-
Matendo 18:24, 25Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 Sasa Myahudi aliyeitwa Apolo,+ mzaliwa wa Aleksandria akafika Efeso; alikuwa mwanamume mwenye ufasaha na ujuzi mwingi wa Maandiko. 25 Mwanamume huyu alikuwa amefundishwa* njia ya Yehova,* na akiwa amewaka roho, alikuwa akizungumza na kufundisha kwa usahihi kumhusu Yesu, lakini alifahamu ubatizo wa Yohana tu.
-