2 Zaidi ya hayo, Mungu aliwafanya muwe hai, ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+ 2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo wa ulimwengu huu,+ kulingana na mtawala wa mamlaka ya hewa,+ roho+ ambayo sasa inafanya kazi katika wana wa kutotii.