Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 149
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Wimbo wa kuusifu ushindi wa Mungu

        • Mungu anawafurahia watu wake (4)

        • Heshima ni ya washikamanifu wa Mungu (9)

Zaburi 149:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Zb 33:3; 96:1; Isa 42:10; Ufu 5:9
  • +Zb 22:22

Zaburi 149:2

Marejeo

  • +Zb 100:3; Isa 54:5

Zaburi 149:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wampigie muziki.”

Marejeo

  • +Amu 11:34
  • +Kut 15:20; Zb 150:4

Zaburi 149:4

Marejeo

  • +Zb 84:11
  • +Zb 132:16; Isa 61:10

Zaburi 149:5

Marejeo

  • +Zb 63:6

Zaburi 149:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Kum 7:1

Jumla

Zab. 149:1Zb 33:3; 96:1; Isa 42:10; Ufu 5:9
Zab. 149:1Zb 22:22
Zab. 149:2Zb 100:3; Isa 54:5
Zab. 149:3Amu 11:34
Zab. 149:3Kut 15:20; Zb 150:4
Zab. 149:4Zb 84:11
Zab. 149:4Zb 132:16; Isa 61:10
Zab. 149:5Zb 63:6
Zab. 149:9Kum 7:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 149:1-9

Zaburi

149 Msifuni Yah!*

Mwimbieni Yehova wimbo mpya;+

Msifuni katika kutaniko la washikamanifu.+

 2 Watu wa Israeli na washangilie kwa sababu ya Muumba wao Mkuu;+

Wana wa Sayuni na washangilie kwa sababu ya Mfalme wao.

 3 Na walisifu jina lake kwa kucheza dansi+

Na wamwimbie sifa* kwa tari na kinubi.+

 4 Kwa maana Yehova anawafurahia watu wake.+

Anawapamba wapole kwa wokovu.+

 5 Washikamanifu na washangilie kwa utukufu;

Na wapaze sauti kwa shangwe vitandani mwao.+

 6 Nyimbo zinazomsifu Mungu na ziwe kooni mwao,

Na upanga wenye makali pande mbili uwe mkononi mwao,

 7 Ili kuyalipiza kisasi mataifa

Na kuyaadhibu mataifa,

 8 Ili kuwafunga wafalme wao kwa pingu

Na viongozi wao kwa pingu za chuma,

 9 Ili kutekeleza hukumu iliyoandikwa kuwahusu.+

Heshima hii ni ya washikamanifu wake wote.

Msifuni Yah!*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki