Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 111
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Msifuni Yehova kwa sababu ya kazi zake kuu

        • Jina la Mungu ni takatifu na linaogopesha (9)

        • Kumwogopa Yehova ni hekima (10)

Zaburi 111:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Zb 68:4; 113:1; Ufu 19:1
  • +Zb 9:1

Zaburi 111:2

Marejeo

  • +Zb 98:1; 139:14; Ufu 15:3
  • +Zb 77:12; 143:5

Zaburi 111:3

Marejeo

  • +Zb 103:17

Zaburi 111:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neema.”

Marejeo

  • +Kum 31:19; Yos 4:5-7
  • +Kut 34:6; Yak 5:11

Zaburi 111:5

Marejeo

  • +Zb 37:25; Mt 6:33
  • +Zb 89:34; 105:8

Zaburi 111:6

Marejeo

  • +Zb 44:2; 105:44

Zaburi 111:7

Marejeo

  • +Kum 32:4
  • +Zb 19:8; Isa 55:10, 11

Zaburi 111:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Yana msingi mzuri.”

Marejeo

  • +Zb 19:9

Zaburi 111:9

Marejeo

  • +Kut 15:13; Lu 1:68; Ufu 7:10
  • +Zb 89:7; Isa 6:2, 3; Lu 1:49; Ufu 4:8

Zaburi 111:10

Marejeo

  • +Ayu 28:28; Met 1:7; Mhu 12:13
  • +Kum 4:6; Yos 1:7, 8; 1Fa 2:3; Zb 119:100; 2Ti 3:14, 15

Jumla

Zab. 111:1Zb 68:4; 113:1; Ufu 19:1
Zab. 111:1Zb 9:1
Zab. 111:2Zb 98:1; 139:14; Ufu 15:3
Zab. 111:2Zb 77:12; 143:5
Zab. 111:3Zb 103:17
Zab. 111:4Kum 31:19; Yos 4:5-7
Zab. 111:4Kut 34:6; Yak 5:11
Zab. 111:5Zb 37:25; Mt 6:33
Zab. 111:5Zb 89:34; 105:8
Zab. 111:6Zb 44:2; 105:44
Zab. 111:7Kum 32:4
Zab. 111:7Zb 19:8; Isa 55:10, 11
Zab. 111:8Zb 19:9
Zab. 111:9Kut 15:13; Lu 1:68; Ufu 7:10
Zab. 111:9Zb 89:7; Isa 6:2, 3; Lu 1:49; Ufu 4:8
Zab. 111:10Ayu 28:28; Met 1:7; Mhu 12:13
Zab. 111:10Kum 4:6; Yos 1:7, 8; 1Fa 2:3; Zb 119:100; 2Ti 3:14, 15
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 111:1-10

Zaburi

111 Msifuni Yah!*+

א [Aleph]

Nitamsifu Yehova kwa moyo wangu wote+

ב [Beth]

Katika kikundi kilichokusanyika cha watu wanyoofu na katika kutaniko.

ג [Gimel]

 2 Kazi za Yehova ni kuu;+

ד [Daleth]

Wale wote wanaopendezwa nazo hujifunza kuzihusu.+

ה [He]

 3 Utendaji wake ni wenye utukufu na fahari,

ו [Waw]

Na uadilifu wake unadumu milele.+

ז [Zayin]

 4 Hufanya kazi zake zinazostaajabisha zikumbukwe.+

ח [Heth]

Yehova ni mwenye huruma* na mwenye rehema.+

ט [Teth]

 5 Huwapa chakula wale wanaomwogopa.+

י [Yod]

Hukumbuka agano lake milele.+

כ [Kaph]

 6 Amewafunulia watu wake kazi zake zenye nguvu

ל [Lamed]

Kwa kuwapa urithi wa mataifa.+

מ [Mem]

 7 Kazi za mikono yake ni kweli na haki;+

נ [Nun]

Maagizo yake yote yanategemeka.+

ס [Samekh]

 8 Yanategemeka* sikuzote, sasa na milele;

ע [Ayin]

Msingi wake ni kweli na uadilifu.+

פ [Pe]

 9 Amewakomboa watu wake.+

צ [Tsade]

Aliamuru kwamba agano lake linapaswa kudumu milele.

ק [Qoph]

Jina lake ni takatifu na linaogopesha.+

ר [Resh]

10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+

ש [Sin]

Wale wote wanaotii maagizo yake wana ufahamu mzuri.+

ת [Taw]

Sifa yake hudumu milele.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki