Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 22
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 22:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sifa njema.” Tnn., “jina.”

  • *

    Tnn., “Kibali.”

Marejeo

  • +Mhu 7:1

Methali 22:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hukutana.”

Marejeo

  • +Mdo 17:26

Methali 22:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “adhabu.”

Methali 22:4

Marejeo

  • +Zb 34:9; Met 18:12

Methali 22:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yake.”

Marejeo

  • +Met 4:14, 15

Methali 22:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mtoto; kijana.”

Marejeo

  • +Mwa 18:19; Kum 6:6, 7; Efe 6:4
  • +2Ti 3:14, 15

Methali 22:7

Marejeo

  • +2Fa 4:1; Mt 18:25

Methali 22:8

Marejeo

  • +Gal 6:7, 8
  • +Zb 125:3

Methali 22:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Aliye na jicho zuri.”

Marejeo

  • +Kum 15:7, 8; Met 11:25; Ebr 6:10

Methali 22:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kesi.”

Methali 22:11

Marejeo

  • +Zb 45:2; Met 16:13; Mt 5:8

Methali 22:12

Marejeo

  • +Mdo 13:8-10

Methali 22:13

Marejeo

  • +Met 26:13-15

Methali 22:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wageni.”

Marejeo

  • +Met 5:3; Mhu 7:26

Methali 22:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mtoto; kijana.”

Marejeo

  • +Mwa 8:21
  • +Met 13:24; 19:18

Methali 22:16

Marejeo

  • +Zb 12:5; Met 14:31

Methali 22:17

Marejeo

  • +Met 13:20
  • +Met 15:14

Methali 22:18

Marejeo

  • +Met 2:10; 24:14
  • +Met 15:7

Methali 22:22

Marejeo

  • +Met 23:10
  • +Kut 23:6; Amo 5:12

Methali 22:23

Marejeo

  • +1Sa 24:12; Zb 12:5

Methali 22:25

Marejeo

  • +Met 13:20

Methali 22:26

Marejeo

  • +Met 6:1-3

Methali 22:28

Marejeo

  • +Kum 19:14; Met 23:10; Ho. 5:10

Methali 22:29

Marejeo

  • +1Sa 16:18, 19; 1Fa 7:13, 14

Jumla

Met. 22:1Mhu 7:1
Met. 22:2Mdo 17:26
Met. 22:4Zb 34:9; Met 18:12
Met. 22:5Met 4:14, 15
Met. 22:6Mwa 18:19; Kum 6:6, 7; Efe 6:4
Met. 22:62Ti 3:14, 15
Met. 22:72Fa 4:1; Mt 18:25
Met. 22:8Gal 6:7, 8
Met. 22:8Zb 125:3
Met. 22:9Kum 15:7, 8; Met 11:25; Ebr 6:10
Met. 22:11Zb 45:2; Met 16:13; Mt 5:8
Met. 22:12Mdo 13:8-10
Met. 22:13Met 26:13-15
Met. 22:14Met 5:3; Mhu 7:26
Met. 22:15Mwa 8:21
Met. 22:15Met 13:24; 19:18
Met. 22:16Zb 12:5; Met 14:31
Met. 22:17Met 13:20
Met. 22:17Met 15:14
Met. 22:18Met 2:10; 24:14
Met. 22:18Met 15:7
Met. 22:22Met 23:10
Met. 22:22Kut 23:6; Amo 5:12
Met. 22:231Sa 24:12; Zb 12:5
Met. 22:25Met 13:20
Met. 22:26Met 6:1-3
Met. 22:28Kum 19:14; Met 23:10; Ho. 5:10
Met. 22:291Sa 16:18, 19; 1Fa 7:13, 14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 22:1-29

Methali

22 Ni afadhali kuchagua jina jema* kuliko mali nyingi;+

Kuheshimiwa* ni bora kuliko fedha na dhahabu.

 2 Matajiri na maskini wanafanana katika jambo hili:*

Yehova aliwaumba wote.+

 3 Mtu mwerevu huona hatari na kujificha,

Lakini wajinga husonga mbele na kupata madhara.*

 4 Unyenyekevu na kumwogopa Yehova huleta

Utajiri na utukufu na uzima.+

 5 Miiba na mitego iko kwenye njia ya mtu aliyepotoka,

Lakini yeyote anayethamini uhai wake* hukaa mbali nayo.+

 6 Mzoeze mvulana* njia anayopaswa kuifuata;+

Hata atakapozeeka hataiacha.+

 7 Tajiri humtawala maskini,

Na mkopaji ni mtumwa wa mkopeshaji.+

 8 Yeyote anayepanda uovu atavuna msiba,+

Na fimbo ya ghadhabu yake itaangamia.+

 9 Mtu mkarimu* atabarikiwa,

Kwa maana chakula chake humgawia maskini.+

10 Mfukuze mtu mwenye dhihaka,

Na ugomvi utatoweka;

Mizozo* na matusi yatakoma.

11 Mtu anayependa moyo safi na ambaye husema maneno yenye fadhili

Atakuwa rafiki ya mfalme.+

12 Macho ya Yehova huulinda ujuzi,

Lakini Yeye huyapindua maneno ya wenye hila.+

13 Mvivu anasema: “Kuna simba nje!

Nitauawa katikati ya uwanja wa jiji!”+

14 Kinywa cha wanawake waliopotoka* ni shimo refu.+

Anayeshutumiwa na Yehova ataanguka ndani yake.

15 Ujinga umefungwa katika moyo wa mvulana,*+

Lakini fimbo ya nidhamu ndiyo itakayouondolea mbali.+

16 Anayempunja maskini ili aongeze mali yake+

Na yule anayewapa zawadi matajiri

Mwishowe watakuwa maskini.

17 Tega sikio lako usikie maneno ya wenye hekima,+

Ili uufanye moyo wako uzingatie ujuzi wangu,+

18 Kwa maana inapendeza kuyahifadhi ndani yako kabisa,+

Ili yote yawe midomoni mwako daima.+

19 Ili umtegemee Yehova,

Ninakupa ujuzi leo.

20 Je, tayari sijakuandikia,

Na kukupa mashauri na ujuzi,

21 Ili nikufundishe maneno ya kweli yanayotegemeka,

Uweze kumpelekea habari sahihi yule aliyekutuma?

22 Usimwibie mtu maskini kwa kuwa ni maskini,+

Wala usimkandamize mtu wa hali ya chini katika lango la jiji,+

23 Kwa maana Yehova mwenyewe atawatetea+

Naye atawaangamiza wanaowapunja.

24 Usiwe na urafiki na mtu mwenye hasira kali

Wala kushirikiana na mtu anayekasirika upesi,

25 Ili usijifunze kamwe njia zake

Na kujitia mtegoni.+

26 Usiwe miongoni mwa wale wanaopeana mikono wanapotoa dhamana,

Wanaoweka dhamana kwa ajili ya mikopo.+

27 Ikiwa huna kitu cha kulipa,

Kitanda chako kitavutwa na kuchukuliwa ukiwa umekilalia!

28 Usiisogeze alama ya kale ya mpaka

Iliyowekwa na mababu zako.+

29 Je, umemwona mtu aliye stadi katika kazi yake?

Atasimama mbele ya wafalme;+

Hatasimama mbele ya watu wa kawaida.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki