26 Naye alifanyiza kila taifa la watu kutoka kwa mtu mmoja+ ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ na akaamuru nyakati na kuweka mipaka ya makao ya watu,+ 27 ili wamtafute Mungu, ikiwa watapapasa-papasa wakimtafuta na kwa kweli wampate,+ ingawa, kwa hakika, hayuko mbali na kila mmoja wetu.