Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 23
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 23:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Jizuie.”

  • *

    Au “una nafsi iliyojaa tamaa.”

Methali 23:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Acha kufuata uelewaji wako mwenyewe.”

Marejeo

  • +Met 28:20; Yoh 6:27; 1Ti 6:9, 10

Methali 23:5

Marejeo

  • +1Yo 2:16, 17
  • +Met 27:24

Methali 23:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “cha yeyote mwenye jicho ovu.”

Methali 23:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayehesabu katika nafsi yake.”

  • *

    Tnn., “moyo wake hauko pamoja nawe.”

Methali 23:9

Marejeo

  • +Met 9:7; 26:4
  • +Mt 7:6

Methali 23:10

Marejeo

  • +Kum 19:14; Met 22:28

Methali 23:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mkombozi.”

Marejeo

  • +Kut 22:22, 23; Zb 10:14

Methali 23:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mtoto; kijana.”

Marejeo

  • +Met 13:24; 19:18; Efe 6:4

Methali 23:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Methali 23:15

Marejeo

  • +Met 27:11; 3Yo 4

Methali 23:17

Marejeo

  • +Zb 37:1
  • +Zb 111:10; 2Ko 7:1

Methali 23:18

Marejeo

  • +Zb 37:37; Met 24:14

Methali 23:20

Marejeo

  • +Met 20:1; Isa 5:11; Ro 13:13; 1Pe 4:3
  • +Met 28:7; 1Ko 10:31

Methali 23:21

Marejeo

  • +Kum 21:20, 21; Met 21:17

Methali 23:22

Marejeo

  • +Kut 20:12; 21:17; Mt 15:5, 6; Efe 6:1

Methali 23:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Jipatie.”

Marejeo

  • +Flp 3:7, 8
  • +Met 4:5; 16:16

Methali 23:26

Marejeo

  • +Zb 107:43

Methali 23:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mgeni.” Angalia Met 2:16.

Marejeo

  • +Met 22:14

Methali 23:28

Marejeo

  • +Met 7:10, 12; Mhu 7:26

Methali 23:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “macho yaliyochoka.”

Methali 23:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaokusanyika ili kuonjaonja.”

Marejeo

  • +Met 20:1; Efe 5:18

Methali 23:33

Marejeo

  • +Ho. 4:11

Methali 23:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sikuhisi uchungu.”

  • *

    Au “Nitaitafuta divai tena.”

Marejeo

  • +Mwa 19:33

Jumla

Met. 23:4Met 28:20; Yoh 6:27; 1Ti 6:9, 10
Met. 23:51Yo 2:16, 17
Met. 23:5Met 27:24
Met. 23:9Met 9:7; 26:4
Met. 23:9Mt 7:6
Met. 23:10Kum 19:14; Met 22:28
Met. 23:11Kut 22:22, 23; Zb 10:14
Met. 23:13Met 13:24; 19:18; Efe 6:4
Met. 23:15Met 27:11; 3Yo 4
Met. 23:17Zb 37:1
Met. 23:17Zb 111:10; 2Ko 7:1
Met. 23:18Zb 37:37; Met 24:14
Met. 23:20Met 20:1; Isa 5:11; Ro 13:13; 1Pe 4:3
Met. 23:20Met 28:7; 1Ko 10:31
Met. 23:21Kum 21:20, 21; Met 21:17
Met. 23:22Kut 20:12; 21:17; Mt 15:5, 6; Efe 6:1
Met. 23:23Flp 3:7, 8
Met. 23:23Met 4:5; 16:16
Met. 23:26Zb 107:43
Met. 23:27Met 22:14
Met. 23:28Met 7:10, 12; Mhu 7:26
Met. 23:30Met 20:1; Efe 5:18
Met. 23:33Ho. 4:11
Met. 23:35Mwa 19:33
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 23:1-35

Methali

23 Ukiketi kula pamoja na mfalme,

Chunguza kwa makini kilicho mbele yako;

 2 Tia kisu kwenye koo lako*

Ikiwa una hamu kubwa ya chakula.*

 3 Usivitamani vyakula vyake vitamu,

Kwa maana ni vyakula vya udanganyifu.

 4 Usijichoshe kupata utajiri.+

Acha, na uonyeshe uelewaji.*

 5 Ukiutupia jicho, haupo,+

Kwa maana hakika utaota mabawa kama ya tai na kuruka mbali angani.+

 6 Usile chakula cha mtu mchoyo;*

Usivitamani vyakula vyake vitamu,

 7 Kwa maana yeye ni kama mtu anayeweka hesabu.*

“Kula na kunywa,” anakuambia, lakini sivyo anavyomaanisha.*

 8 Utatapika matonge uliyokula

Nawe utakuwa umepoteza maneno yako ya kumsifu.

 9 Usiongee masikioni mwa mpumbavu,+

Kwa maana ataidharau hekima ya maneno yako.+

10 Usiisogeze alama ya kale ya mpaka+

Wala kuingia katika shamba la mayatima.

11 Kwa maana Mtetezi* wao ana nguvu;

Atawatetea dhidi yako.+

12 Ufanye moyo wako uzingatie nidhamu

Na sikio lako maneno ya ujuzi.

13 Usimnyime mvulana* nidhamu.+

Ukimpiga kwa fimbo, hatakufa.

14 Unapaswa kumpiga kwa fimbo,

Ili umwokoe asiingie Kaburini.*

15 Mwanangu, ikiwa moyo wako utakuwa na hekima,

Basi moyo wangu mimi utashangilia.+

16 Utu wangu wa ndani utashangilia

Midomo yako inaposema mambo yaliyo sawa.

17 Moyo wako usiwaonee wivu watenda dhambi,+

Bali mwogope Yehova mchana kutwa,+

18 Kwa maana ndipo utakapokuwa na wakati ujao+

Na tumaini lako halitafutiliwa mbali.

19 Mwanangu, sikiliza uwe na hekima,

Na uuelekeze moyo wako katika njia inayofaa.

20 Usiwe miongoni mwa watu wanaokunywa divai nyingi mno,+

Miongoni mwa wale wanaokula nyama kwa pupa,+

21 Kwa maana mlevi na mlafi watakuwa maskini,+

Na kusinzia kutamvika mtu matambara.

22 Msikilize baba yako aliyekuzaa,

Wala usimdharau mama yako kwa sababu tu amezeeka.+

23 Inunue* kweli wala usiiuze kamwe,+

Pia hekima na nidhamu na uelewaji.+

24 Baba ya mtu mwadilifu hakika atakuwa na shangwe;

Na baba anayemzaa mwana mwenye hekima atamfurahia.

25 Baba yako na mama yako watafurahi,

Na mama aliyekuzaa atakuwa na shangwe.

26 Mwanangu, nipe moyo wako,

Na macho yako yapendezwe na njia zangu.+

27 Kwa maana kahaba ni shimo refu,

Na mwanamke mwasherati* ni kisima chembamba.+

28 Hunyemelea kama mnyang’anyi;+

Huongeza idadi ya wanaume wasio waaminifu.

29 Ni nani mwenye ole? Ni nani aliye na wasiwasi?

Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani anayelalamika?

Ni nani aliye na majeraha bila sababu? Ni nani aliye na macho mazito?*

30 Ni wale wanaoshinda kwenye divai;+

Wale wanaotafuta* divai iliyochanganywa.

31 Usiitazame rangi nyekundu ya divai

Inapong’aa katika kikombe na kushuka taratibu,

32 Kwa maana mwishowe huuma kama nyoka,

Nayo hutoa sumu kama nyoka kipiri.

33 Macho yako yataona mambo ya ajabu,

Na moyo wako utasema mambo yaliyopotoka.+

34 Nawe utakuwa kama mtu anayelala katikati ya bahari,

Kama mtu anayelala juu ya mlingoti wa meli.

35 Utasema: “Wamenipiga, lakini sikuhisi chochote.*

Walinipiga, lakini sikujua.

Nitaamka lini?+

Nahitaji kinywaji kingine.”*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki