Waebrania 2:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Ulivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Kwa kuvitiisha vitu vyote chini yake,+ Mungu hakuacha kitu chochote kisichotiishwa chini yake.+ Ingawa hivyo, bado hatuoni vitu vyote vikiwa vimetiishwa chini yake.+
8 Ulivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Kwa kuvitiisha vitu vyote chini yake,+ Mungu hakuacha kitu chochote kisichotiishwa chini yake.+ Ingawa hivyo, bado hatuoni vitu vyote vikiwa vimetiishwa chini yake.+