Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 40
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Faraja kwa watu wa Mungu (1-11)

        • Sauti nyikani (3-5)

      • Ukuu wa Mungu (12-31)

        • Mataifa kama tone kutoka katika ndoo (15)

        • Mungu hukaa “juu ya duara ya dunia” (22)

        • Nyota zote huitwa kwa majina (26)

        • Mungu hachoki kamwe (28)

        • Wanaomtumaini Yehova watapata nguvu mpya (29-31)

Isaya 40:1

Marejeo

  • +Isa 49:13; 51:3; 2Ko 1:3, 4

Isaya 40:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Lifarijini.”

  • *

    Au “malipo maradufu.”

Marejeo

  • +Zb 79:8, 9; Yer 31:34; 33:8
  • +Yer 16:18; Da 9:11, 12

Isaya 40:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Tayarisheni.”

Marejeo

  • +Isa 35:8; 57:14; Mal 3:1
  • +Isa 11:16
  • +Mt 3:1, 3; Mk 1:2-4; Lu 3:3-6; Yoh 1:23

Isaya 40:4

Marejeo

  • +Isa 42:16

Isaya 40:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanadamu wote.”

Marejeo

  • +Isa 24:15
  • +Isa 49:6; 52:10

Isaya 40:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wanadamu wote.”

Marejeo

  • +Ayu 14:1, 2; Zb 90:5, 6

Isaya 40:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “roho.”

Marejeo

  • +Yak 1:11
  • +Zb 103:15, 16

Isaya 40:8

Marejeo

  • +Isa 46:10; 1Pe 1:24, 25

Isaya 40:9

Marejeo

  • +Isa 52:7
  • +Isa 12:2; 25:9

Isaya 40:10

Marejeo

  • +Isa 53:1; Yoh 12:37, 38
  • +Isa 62:11; Ufu 22:12

Isaya 40:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Atalichunga.”

Marejeo

  • +Isa 49:10; Eze 34:15, 16; 1Pe 2:25
  • +Mwa 33:13; 1Pe 5:2, 3

Isaya 40:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukubwa wa.”

  • *

    Ni urefu kuanzia kidole gumba hadi kidole kidogo, kiganja kikiwa kimepanuliwa. Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +Met 30:4
  • +Ayu 38:4, 5

Isaya 40:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “ameielewa.”

Marejeo

  • +Ayu 36:22, 23; Ro 11:34; 1Ko 2:16

Isaya 40:14

Marejeo

  • +Zb 147:5

Isaya 40:15

Marejeo

  • +Zb 62:9

Isaya 40:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “haiwezi kuandaa kuni za kutosha.”

Isaya 40:17

Marejeo

  • +Da 4:35
  • +Isa 41:11, 12

Isaya 40:18

Marejeo

  • +Kut 8:10; Zb 86:8; Yer 10:6, 7
  • +Kum 4:15, 16; Mdo 17:29

Isaya 40:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sanamu ya kuyeyushwa.”

Marejeo

  • +Zb 115:4-8

Isaya 40:20

Marejeo

  • +Isa 44:14, 15
  • +Isa 41:7; 46:6, 7; Yer 10:3, 4

Isaya 40:21

Marejeo

  • +Zb 19:1; Ro 1:20

Isaya 40:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tufe la.”

Marejeo

  • +Isa 66:1
  • +Isa 44:24; Yer 10:12; Zek 12:1

Isaya 40:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watawala.”

Isaya 40:24

Marejeo

  • +1Fa 21:20, 21; 2Fa 10:10, 11; Yer 22:24, 30

Isaya 40:26

Marejeo

  • +Zb 102:25
  • +Zb 147:4
  • +Zb 89:13

Isaya 40:27

Marejeo

  • +Isa 49:14; Eze 37:11

Isaya 40:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hauwezi kueleweka.”

Marejeo

  • +Mwa 21:33; Zb 90:2; Yer 10:10; 1Ti 1:17
  • +Zb 121:4; Isa 27:3
  • +Zb 139:4, 6; 147:5; Isa 55:9; Ro 11:33; 1Ko 2:16

Isaya 40:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nguvu zenye msukumo.”

Marejeo

  • +Zb 29:11; Isa 40:26; Flp 4:13; Ebr 11:33, 34

Isaya 40:31

Marejeo

  • +Zb 103:5
  • +1Fa 18:46; Zb 84:7

Jumla

Isa. 40:1Isa 49:13; 51:3; 2Ko 1:3, 4
Isa. 40:2Zb 79:8, 9; Yer 31:34; 33:8
Isa. 40:2Yer 16:18; Da 9:11, 12
Isa. 40:3Isa 35:8; 57:14; Mal 3:1
Isa. 40:3Isa 11:16
Isa. 40:3Mt 3:1, 3; Mk 1:2-4; Lu 3:3-6; Yoh 1:23
Isa. 40:4Isa 42:16
Isa. 40:5Isa 24:15
Isa. 40:5Isa 49:6; 52:10
Isa. 40:6Ayu 14:1, 2; Zb 90:5, 6
Isa. 40:7Yak 1:11
Isa. 40:7Zb 103:15, 16
Isa. 40:8Isa 46:10; 1Pe 1:24, 25
Isa. 40:9Isa 52:7
Isa. 40:9Isa 12:2; 25:9
Isa. 40:10Isa 53:1; Yoh 12:37, 38
Isa. 40:10Isa 62:11; Ufu 22:12
Isa. 40:11Isa 49:10; Eze 34:15, 16; 1Pe 2:25
Isa. 40:11Mwa 33:13; 1Pe 5:2, 3
Isa. 40:12Met 30:4
Isa. 40:12Ayu 38:4, 5
Isa. 40:13Ayu 36:22, 23; Ro 11:34; 1Ko 2:16
Isa. 40:14Zb 147:5
Isa. 40:15Zb 62:9
Isa. 40:17Da 4:35
Isa. 40:17Isa 41:11, 12
Isa. 40:18Kut 8:10; Zb 86:8; Yer 10:6, 7
Isa. 40:18Kum 4:15, 16; Mdo 17:29
Isa. 40:19Zb 115:4-8
Isa. 40:20Isa 44:14, 15
Isa. 40:20Isa 41:7; 46:6, 7; Yer 10:3, 4
Isa. 40:21Zb 19:1; Ro 1:20
Isa. 40:22Isa 66:1
Isa. 40:22Isa 44:24; Yer 10:12; Zek 12:1
Isa. 40:241Fa 21:20, 21; 2Fa 10:10, 11; Yer 22:24, 30
Isa. 40:26Zb 102:25
Isa. 40:26Zb 147:4
Isa. 40:26Zb 89:13
Isa. 40:27Isa 49:14; Eze 37:11
Isa. 40:28Mwa 21:33; Zb 90:2; Yer 10:10; 1Ti 1:17
Isa. 40:28Zb 121:4; Isa 27:3
Isa. 40:28Zb 139:4, 6; 147:5; Isa 55:9; Ro 11:33; 1Ko 2:16
Isa. 40:29Zb 29:11; Isa 40:26; Flp 4:13; Ebr 11:33, 34
Isa. 40:31Zb 103:5
Isa. 40:311Fa 18:46; Zb 84:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 40:1-31

Isaya

40 “Wafarijini, wafarijini watu wangu,” asema Mungu wenu.+

 2 “Zungumzeni na moyo wa* Yerusalemu,

Na kulitangazia kwamba utumishi wake wa kulazimishwa umetimizwa,

Kwamba hatia yake imelipwa.+

Limepokea kutoka mkononi mwa Yehova malipo kamili* kwa ajili ya dhambi zake zote.”+

 3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani:

“Fungueni* njia ya Yehova!+

Tengenezeni barabara kuu iliyonyooka+ inayopitia jangwani kwa ajili ya Mungu wetu.+

 4 Kila bonde na liinuliwe,

Na kila mlima na kilima kishushwe.

Na ardhi yenye mashimo-mashimo itasawazishwa,

Na ardhi yenye mawemawe itakuwa bonde tambarare.+

 5 Utukufu wa Yehova utafunuliwa,+

Na wote wenye mwili* watauona pamoja,+

Kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”

 6 Sikilizeni! Kuna mtu anayesema: “Tangaza!”

Mwingine anauliza: “Nitangaze nini?”

“Wote wenye mwili* ni majani mabichi.

Upendo wao wote mshikamanifu ni kama ua la shambani.+

 7 Majani mabichi hukauka,

Ua hunyauka,+

Kwa sababu pumzi* ya Yehova hupuliza juu yake.+

Kwa hakika watu ni majani mabichi tu.

 8 Majani mabichi hukauka,

Ua hunyauka,

Lakini neno la Mungu wetu linadumu milele.”+

 9 Panda juu ya mlima mrefu,

Ewe mwanamke unayeletea Sayuni habari njema.+

Paza sauti yako kwa nguvu,

Ewe mwanamke unayeliletea Yerusalemu habari njema.

Ipaze, usiogope.

Yatangazie majiji ya Yuda: “Tazameni Mungu wenu.”+

10 Tazameni! Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atakuja kwa nguvu,

Na mkono wake utatawala kwa ajili yake.+

Tazameni! Anakuja na thawabu yake,

Na malipo anayotoa yako mbele zake.+

11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+

Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,

Naye atawabeba kwenye kifua chake.

Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+

12 Ni nani amepima maji katika konzi ya mkono wake+

Na kupima vipimo vya* mbingu kwa shubiri* ya mkono wake?

Ni nani ameyakusanya mavumbi ya dunia katika kipimio+

Au kupima milima katika mizani

Na vilima katika mizani?

13 Ni nani ambaye ameipima* roho ya Yehova,

Na ni nani anayeweza kumfundisha akiwa mshauri wake?+

14 Alishauriana na nani ili apate uelewaji,

Au ni nani anayemfundisha njia ya haki,

Au kumfundisha ujuzi,

Au kumwonyesha njia ya uelewaji wa kweli?+

15 Tazameni! Mataifa ni kama tone kutoka katika ndoo,

Naye huyaona kuwa kama mavumbi membamba juu ya mizani.+

Tazameni! Anaviinua visiwa kama mavumbi laini.

16 Hata Lebanoni haitoshi kufanya moto uendelee kuwaka,*

Na wanyama wake wa mwituni hawatoshi kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa.

17 Mbele zake mataifa yote ni kama kitu kisichokuwepo;+

Anayaona kuwa si kitu, kama ubatili.+

18 Mnaweza kumlinganisha Mungu na nani?+

Mnaweza kumfananisha na nini?+

19 Fundi hutengeneza sanamu,*

Mfua chuma huifunika kwa dhahabu,+

Naye huitengenezea mikufu ya fedha.

20 Huchagua mti fulani uwe mchango wake,+

Mti ambao hautaoza.

Humtafuta fundi stadi

Ili atengeneze sanamu ya kuchongwa ambayo haitaanguka.+

21 Je, hamjui?

Je, hamjasikia?

Je, hamkuambiwa tangu mwanzoni?

Je, hamjaelewa tangu misingi ya dunia ilipowekwa?+

22 Kuna Yule anayekaa juu ya duara ya* dunia,+

Na wakaaji wake ni kama panzi.

Anazitandaza mbingu kama wavu laini,

Naye huzitandaza kama hema la kuishi.+

23 Huwafanya maofisa wakuu kuwa si kitu

Na kuwafanya waamuzi* wa dunia wawe ubatili.

24 Bado hawajapandwa,

Bado hawajatiwa ardhini,

Bado shina lao halijatia mizizi ardhini,

Nao hupuliziwa na kukauka,

Na upepo huwapeperusha mbali kama majani makavu.+

25 “Mnaweza kunifananisha na nani ili niwe sawa naye?” auliza Yule Mtakatifu.

26 “Inueni macho yenu mbinguni mwone.

Ni nani aliyeviumba vitu hivi?+

Ni Yule anayelileta nje jeshi lao kwa hesabu;

Huziita zote kwa majina.+

Kwa sababu ya nguvu zake nyingi zenye msukumo na nguvu zake zenye kuogopesha,+

Hakuna hata moja inayokosekana.

27 Ewe Yakobo, kwa nini unasema, na ewe Israeli, kwa nini unatangaza,

‘Njia yangu imefichwa kutoka kwa Yehova,

Nami sipati haki kutoka kwa Mungu’?+

28 Je, hujui? Je, hujasikia?

Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+

Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+

Uelewaji wake hauchunguziki.*+

29 Yeye humpa nguvu mtu aliyechoka

Na kuwapa uwezo kamili wale wasio na nguvu.*+

30 Wavulana watachoka na kuishiwa na nguvu,

Na vijana watajikwaa na kuanguka,

31 Lakini wale wanaomtumaini Yehova watapata nguvu tena.

Watapaa juu kwa mabawa kama tai.+

Watakimbia na hawataishiwa na nguvu;

Watatembea na hawatachoka.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki