhambi anaendelea pia kufanya uasi sheria, na dhambi ni uasi sheria. 5 Mnajua pia kwamba alifunuliwa ili kuondoa dhambi zetu,+ na hakuna dhambi ndani yake. 6 Kila mtu anayekaa katika muungano na yeye hana mazoea ya kufanya dhambi;+ mtu yeyote aliye na mazoea ya kufanya dhambi hajamwona wala kumjua. 7 Watoto wadogo, yeyote asiwapotoshe; mtu anayeendelea kufanya uadilifu ni mwadilifu, kama huyo alivyo mwadilifu. 8 Mtu aliye na mazoea ya kufanya dhambi hutokana na Ibilisi, kwa sababu Ibilisi amekuwa akifanya dhambi tangu mwanzo.*+ Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alifunuliwa, ili avunje* kazi za Ibilisi.+

9 Kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu haendelei kufanya dhambi,+ kwa sababu mbegu* Yake hukaa ndani ya mtu huyo, naye hawezi kuendelea kufanya dhambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+ 10 Watoto wa Mungu na watoto wa Ibilisi ni wazi kwa jambo hili: Yeyote ambaye haendelei kufanya uadilifu hatokani na Mungu, wala yule ambaye hampendi ndugu yake.+ 11 Kwa maana huu ndio ujumbe ambao mmesikia tangu mwanzo, kwamba tunapaswa kupendana;+ 12 si kama Kaini, aliyetokana na yule mwovu akamuua ndugu yake. Na kwa nini alimuua?+ Kwa sababu matendo yake mwenyewe yalikuwa maovu,+ lakini matendo ya ndugu yake yalikuwa ya uadilifu.+

13 Akina ndugu, msishangae kwamba ulimwengu unawachukia.+ 14 Tunajua kwamba tumevuka kutoka kifo mpaka uzima,+ kwa sababu tunawapenda akina ndugu.+ Mtu ambaye hapendi hukaa katika kifo.+ 15 Kila mtu anayemchukia ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji aliye na uzima wa milele ndani yake.+ 16 Sisi tumeujua upendo, kwa sababu huyo alitoa uhai wake* kwa ajili yetu,+ nasi tuna wajibu wa kutoa uhai wetu* kwa ajili ya ndugu zetu.+ 17 Lakini yeyote aliye na mali za ulimwengu huu akimwona ndugu yake akiwa na uhitaji naye akatae kumhurumia, anawezaje kuwa na upendo wa Mungu ndani yake?+ 18 Watoto wadogo, tunapaswa kupendana, si kwa neno au kwa ulimi,+ bali kwa tendo+ na kweli.+

19 Kwa jambo hili tutajua kwamba tunatokana na kweli, nasi tutaihakikishia* mioyo yetu mbele zake 20 kuhusu jambo lolote ambalo huenda mioyo yetu ikatuhukumu, kwa sababu Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu naye anajua mambo yote.+ 21 Wapendwa, ikiwa mioyo yetu haituhukumu, tuna uhuru wa kusema na Mungu;+ 22 na chochote tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake. 23 Kwa kweli, hii ndiyo amri yake: kwamba tuwe na imani katika jina la Mwana wake Yesu Kristo+ na tupendane,+ kama vile alivyotupatia amri. 24 Zaidi ya hayo, mtu anayeshika amri zake hukaa katika muungano na yeye, na yeye katika muungano na mtu huyo.+ Na kupitia roho aliyotupatia, tunajua kwamba anakaa katika muungano pamoja nasi.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki