10 Ndipo nikaanguka chini mbele ya miguu yake ili kumwabudu. Lakini ananiambia: “Uwe mwangalifu! Usifanye hivyo!+ Mimi ni mtumwa mwenzako tu na wa ndugu zako walio na kazi ya kutoa ushahidi kumhusu Yesu.+ Mwabudu Mungu!+ Kwa maana kutoa ushahidi kumhusu Yesu ndilo kusudi la unabii.”+