Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 74
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Asali Mungu awakumbuke watu wake

        • Matendo ya Mungu ya wokovu yakumbukwa (12-17)

        • “Kumbuka dhihaka za adui” (18)

Zaburi 74:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Nya 25:1; 2Nya 35:15

Zaburi 74:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “inafuka moshi.”

Marejeo

  • +Omb 5:20
  • +Kum 29:19, 20; Zb 100:3

Zaburi 74:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Likumbuke kusanyiko lako ulilojipatia.”

Marejeo

  • +Kum 9:29
  • +Kum 4:20; 32:9
  • +Zb 48:2; 132:13

Zaburi 74:3

Marejeo

  • +Da 9:17
  • +Zb 79:1

Zaburi 74:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kusanyiko.”

Marejeo

  • +Omb 2:7

Zaburi 74:6

Marejeo

  • +1Fa 6:18, 35

Zaburi 74:7

Marejeo

  • +2Fa 25:9; Isa 64:11

Zaburi 74:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sehemu zote ambazo Mungu anaabudiwa.”

Zaburi 74:10

Marejeo

  • +Zb 13:2; 79:4
  • +Eze 36:23

Zaburi 74:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Uchomoe kutoka katika makunjo ya vazi lako.”

Marejeo

  • +Zb 44:23; Isa 64:12; Omb 2:3

Zaburi 74:12

Marejeo

  • +Kut 15:2; Isa 33:22

Zaburi 74:13

Marejeo

  • +Kut 14:21; Ne 9:10, 11

Zaburi 74:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Zaburi 74:15

Marejeo

  • +Isa 48:21
  • +Yos 3:13

Zaburi 74:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwanga.”

Marejeo

  • +Mwa 1:3, 5; Zb 136:7, 8

Zaburi 74:17

Marejeo

  • +Mdo 17:26
  • +Mwa 8:22

Zaburi 74:18

Marejeo

  • +Isa 52:5

Zaburi 74:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi ya.”

Zaburi 74:21

Marejeo

  • +Zb 12:5
  • +Ezr 3:11

Zaburi 74:22

Marejeo

  • +Zb 89:50, 51; Isa 52:5

Jumla

Zab. 74:utangulizi1Nya 25:1; 2Nya 35:15
Zab. 74:1Omb 5:20
Zab. 74:1Kum 29:19, 20; Zb 100:3
Zab. 74:2Kum 9:29
Zab. 74:2Kum 4:20; 32:9
Zab. 74:2Zb 48:2; 132:13
Zab. 74:3Da 9:17
Zab. 74:3Zb 79:1
Zab. 74:4Omb 2:7
Zab. 74:61Fa 6:18, 35
Zab. 74:72Fa 25:9; Isa 64:11
Zab. 74:10Zb 13:2; 79:4
Zab. 74:10Eze 36:23
Zab. 74:11Zb 44:23; Isa 64:12; Omb 2:3
Zab. 74:12Kut 15:2; Isa 33:22
Zab. 74:13Kut 14:21; Ne 9:10, 11
Zab. 74:15Isa 48:21
Zab. 74:15Yos 3:13
Zab. 74:16Mwa 1:3, 5; Zb 136:7, 8
Zab. 74:17Mdo 17:26
Zab. 74:17Mwa 8:22
Zab. 74:18Isa 52:5
Zab. 74:21Zb 12:5
Zab. 74:21Ezr 3:11
Zab. 74:22Zb 89:50, 51; Isa 52:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 74:1-23

Zaburi

Maskili.* Wa Asafu.+

74 Ee Mungu, kwa nini umetukataa milele?+

Kwa nini hasira yako inawaka* dhidi ya kundi la malisho yako?+

 2 Wakumbuke watu uliojipatia* zamani za kale,+

Kabila ulilokomboa liwe urithi wako.+

Ukumbuke Mlima Sayuni, mahali unapokaa.+

 3 Zielekeze hatua zako kwenye magofu ya kudumu.+

Adui ameharibu kila kitu mahali patakatifu.+

 4 Maadui wako walinguruma ndani ya mahali pako pa mkutano.*+

Wameweka bendera zao wenyewe ziwe ishara humo.

 5 Walikuwa kama watu wanaotumia mashoka kufyeka msitu wenye miti mingi.

 6 Walivunjavunja michongo yake yote+ kwa mashoka na fito za chuma.

 7 Walichoma moto mahali pako patakatifu.+

Walichafua hema la ibada lenye jina lako, wakaliangusha chini.

 8 Wao pamoja na uzao wao wamesema mioyoni mwao:

“Sehemu zote za Mungu za mikutano* zilizo nchini ni lazima ziteketezwe.”

 9 Hatuoni ishara yoyote;

Hakuna tena nabii yeyote,

Na hakuna yeyote miongoni mwetu anayejua hali hii itaendelea hadi lini.

10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kudhihaki mpaka lini?+

Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+

11 Kwa nini unauzuia mkono wako, mkono wako wa kuume?+

Uchomoe kifuani mwako* na kuwaangamiza?

12 Lakini Mungu ni Mfalme wangu tangu zamani za kale,

Yeye anayefanya matendo ya wokovu duniani.+

13 Uliitibua bahari kwa nguvu zako;+

Uliviponda vichwa vya wanyama wakubwa sana wa baharini.

14 Uliviponda vichwa vya Lewiathani;*

Ukawapa watu wamle kama chakula chao, wale wanaokaa jangwani.

15 Ulipasua vijia kwa ajili ya chemchemi na vijito;+

Ulikausha mito inayotiririka daima.+

16 Mchana ni wako, na usiku pia.

Uliumba nuru* na jua.+

17 Uliweka mipaka yote ya dunia;+

Uliumba majira ya kiangazi na majira ya baridi kali.+

18 Kumbuka dhihaka za adui, Ee Yehova,

Jinsi taifa pumbavu linavyodharau jina lako.+

19 Usiwape wanyama wa mwituni uhai wa* njiwa tetere wako.

Usiusahau milele uhai wa watu wako wanaoteseka.

20 Likumbuke lile agano,

Kwa maana sehemu za dunia zenye giza zimejaa makao ya ukatili.

21 Mtu aliyepondwa na asigeuke na kwenda zake akiwa amekata tamaa;+

Watu wa hali ya chini na maskini na walisifu jina lako.+

22 Inuka, Ee Mungu, na utetee kesi yako.

Kumbuka jinsi wapumbavu wanavyokudhihaki mchana kutwa.+

23 Usisahau mambo ambayo maadui wako wanasema.

Kelele za wale wanaokuasi zinapanda juu daima.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki