Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 46
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • “Mungu ni kimbilio letu”

        • Kazi za Mungu zinazostaajabisha (8)

        • Mungu akomesha vita katika dunia yote (9)

Zaburi 46:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +2Nya 20:19

Zaburi 46:1

Marejeo

  • +Met 14:26; Isa 25:4
  • +Kum 4:7; Zb 145:18, 19; Nah 1:7

Zaburi 46:2

Marejeo

  • +Isa 54:10

Zaburi 46:3

Marejeo

  • +Zb 93:4; Yer 5:22

Zaburi 46:4

Marejeo

  • +2Nya 6:6

Zaburi 46:5

Marejeo

  • +Kum 23:14; Zb 132:13; Isa 12:6
  • +Kut 14:24

Zaburi 46:6

Marejeo

  • +Yos 2:24

Zaburi 46:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kilele chetu salama.”

Marejeo

  • +Yos 1:9; Yer 1:19; Ro 8:31

Zaburi 46:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Anaziteketeza ngao motoni.”

Marejeo

  • +Isa 11:9; Mik 4:3

Zaburi 46:10

Marejeo

  • +Isa 2:11
  • +1Nya 29:11

Zaburi 46:11

Marejeo

  • +2Nya 20:17
  • +Zb 48:3; 125:2

Jumla

Zab. 46:utangulizi2Nya 20:19
Zab. 46:1Met 14:26; Isa 25:4
Zab. 46:1Kum 4:7; Zb 145:18, 19; Nah 1:7
Zab. 46:2Isa 54:10
Zab. 46:3Zb 93:4; Yer 5:22
Zab. 46:42Nya 6:6
Zab. 46:5Kum 23:14; Zb 132:13; Isa 12:6
Zab. 46:5Kut 14:24
Zab. 46:6Yos 2:24
Zab. 46:7Yos 1:9; Yer 1:19; Ro 8:31
Zab. 46:9Isa 11:9; Mik 4:3
Zab. 46:10Isa 2:11
Zab. 46:101Nya 29:11
Zab. 46:112Nya 20:17
Zab. 46:11Zb 48:3; 125:2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 46:1-11

Zaburi

Kwa kiongozi. Wa wana wa Kora.+ Kulingana na mtindo wa Alamothi.* Wimbo.

46 Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu,+

Msaada unaopatikana kwa urahisi nyakati za taabu.+

 2 Ndiyo sababu hatutaogopa, hata dunia ikibadilika,

Hata milima ikianguka katika vilindi vya bahari,+

 3 Hata maji yake yakinguruma na povu lake kufurika,+

Hata milima ikitikiswa na msukosuko wake. (Sela)

 4 Kuna mto ambao vijito vyake hufanya jiji la Mungu lishangilie,+

Hema la ibada la Aliye Juu Zaidi lililo takatifu na tukufu.

 5 Mungu yuko katika jiji hilo;+ haliwezi kupinduliwa.

Mungu atalisaidia wakati wa mapambazuko.+

 6 Mataifa yalikuwa katika msukosuko, falme zilipinduliwa;

Alipaza sauti yake, dunia ikayeyuka.+

 7 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+

Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu salama.* (Sela)

 8 Njooni mtazame matendo ya Yehova,

Jinsi alivyotenda mambo yanayostaajabisha duniani.

 9 Anakomesha vita katika dunia yote.+

Anauvunja upinde na kuuvunja mkuki vipandevipande;

Anayateketeza magari ya vita motoni.*

10 “Salimuni amri na mjue kwamba mimi ni Mungu.

Nitakwezwa miongoni mwa mataifa;+

Nitakwezwa duniani.”+

11 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+

Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu salama.+ (Sela)

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki