Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 11:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “udanganyifu.”

  • *

    Au “jiwe kamili la kupimia.”

Marejeo

  • +Law 19:36

Methali 11:2

Marejeo

  • +Met 16:18; Lu 14:8, 9
  • +Mik 6:8; 1Pe 5:5

Methali 11:3

Marejeo

  • +Zb 26:1; Met 13:6
  • +Met 28:18

Methali 11:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Vitu vyenye thamani havitakuwa.”

Marejeo

  • +Eze 7:19; Mt 16:26
  • +Mwa 7:1

Methali 11:5

Marejeo

  • +2Sa 17:23; Est 7:10; Met 5:22

Methali 11:6

Marejeo

  • +Yer 39:18
  • +Met 1:32

Methali 11:7

Marejeo

  • +Kut 15:9, 10; Lu 12:18-20

Methali 11:8

Marejeo

  • +Est 7:9; Met 21:18; Da 6:23, 24

Methali 11:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mtu anayemkataa Mungu.”

Marejeo

  • +Met 2:10-12

Methali 11:10

Marejeo

  • +Kut 15:20, 21; Est 9:19, 22

Methali 11:11

Marejeo

  • +Met 14:34
  • +Yak 3:6

Methali 11:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aliyepungukiwa moyoni.”

Marejeo

  • +Met 17:27; 1Pe 2:23

Methali 11:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwaminifu rohoni.”

  • *

    Tnn., “hufunika jambo.”

Marejeo

  • +Law 19:16; Met 20:19; 26:22

Methali 11:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mwongozo wenye hekima.”

  • *

    Au “wokovu.”

Marejeo

  • +Met 15:22; 20:18; 24:6

Methali 11:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “rehani.”

  • *

    Tnn., “anayechukia.”

Marejeo

  • +Met 6:1, 5; 20:16

Methali 11:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayevutia.”

Marejeo

  • +1Sa 25:39; 1Pe 3:3, 4

Methali 11:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mtu mwenye upendo mshikamanifu.”

  • *

    Au “huitendea mema nafsi yake.”

  • *

    Au “aibu.”

Marejeo

  • +Lu 6:38
  • +Yak 5:3, 4

Methali 11:18

Marejeo

  • +Ayu 27:13, 14
  • +Gal 6:7, 8

Methali 11:19

Marejeo

  • +Mdo 10:34, 35; Ufu 2:10

Methali 11:20

Marejeo

  • +Zb 18:26; Met 3:32
  • +Zb 51:6; Met 15:8

Methali 11:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mkono kwa mkono.”

Marejeo

  • +Mhu 8:13; Eze 18:4

Methali 11:23

Marejeo

  • +Isa 26:9; Mt 5:6

Methali 11:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hutawanya.”

Marejeo

  • +Kum 15:10; Met 19:17; Mhu 11:1, 2
  • +Hag 1:6

Methali 11:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “atanenepeshwa.”

  • *

    Tnn., “anayewanywesha wengine kwa ukarimu.”

Marejeo

  • +Mdo 20:35; 2Ko 9:6
  • +Lu 6:38

Methali 11:27

Marejeo

  • +Met 12:2
  • +Est 7:10; Zb 10:2

Methali 11:28

Marejeo

  • +Ayu 31:24, 28; Zb 52:5, 7
  • +Zb 1:2, 3; 52:8

Methali 11:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “aibu.”

Marejeo

  • +Yos 7:15

Methali 11:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayezishawishi.”

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Met 15:4
  • +1Ko 9:20-22; Yak 5:19, 20

Methali 11:31

Marejeo

  • +Eze 18:24; 2Th 1:6; 1Pe 4:18

Jumla

Met. 11:1Law 19:36
Met. 11:2Met 16:18; Lu 14:8, 9
Met. 11:2Mik 6:8; 1Pe 5:5
Met. 11:3Zb 26:1; Met 13:6
Met. 11:3Met 28:18
Met. 11:4Eze 7:19; Mt 16:26
Met. 11:4Mwa 7:1
Met. 11:52Sa 17:23; Est 7:10; Met 5:22
Met. 11:6Yer 39:18
Met. 11:6Met 1:32
Met. 11:7Kut 15:9, 10; Lu 12:18-20
Met. 11:8Est 7:9; Met 21:18; Da 6:23, 24
Met. 11:9Met 2:10-12
Met. 11:10Kut 15:20, 21; Est 9:19, 22
Met. 11:11Met 14:34
Met. 11:11Yak 3:6
Met. 11:12Met 17:27; 1Pe 2:23
Met. 11:13Law 19:16; Met 20:19; 26:22
Met. 11:14Met 15:22; 20:18; 24:6
Met. 11:15Met 6:1, 5; 20:16
Met. 11:161Sa 25:39; 1Pe 3:3, 4
Met. 11:17Lu 6:38
Met. 11:17Yak 5:3, 4
Met. 11:18Ayu 27:13, 14
Met. 11:18Gal 6:7, 8
Met. 11:19Mdo 10:34, 35; Ufu 2:10
Met. 11:20Zb 18:26; Met 3:32
Met. 11:20Zb 51:6; Met 15:8
Met. 11:21Mhu 8:13; Eze 18:4
Met. 11:23Isa 26:9; Mt 5:6
Met. 11:24Kum 15:10; Met 19:17; Mhu 11:1, 2
Met. 11:24Hag 1:6
Met. 11:25Mdo 20:35; 2Ko 9:6
Met. 11:25Lu 6:38
Met. 11:27Met 12:2
Met. 11:27Est 7:10; Zb 10:2
Met. 11:28Ayu 31:24, 28; Zb 52:5, 7
Met. 11:28Zb 1:2, 3; 52:8
Met. 11:29Yos 7:15
Met. 11:30Met 15:4
Met. 11:301Ko 9:20-22; Yak 5:19, 20
Met. 11:31Eze 18:24; 2Th 1:6; 1Pe 4:18
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 11:1-31

Methali

11 Mizani ya uwongo* humchukiza Yehova,

Lakini kipimo sahihi* humfurahisha.+

 2 Kimbelembele kinapokuja, aibu itafuata,+

Lakini wenye kiasi wana hekima.+

 3 Utimilifu wa wanyoofu ndio unaowaongoza,+

Lakini ujanja wa wenye hila utawaangamiza.+

 4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+

Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+

 5 Uadilifu wa mtu asiye na lawama hukinyoosha kijia chake,

Lakini mwovu ataanguka kwa sababu ya uovu wake mwenyewe.+

 6 Uadilifu wa wanyoofu utawaokoa,+

Lakini wenye hila watanaswa na tamaa zao wenyewe.+

 7 Mtu mwovu anapokufa, tumaini lake hutokomea;

Na matarajio aliyokuwa nayo kwa kutegemea nguvu zake hutokomea pia.+

 8 Mwadilifu huokolewa kutoka katika taabu,

Na mwovu huingia humo badala yake.+

 9 Kwa kinywa chake mwasi imani* humwangamiza jirani yake,

Lakini kwa ujuzi waadilifu huokolewa.+

10 Wema wa watu waadilifu hulifanya jiji lishangilie,

Na waovu wanapoangamia, kunakuwa na kelele za shangwe.+

11 Jiji hukwezwa kwa sababu ya baraka ya mtu mnyoofu,+

Lakini kinywa cha waovu hulibomoa.+

12 Mtu yeyote asiye na busara* humdharau jirani yake,

Lakini mtu mwenye utambuzi wa kweli hukaa kimya.+

13 Mchongezi huzurura-zurura akifunua mazungumzo ya siri,+

Lakini mtu anayeaminika* hutunza siri.*

14 Mwelekezo stadi* unapokosekana, watu huanguka,

Lakini washauri wengi huleta mafanikio.*+

15 Yeyote anayemwekea dhamana ya mkopo* mtu asiyemjua hakika ataumia,+

Lakini yeyote anayeepuka* kumpa mkono ili kumdhamini atakuwa salama.

16 Mwanamke mwenye fadhili* hupata utukufu,+

Lakini watu wasio na huruma hujitwalia utajiri.

17 Mtu mwenye fadhili* hujinufaisha,*+

Lakini mtu mkatili hujiletea shida.*+

18 Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu,+

Lakini mtu anayepanda uadilifu hupata thawabu ya kweli.+

19 Anayetetea uadilifu kwa uthabiti atapata uzima,+

Lakini anayefuatia uovu anaelekea kwenye kifo.

20 Waliopotoka moyoni wanamchukiza Yehova,+

Lakini wale ambao njia yao haina lawama humfurahisha.+

21 Uwe na hakika kuhusu hili:* Mtu mwovu hatakosa kuadhibiwa,+

Lakini watoto wa mwadilifu wataponyoka.

22 Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe

Ndivyo alivyo mwanamke mrembo anayekataa busara.

23 Tamaa ya waadilifu huongoza kwenye mema,+

Lakini tumaini la waovu huongoza kwenye ghadhabu.

24 Mtu mmoja hutoa kwa ukarimu* na kupata vitu vingi zaidi;+

Mtu mwingine huwanyima wengine wanachostahili, lakini anakuwa maskini.+

25 Mtu mkarimu atapata ufanisi,*+

Na yule anayewaburudisha wengine* yeye mwenyewe ataburudishwa.+

26 Watu watamlaani anayeficha nafaka,

Lakini watambariki anayeiuza.

27 Anayetafuta kwa bidii kutenda mema hutafuta kibali,+

Lakini anayetafuta uovu—kwa hakika atapatwa na uovu.+

28 Anayeutumaini utajiri wake ataanguka,+

Lakini waadilifu watasitawi kama majani.+

29 Yeyote anayewaletea taabu* watu wa nyumbani mwake atarithi upepo,+

Na mpumbavu atakuwa mtumishi wa mtu mwenye hekima moyoni.

30 Tunda la mwadilifu ni mti wa uzima,+

Na yule anayeziteka* nafsi* ni mwenye hekima.+

31 Ikiwa, kwa hakika, mtu mwadilifu duniani huthawabishwa,

Sembuse mwovu na mtenda dhambi!+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki