2 Kwa maana ikiwa neno lililosemwa kupitia malaika+ lilikuwa hakika, na kila kosa na tendo la kutotii liliadhibiwa kupatana na haki,+ 3 je, sisi tutaponyoka ikiwa tumepuuza wokovu huo mkuu?+ Kwa kuwa ulianza kusemwa kupitia Bwana wetu+ nasi tukathibitishiwa na wale waliomsikia,