Ayubu 29:12, 13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 Kwa maana nilimwokoa maskini aliyelilia msaada,+Pamoja na yatima na yeyote ambaye hakuwa na msaidizi.+ 13 Mtu aliyekaribia kuangamia alinibariki,+Nami niliufanya moyo wa mjane ushangilie.+ Isaya 58:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Ni kumgawia aliye na njaa mkate wako,+Kuwaleta maskini na wasio na makao nyumbani mwako,Kumvisha aliye uchi unapokutana naye,+Na kutowageuzia mgongo watu wako wa ukoo.
12 Kwa maana nilimwokoa maskini aliyelilia msaada,+Pamoja na yatima na yeyote ambaye hakuwa na msaidizi.+ 13 Mtu aliyekaribia kuangamia alinibariki,+Nami niliufanya moyo wa mjane ushangilie.+
7 Ni kumgawia aliye na njaa mkate wako,+Kuwaleta maskini na wasio na makao nyumbani mwako,Kumvisha aliye uchi unapokutana naye,+Na kutowageuzia mgongo watu wako wa ukoo.