Matendo 16:1, 2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 16 Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Huko kulikuwa na mwanafunzi aliyeitwa Timotheo,+ mama yake alikuwa Myahudi aliyekuwa mwamini, lakini baba yake alikuwa Mgiriki, 2 na alishuhudiwa vema na akina ndugu huko Listra na Ikoniamu.
16 Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Huko kulikuwa na mwanafunzi aliyeitwa Timotheo,+ mama yake alikuwa Myahudi aliyekuwa mwamini, lakini baba yake alikuwa Mgiriki, 2 na alishuhudiwa vema na akina ndugu huko Listra na Ikoniamu.