Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 19
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ufunuo—Yaliyomo

      • Msifuni Yah kwa sababu ya hukumu zake (1-10)

        • Ndoa ya Mwanakondoo (7-9)

      • Aliyepanda farasi mweupe (11-16)

      • Mlo mkubwa wa jioni wa Mungu (17, 18)

      • Mnyama-mwitu ashindwa (19-21)

Ufunuo 19:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Zb 150:6

Ufunuo 19:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki porneiʹa. Angalia Kamusi.

  • *

    Tnn., “kutoka mkononi mwake.”

Marejeo

  • +Kum 32:4; Zb 19:9; Ufu 15:3
  • +Kum 32:43; 2Fa 9:7; Zb 79:10; Ufu 18:20, 24

Ufunuo 19:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

  • *

    Yaani, “kutoka kwa Babiloni.”

Marejeo

  • +Zb 117:1
  • +Isa 34:10

Ufunuo 19:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Ufu 4:4
  • +Ufu 4:6
  • +Zb 106:48

Ufunuo 19:5

Marejeo

  • +Zb 134:1; 135:1
  • +Zb 115:13

Ufunuo 19:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Zb 113:1
  • +Kut 6:3
  • +Zb 97:1; Isa 52:7; Ufu 11:15

Ufunuo 19:8

Marejeo

  • +Isa 61:10; Efe 5:25-27; Ufu 14:4

Ufunuo 19:9

Marejeo

  • +Mt 22:2; 25:10

Ufunuo 19:10

Marejeo

  • +Mdo 10:25, 26; Ufu 22:8, 9
  • +Mt 28:19, 20; Mdo 1:8
  • +Mt 4:10; Yoh 4:23
  • +Lu 24:27; Mdo 10:43; 1Pe 1:10, 11

Ufunuo 19:11

Marejeo

  • +Ufu 6:2
  • +Ufu 1:5
  • +Yoh 1:14; Ufu 3:14
  • +Isa 11:4, 5; Ebr 1:8, 9

Ufunuo 19:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tepe nyingi za kichwani za kifalme.”

Marejeo

  • +Ufu 1:13, 14

Ufunuo 19:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “lililonyunyiziwa damu.”

Marejeo

  • +Yoh 1:1

Ufunuo 19:15

Marejeo

  • +2Th 2:8; Ufu 1:13, 16
  • +Zb 2:9; Ufu 2:26, 27
  • +Yoe 3:13; Ufu 14:19, 20

Ufunuo 19:16

Marejeo

  • +Mt 28:18; Flp 2:9-11; 1Ti 6:15; Ufu 17:14

Ufunuo 19:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “katikati ya anga; juu.”

Marejeo

  • +Eze 39:4, 17

Ufunuo 19:18

Marejeo

  • +Eze 39:18
  • +Eze 39:20

Ufunuo 19:19

Marejeo

  • +Ufu 16:14, 16

Ufunuo 19:20

Marejeo

  • +Ufu 16:13
  • +Ufu 13:16, 17
  • +Ufu 13:15
  • +Mt 10:28; 2Pe 2:6; Yud 7; Ufu 20:14

Ufunuo 19:21

Marejeo

  • +Ufu 2:16; 6:2
  • +Eze 39:4

Jumla

Ufu. 19:1Zb 150:6
Ufu. 19:2Kum 32:4; Zb 19:9; Ufu 15:3
Ufu. 19:2Kum 32:43; 2Fa 9:7; Zb 79:10; Ufu 18:20, 24
Ufu. 19:3Zb 117:1
Ufu. 19:3Isa 34:10
Ufu. 19:4Ufu 4:4
Ufu. 19:4Ufu 4:6
Ufu. 19:4Zb 106:48
Ufu. 19:5Zb 134:1; 135:1
Ufu. 19:5Zb 115:13
Ufu. 19:6Zb 113:1
Ufu. 19:6Kut 6:3
Ufu. 19:6Zb 97:1; Isa 52:7; Ufu 11:15
Ufu. 19:8Isa 61:10; Efe 5:25-27; Ufu 14:4
Ufu. 19:9Mt 22:2; 25:10
Ufu. 19:10Mdo 10:25, 26; Ufu 22:8, 9
Ufu. 19:10Mt 28:19, 20; Mdo 1:8
Ufu. 19:10Mt 4:10; Yoh 4:23
Ufu. 19:10Lu 24:27; Mdo 10:43; 1Pe 1:10, 11
Ufu. 19:11Ufu 6:2
Ufu. 19:11Ufu 1:5
Ufu. 19:11Yoh 1:14; Ufu 3:14
Ufu. 19:11Isa 11:4, 5; Ebr 1:8, 9
Ufu. 19:12Ufu 1:13, 14
Ufu. 19:13Yoh 1:1
Ufu. 19:152Th 2:8; Ufu 1:13, 16
Ufu. 19:15Zb 2:9; Ufu 2:26, 27
Ufu. 19:15Yoe 3:13; Ufu 14:19, 20
Ufu. 19:16Mt 28:18; Flp 2:9-11; 1Ti 6:15; Ufu 17:14
Ufu. 19:17Eze 39:4, 17
Ufu. 19:18Eze 39:18
Ufu. 19:18Eze 39:20
Ufu. 19:19Ufu 16:14, 16
Ufu. 19:20Ufu 16:13
Ufu. 19:20Ufu 13:16, 17
Ufu. 19:20Ufu 13:15
Ufu. 19:20Mt 10:28; 2Pe 2:6; Yud 7; Ufu 20:14
Ufu. 19:21Ufu 2:16; 6:2
Ufu. 19:21Eze 39:4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ufunuo 19:1-21

Ufunuo kwa Yohana

19 Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni. Wakasema: “Msifuni Yah!*+ Wokovu na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu, 2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeipotosha dunia kwa uasherati* wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake iliyo mkononi mwake.”*+ 3 Na papo hapo, wakasema kwa mara ya pili: “Msifuni Yah!*+ Na moshi kutoka kwake* unaendelea kupanda milele na milele.”+

4 Na wale wazee 24+ na wale viumbe hai wanne+ wakaanguka chini na kumwabudu Mungu anayeketi kwenye kiti cha ufalme na kusema: “Amina! Msifuni Yah!”*+

5 Pia, sauti ikatoka katika kile kiti cha ufalme na kusema: “Endeleeni kumsifu Mungu wetu, enyi nyote watumwa wake+ mnaomwogopa, wadogo kwa wakubwa.”+

6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,*+ kwa sababu Yehova* Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme!+ 7 Acheni tufurahi na tuwe na shangwe nyingi na tumpe utukufu, kwa sababu ndoa ya Mwanakondoo imefika na mke wake amejitayarisha. 8 Ndiyo, ameruhusiwa kuvaa kitani bora, changavu, safi—kwa maana hicho kitani bora kinamaanisha matendo ya uadilifu ya watakatifu.”+

9 Naye ananiambia, “Andika: Wenye furaha ni wale walioalikwa kwenye mlo wa jioni wa ndoa ya Mwanakondoo.”+ Pia, ananiambia: “Hayo ndiyo maneno ya kweli ya Mungu.” 10 Ndipo nikaanguka chini mbele ya miguu yake ili kumwabudu. Lakini ananiambia: “Uwe mwangalifu! Usifanye hivyo!+ Mimi ni mtumwa mwenzako tu na wa ndugu zako walio na kazi ya kutoa ushahidi kumhusu Yesu.+ Mwabudu Mungu!+ Kwa maana kutoa ushahidi kumhusu Yesu ndilo kusudi la unabii.”+

11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na tazama! farasi mweupe.+ Na yule aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kupigana vita kwa uadilifu.+ 12 Macho yake ni mwali wa moto,+ na juu ya kichwa chake kuna mataji mengi.* Ana jina lililoandikwa ambalo hakuna yeyote anayelijua isipokuwa yeye mwenyewe, 13 naye amevaa vazi la nje lililo na damu,* na jina analoitwa ni Neno+ la Mungu. 14 Pia, majeshi ya mbinguni yalikuwa yakimfuata juu ya farasi weupe, nayo yalikuwa yamevaa kitani bora cheupe, safi. 15 Na kinywani mwake upanga mrefu mkali unachomoza,+ upanga ambao atatumia kuyapiga mataifa, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Isitoshe, anakanyaga shinikizo la divai ya hasira ya ghadhabu ya Mungu Mweza-Yote.+ 16 Na kwenye vazi lake la nje, ndiyo, kwenye paja lake, ana jina lililoandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+

17 Nikaona pia malaika amesimama katika jua, naye akaita kwa sauti kubwa na kuwaambia ndege wote wanaoruka katikati ya mbingu:* “Njooni hapa, mkusanyike pamoja kwenye mlo mkubwa wa jioni wa Mungu,+ 18 ili mle nyama za wafalme na nyama za viongozi wa kijeshi na nyama za watu wenye nguvu+ na nyama za farasi na za wale wanaoketi juu yao,+ na nyama za wote, za watu huru na vilevile za watumwa na za wadogo kwa wakubwa.”

19 Nami nikamwona yule mnyama wa mwituni na wafalme wa dunia na majeshi yao wamekusanyika pamoja ili kupigana vita na yule anayeketi juu ya farasi na jeshi lake.+ 20 Na yule mnyama wa mwituni akakamatwa, na yule nabii+ wa uwongo pamoja naye, aliyefanya mbele yake ishara alizotumia kuwapotosha wale waliopokea alama ya yule mnyama wa mwituni+ na wale wanaoiabudu sanamu yake.+ Wakiwa bado hai, wote wawili walitupwa ndani ya ziwa la moto linalowaka kwa kiberiti.+ 21 Lakini wale wengine wakauawa kwa ule upanga mrefu unaochomoza kinywani mwa yule anayeketi juu ya farasi.+ Na ndege wote wakashiba kutokana na nyama zao.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki