Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 42
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Mtumishi wa Mungu na kazi yake (1-9)

        • ‘Jina langu ni Yehova’ (8)

      • Wimbo mpya wa kumsifu Yehova (10-17)

      • Israeli ni kipofu na kiziwi (18-25)

Isaya 42:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yangu imemkubali.”

Marejeo

  • +Isa 52:13
  • +Isa 49:7; Lu 9:35
  • +Mt 3:17; Yoh 6:27; 2Pe 1:17
  • +Isa 61:1; Mt 3:16
  • +Mt 12:15-18

Isaya 42:2

Marejeo

  • +Zek 9:9; Mt 12:16, 19

Isaya 42:3

Marejeo

  • +Mt 11:28, 29; Ebr 2:17
  • +Isa 11:3, 4; Mt 12:20; Yoh 5:30; Ufu 19:11

Isaya 42:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mafundisho.”

Marejeo

  • +Isa 9:7; 49:8

Isaya 42:5

Marejeo

  • +Isa 40:22, 26
  • +Yer 10:12
  • +Mwa 2:7; Mdo 17:24, 25
  • +Ayu 12:10

Isaya 42:6

Marejeo

  • +Isa 49:8
  • +Isa 49:6; Lu 2:29-32; Yoh 8:12

Isaya 42:7

Marejeo

  • +Isa 35:5
  • +Isa 61:1; 1Pe 2:9

Isaya 42:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sishiriki utukufu wangu na yeyote.”

Marejeo

  • +Kut 34:14

Isaya 42:9

Marejeo

  • +Isa 41:23; 43:19; 2Pe 1:21

Isaya 42:10

Marejeo

  • +Zb 96:1; 98:1; Ufu 14:3
  • +Isa 44:23
  • +Isa 51:5

Isaya 42:11

Marejeo

  • +Isa 35:1
  • +Mwa 25:13; Isa 60:7

Isaya 42:12

Marejeo

  • +Zb 22:27; Isa 24:15; 66:19

Isaya 42:13

Marejeo

  • +Isa 59:17
  • +Kut 15:3
  • +1Sa 2:10

Isaya 42:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maeneo ya pwani.”

Marejeo

  • +Zb 107:33; Isa 44:27; 50:2

Isaya 42:16

Marejeo

  • +Isa 29:18; 35:5; Yer 31:8
  • +Isa 30:21
  • +Isa 60:1, 20
  • +Isa 40:4

Isaya 42:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sanamu za kuyeyushwa.”

Marejeo

  • +Isa 44:10, 11; 45:16

Isaya 42:18

Marejeo

  • +Isa 6:9, 10; 43:8

Isaya 42:19

Marejeo

  • +Isa 56:10; Yer 4:22; Eze 12:2

Isaya 42:20

Marejeo

  • +Eze 33:31

Isaya 42:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mafundisho.”

Isaya 42:22

Marejeo

  • +Kum 28:15, 33; Yer 50:17
  • +Zb 102:19, 20
  • +Kum 28:29, 52

Isaya 42:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mafundisho.”

Marejeo

  • +Amu 2:12, 14; 2Nya 15:3, 6; Zb 106:41

Isaya 42:25

Marejeo

  • +Kum 32:22; Nah 1:6
  • +Isa 9:13; Yer 5:3; Ho. 7:9
  • +Isa 57:11

Jumla

Isa. 42:1Isa 52:13
Isa. 42:1Isa 49:7; Lu 9:35
Isa. 42:1Mt 3:17; Yoh 6:27; 2Pe 1:17
Isa. 42:1Isa 61:1; Mt 3:16
Isa. 42:1Mt 12:15-18
Isa. 42:2Zek 9:9; Mt 12:16, 19
Isa. 42:3Mt 11:28, 29; Ebr 2:17
Isa. 42:3Isa 11:3, 4; Mt 12:20; Yoh 5:30; Ufu 19:11
Isa. 42:4Isa 9:7; 49:8
Isa. 42:5Isa 40:22, 26
Isa. 42:5Yer 10:12
Isa. 42:5Mwa 2:7; Mdo 17:24, 25
Isa. 42:5Ayu 12:10
Isa. 42:6Isa 49:8
Isa. 42:6Isa 49:6; Lu 2:29-32; Yoh 8:12
Isa. 42:7Isa 35:5
Isa. 42:7Isa 61:1; 1Pe 2:9
Isa. 42:8Kut 34:14
Isa. 42:9Isa 41:23; 43:19; 2Pe 1:21
Isa. 42:10Zb 96:1; 98:1; Ufu 14:3
Isa. 42:10Isa 44:23
Isa. 42:10Isa 51:5
Isa. 42:11Isa 35:1
Isa. 42:11Mwa 25:13; Isa 60:7
Isa. 42:12Zb 22:27; Isa 24:15; 66:19
Isa. 42:13Isa 59:17
Isa. 42:13Kut 15:3
Isa. 42:131Sa 2:10
Isa. 42:15Zb 107:33; Isa 44:27; 50:2
Isa. 42:16Isa 29:18; 35:5; Yer 31:8
Isa. 42:16Isa 30:21
Isa. 42:16Isa 60:1, 20
Isa. 42:16Isa 40:4
Isa. 42:17Isa 44:10, 11; 45:16
Isa. 42:18Isa 6:9, 10; 43:8
Isa. 42:19Isa 56:10; Yer 4:22; Eze 12:2
Isa. 42:20Eze 33:31
Isa. 42:22Kum 28:15, 33; Yer 50:17
Isa. 42:22Zb 102:19, 20
Isa. 42:22Kum 28:29, 52
Isa. 42:24Amu 2:12, 14; 2Nya 15:3, 6; Zb 106:41
Isa. 42:25Kum 32:22; Nah 1:6
Isa. 42:25Isa 9:13; Yer 5:3; Ho. 7:9
Isa. 42:25Isa 57:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 42:1-25

Isaya

42 Tazama! Mtumishi wangu,+ ninayemtegemeza!

Mchaguliwa wangu,+ ambaye nimemkubali!*+

Nimeitia roho yangu ndani yake;+

Atayaletea mataifa haki.+

 2 Hatalia kwa sauti wala kupaza sauti yake,

Naye hatafanya sauti yake isikike barabarani.+

 3 Hataponda tete lililovunjika,

Wala hatazima utambi unaofifia.+

Ataleta haki kwa uaminifu.+

 4 Hatafifia wala kupondwa mpaka atakapoimarisha haki duniani;+

Na visiwa vinaendelea kungojea sheria* yake.

 5 Hivi ndivyo anavyosema Mungu wa kweli, Yehova,

Muumba wa mbingu na Mkuu aliyezitandaza,+

Yule aliyeitandaza dunia na mazao yake,+

Yule anayewapa pumzi watu waliomo+

Na kuwapa roho wale wanaotembea humo:+

 6 “Mimi, Yehova, nimekuita katika uadilifu;

Nimekushika mkono wako.

Nitakulinda na kukutoa uwe agano kwa ajili ya watu+

Na uwe nuru kwa mataifa,+

 7 Ili uyafungue macho yaliyopofuka,+

Ili umtoe mfungwa katika gereza lililo chini ya ardhi

Na wale wanaoketi gizani kutoka gerezani.+

 8 Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu;

Simpi yeyote utukufu wangu,*

Wala kuzipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.+

 9 Tazameni, mambo ya kwanza yametokea;

Sasa ninatangaza mambo mapya.

Kabla hayajatokea, ninawaambia kuyahusu.”+

10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+

Sifa yake kutoka kwenye miisho ya dunia,+

Ninyi mnaoshuka baharini na pia vyote vinavyoijaza,

Ninyi visiwa na wakaaji wake.+

11 Nyika na majiji yake na yapaze sauti yao,+

Makao ambamo Kedari anaishi.+

Wale wanaokaa kwenye jabali na wapige vigelegele kwa shangwe;

Na wapaze sauti kutoka kwenye vilele vya milima.

12 Na wamtukuze Yehova

Na watangaze sifa zake katika visiwa.+

13 Yehova atatoka kama mwanamume hodari.+

Ataamsha bidii yake kama shujaa.+

Atapaza sauti, naam, atapiga kelele za vita;

Ataonyesha kwamba ana nguvu kuliko maadui wake.+

14 “Nimenyamaza kwa muda mrefu.

Niliendelea kukaa kimya na kujizuia.

Kama mwanamke anayezaa,

Nitalia kwa uchungu, nitahemahema, na kutweta wakati uleule.

15 Nitaiharibu milima na vilima

Na kukausha kabisa majani yake yote.

Nitaibadili mito iwe visiwa*

Na kuyakausha kabisa madimbwi ya maji yenye matete.+

16 Nitawaongoza vipofu kwenye njia wasiyoijua+

Na kuwafanya watembee kwenye vijia wasivyovijua.+

Nitabadili giza lililo mbele yao liwe nuru+

Na kubadili eneo lenye mawemawe kuwa nchi tambarare.+

Hivyo ndivyo nitakavyowatendea, nami sitawaacha.”

17 Watarudishwa nyuma na kuaibishwa kabisa,

Wale wanaotumaini sanamu za kuchongwa,

Wale wanaoziambia sanamu za chuma:* “Ninyi ni miungu yetu.”+

18 Sikilizeni, ninyi viziwi;

Tazameni na mwone, ninyi vipofu.+

19 Ni nani aliye kipofu isipokuwa mtumishi wangu,

Aliye kiziwi sana kama mjumbe ninayemtuma?

Ni nani aliye kipofu sana kama yule ambaye amethawabishwa,

Aliye kipofu sana kama mtumishi wa Yehova?+

20 Unaona mambo mengi, lakini huendelei kukaa macho.

Unafungua masikio yako, lakini husikilizi.+

21 Kwa sababu ya uadilifu wake,

Yehova amependezwa kuitukuza sheria* na kuifanya iwe na utukufu.

22 Lakini watu hawa ni watu walioporwa na kutekwa nyara;+

Wote wamenaswa katika mashimo na kufichwa magerezani.+

Wameporwa na hakuna yeyote wa kuwaokoa,+

Nao wametekwa nyara na hakuna yeyote wa kusema: “Warudisheni!”

23 Ni nani kati yenu atakayesikia jambo hili?

Ni nani atakayetega sikio na kusikiliza kwa ajili ya wakati ujao?

24 Ni nani aliyemtia Yakobo mikononi mwa watekaji nyara

Na Israeli mikononi mwa waporaji?

Je, si Yehova, Yule ambaye tumemtendea dhambi?

Walikataa kutembea katika njia Zake,

Nao hawakutii sheria* Yake.+

25 Basi Yeye akaendelea kummwagia ghadhabu,

Hasira yake na ghadhabu ya vita.+

Iliteketeza kila kitu kumzunguka, lakini hakulikazia jambo hilo fikira.+

Iliwaka dhidi yake, lakini hakulitia jambo hilo moyoni.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki