Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:3
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 3 Alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakamuuliza: “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”*+

  • 1 Timotheo 4:1
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 4 Hata hivyo, neno lililoongozwa na roho linasema* wazi kwamba wakati ujao watu fulani wataiacha imani, wakisikiliza maneno ya uwongo yaliyoongozwa na roho waovu*+ na mafundisho ya roho waovu,

  • 2 Petro 3:3
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Yuda 17, 18
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 17 Lakini ninyi wapendwa, kumbukeni maneno yaliyosemwa zamani* na mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo, 18 jinsi walivyokuwa wakiwaambia: “Wakati wa mwisho kutakuwa na wadhihaki, watakaofuata tamaa zao zisizompendeza Mungu.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki