Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1:14
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 14 Kwa hiyo Neno akawa mwili,+ akakaa kati yetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu ulio kama wa mwana mzaliwa pekee+ kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa kibali cha Mungu* na kweli.

  • 1 Wakorintho 12:3
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 3 Sasa ningetaka mjue kwamba hakuna mtu yeyote ambaye anaposema kwa roho ya Mungu, husema: “Yesu amelaaniwa!” na hakuna mtu anayeweza kusema: “Yesu ni Bwana!” isipokuwa kwa roho takatifu.+

  • Ufunuo 19:10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 10 Ndipo nikaanguka chini mbele ya miguu yake ili kumwabudu. Lakini ananiambia: “Uwe mwangalifu! Usifanye hivyo!+ Mimi ni mtumwa mwenzako tu na wa ndugu zako walio na kazi ya kutoa ushahidi kumhusu Yesu.+ Mwabudu Mungu!+ Kwa maana kutoa ushahidi kumhusu Yesu ndilo kusudi la unabii.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki