3 Alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakamuuliza: “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”*+
4Hata hivyo, neno lililoongozwa na roho linasema* wazi kwamba wakati ujao watu fulani wataiacha imani, wakisikiliza maneno ya uwongo yaliyoongozwa na roho waovu*+ na mafundisho ya roho waovu,
17 Lakini ninyi wapendwa, kumbukeni maneno yaliyosemwa zamani* na mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo, 18 jinsi walivyokuwa wakiwaambia: “Wakati wa mwisho kutakuwa na wadhihaki, watakaofuata tamaa zao zisizompendeza Mungu.”+