-
Waefeso 2:15, 16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Kupitia mwili wake aliufuta uadui, ile Sheria iliyokuwa na amri na maagizo, ili afanye vile vikundi viwili katika muungano na yeye mwenyewe viwe mtu mmoja mpya+ na kufanya amani, 16 na kuvipatanisha kikamili vile vikundi viwili vya watu katika mwili mmoja kwa Mungu kupitia mti wa mateso,*+ kwa sababu alikuwa ameua ule uadui+ kupitia yeye mwenyewe.
-