Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 46
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mwanzo—Yaliyomo

      • Yakobo na familia yake wahamia Misri (1-7)

      • Majina ya waliohamia Misri (8-27)

      • Yosefu na Yakobo wakutana Gosheni (28-34)

Mwanzo 46:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watu wake wote.”

Marejeo

  • +Mwa 21:31
  • +Mwa 31:42; Kut 3:6

Mwanzo 46:3

Marejeo

  • +Mwa 28:13
  • +Mwa 12:1, 2; Kut 1:7; Kum 26:5

Mwanzo 46:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, atayafumba Yakobo atakapokufa.

Marejeo

  • +Mwa 15:16; 28:15; 47:29, 30; 50:13
  • +Mwa 50:1

Mwanzo 46:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wana wa Israeli.”

Mwanzo 46:8

Marejeo

  • +Kut 1:1-4
  • +Mwa 35:23; 1Nya 5:1

Mwanzo 46:9

Marejeo

  • +Hes 26:5, 6

Mwanzo 46:10

Marejeo

  • +Mwa 29:33
  • +Hes 26:12, 13; 1Nya 4:24

Mwanzo 46:11

Marejeo

  • +Mwa 29:34
  • +1Nya 6:16

Mwanzo 46:12

Marejeo

  • +Mwa 29:35; Ufu 5:5
  • +Mwa 38:2-5
  • +Lu 3:23, 33
  • +Mwa 38:30
  • +Mwa 38:7, 9, 10
  • +Hes 26:21; 1Nya 2:5

Mwanzo 46:13

Marejeo

  • +Hes 26:23, 24; 1Nya 7:1

Mwanzo 46:14

Marejeo

  • +Mwa 30:20
  • +Hes 26:26

Mwanzo 46:15

Marejeo

  • +Mwa 30:21

Mwanzo 46:16

Marejeo

  • +Mwa 30:11
  • +Hes 26:15-17

Mwanzo 46:17

Marejeo

  • +Mwa 30:13
  • +Hes 26:44, 45

Mwanzo 46:18

Marejeo

  • +Mwa 29:24

Mwanzo 46:19

Marejeo

  • +Mwa 30:24
  • +Mwa 35:18

Mwanzo 46:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, Heliopolisi.

Marejeo

  • +Mwa 41:50
  • +Mwa 41:51
  • +Mwa 41:52

Mwanzo 46:21

Marejeo

  • +1Nya 7:6
  • +1Nya 8:1, 3
  • +1Nya 7:12
  • +Hes 26:38-40

Mwanzo 46:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wana.” Huenda alikuwa na wana wengine ambao majina yao hayatajwi.

Marejeo

  • +Mwa 30:6
  • +Hes 26:42

Mwanzo 46:24

Marejeo

  • +Mwa 30:8
  • +Hes 26:48, 49

Mwanzo 46:26

Marejeo

  • +Mwa 35:10, 11

Mwanzo 46:27

Marejeo

  • +Kut 1:5; Kum 10:22; Mdo 7:14

Mwanzo 46:28

Marejeo

  • +Mwa 43:8; 44:18
  • +Mwa 45:10; 47:1

Mwanzo 46:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akamwangukia shingoni.”

  • *

    Au “na kumlilia shingoni tena na tena.”

Mwanzo 46:31

Marejeo

  • +Mwa 41:39, 40
  • +Mwa 45:19; Mdo 7:13

Mwanzo 46:32

Marejeo

  • +Mwa 31:17, 18; 47:3
  • +Mwa 31:38
  • +Mwa 46:6

Mwanzo 46:34

Marejeo

  • +Mwa 30:35, 36
  • +Mwa 45:17, 18; 47:27
  • +Mwa 43:32

Jumla

Mwa. 46:1Mwa 21:31
Mwa. 46:1Mwa 31:42; Kut 3:6
Mwa. 46:3Mwa 28:13
Mwa. 46:3Mwa 12:1, 2; Kut 1:7; Kum 26:5
Mwa. 46:4Mwa 15:16; 28:15; 47:29, 30; 50:13
Mwa. 46:4Mwa 50:1
Mwa. 46:8Kut 1:1-4
Mwa. 46:8Mwa 35:23; 1Nya 5:1
Mwa. 46:9Hes 26:5, 6
Mwa. 46:10Mwa 29:33
Mwa. 46:10Hes 26:12, 13; 1Nya 4:24
Mwa. 46:11Mwa 29:34
Mwa. 46:111Nya 6:16
Mwa. 46:12Mwa 29:35; Ufu 5:5
Mwa. 46:12Mwa 38:2-5
Mwa. 46:12Lu 3:23, 33
Mwa. 46:12Mwa 38:30
Mwa. 46:12Mwa 38:7, 9, 10
Mwa. 46:12Hes 26:21; 1Nya 2:5
Mwa. 46:13Hes 26:23, 24; 1Nya 7:1
Mwa. 46:14Mwa 30:20
Mwa. 46:14Hes 26:26
Mwa. 46:15Mwa 30:21
Mwa. 46:16Mwa 30:11
Mwa. 46:16Hes 26:15-17
Mwa. 46:17Mwa 30:13
Mwa. 46:17Hes 26:44, 45
Mwa. 46:18Mwa 29:24
Mwa. 46:19Mwa 30:24
Mwa. 46:19Mwa 35:18
Mwa. 46:20Mwa 41:50
Mwa. 46:20Mwa 41:51
Mwa. 46:20Mwa 41:52
Mwa. 46:211Nya 7:6
Mwa. 46:211Nya 8:1, 3
Mwa. 46:211Nya 7:12
Mwa. 46:21Hes 26:38-40
Mwa. 46:23Mwa 30:6
Mwa. 46:23Hes 26:42
Mwa. 46:24Mwa 30:8
Mwa. 46:24Hes 26:48, 49
Mwa. 46:26Mwa 35:10, 11
Mwa. 46:27Kut 1:5; Kum 10:22; Mdo 7:14
Mwa. 46:28Mwa 43:8; 44:18
Mwa. 46:28Mwa 45:10; 47:1
Mwa. 46:31Mwa 41:39, 40
Mwa. 46:31Mwa 45:19; Mdo 7:13
Mwa. 46:32Mwa 31:17, 18; 47:3
Mwa. 46:32Mwa 31:38
Mwa. 46:32Mwa 46:6
Mwa. 46:34Mwa 30:35, 36
Mwa. 46:34Mwa 45:17, 18; 47:27
Mwa. 46:34Mwa 43:32
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mwanzo 46:1-34

Mwanzo

46 Basi Israeli akachukua kila kitu alichokuwa nacho* na kuondoka. Alipofika Beer-sheba,+ alimtolea dhabihu Mungu wa Isaka, baba yake.+ 2 Kisha Mungu akaongea na Israeli katika maono usiku na kumwambia: “Yakobo, Yakobo!” naye akajibu: “Mimi hapa!” 3 Akamwambia: “Mimi ndiye Mungu wa kweli, Mungu wa baba yako.+ Usiogope kushuka kwenda Misri, kwa maana huko nitakufanya uwe taifa kubwa.+ 4 Mimi mwenyewe nitashuka pamoja nawe Misri, na pia mimi mwenyewe nitakurudisha kutoka huko,+ na Yosefu atayafumba macho yako kwa mkono wake.”*+

5 Kisha Yakobo akaondoka Beer-sheba, na wanawe* wakamsafirisha Yakobo baba yao na watoto wao na wake zao katika magari ya kukokotwa ambayo Farao alikuwa amewapa ili yamsafirishe. 6 Wakachukua mifugo yao na mali zao, walizokuwa wamekusanya katika nchi ya Kanaani. Basi wakafika Misri, Yakobo na wazao wake wote. 7 Alienda Misri pamoja na wanawe na mabinti zake na wajukuu wake wa kiume na wa kike—wazao wake wote.

8 Sasa haya ndiyo majina ya wana wa Israeli waliokuja Misri,+ Yakobo na wanawe: mzaliwa wa kwanza wa Yakobo alikuwa Rubeni.+

9 Wana wa Rubeni walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.+

10 Wana wa Simeoni+ walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli+ mwana wa mwanamke Mkanaani.

11 Wana wa Lawi+ walikuwa Gershoni, Kohathi, na Merari.+

12 Wana wa Yuda+ walikuwa Eri, Onani, Shela,+ Perezi,+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+

Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+

13 Wana wa Isakari walikuwa Tola, Puva, Iobu, na Shimroni.+

14 Wana wa Zabuloni+ walikuwa Seredi, Eloni, na Yahleeli.+

15 Hao ndio wana wa Lea, aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, kutia ndani Dina binti yake.+ Wanawe na mabinti zake wote walikuwa 33.

16 Wana wa Gadi+ walikuwa Zifioni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi, na Areli.+

17 Wana wa Asheri+ walikuwa Imna, Ishva, Ishvi, na Beria, na dada yao aliitwa Sera.

Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malkieli.+

18 Hao ndio wana wa Zilpa,+ kijakazi ambaye Labani alimpa Lea binti yake. Alimzalia Yakobo wana hao: wote walikuwa 16.

19 Wana wa Raheli, mke wa Yakobo, walikuwa Yosefu+ na Benjamini.+

20 Katika nchi ya Misri, Asenathi+ binti ya Potifera kuhani wa Oni,* alimzalia Yosefu wana hawa: Manase+ na Efraimu.+

21 Wana wa Benjamini+ walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera,+ Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu,+ na Ardi.+

22 Hao ndio wana ambao Raheli alimzalia Yakobo: wote walikuwa 14.

23 Mwana* wa Dani+ alikuwa Hushimu.+

24 Wana wa Naftali+ walikuwa Yahzeeli, Guni, Yezeri, na Shilemu.+

25 Hao ndio wana wa Bilha, kijakazi ambaye Labani alimpa Raheli binti yake. Alimzalia Yakobo wana hao: wote walikuwa saba.

26 Wazao wote wa Yakobo walioenda Misri pamoja naye walikuwa 66, bila kuhesabu wake wa wanawe.+ 27 Wana wa Yosefu aliowazaa akiwa Misri walikuwa wawili. Watu wote wa nyumba ya Yakobo waliokuja Misri walikuwa 70.+

28 Yakobo alimtuma Yuda+ atangulie na kumwambia Yosefu kwamba alikuwa njiani kwenda Gosheni. Walipofika katika nchi ya Gosheni,+ 29 Yosefu akaagiza gari lake litayarishwe, kisha akaenda kumpokea Israeli baba yake huko Gosheni. Alipokutana na baba yake, mara moja akamkumbatia* na kulia kwa muda.* 30 Kisha Israeli akamwambia Yosefu: “Sasa niko tayari kufa; nimeona uso wako na kujua kwamba ungali hai.”

31 Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake na watu wa nyumba ya baba yake: “Acheni nipande niende kumjulisha Farao,+ ‘Ndugu zangu na watu wa nyumba ya baba yangu waliokuwa katika nchi ya Kanaani wamekuja kwangu.+ 32 Watu hao ni wachungaji+ na wafugaji,+ nao wamekuja na kondoo wao na ng’ombe wao na kila kitu walicho nacho.’+ 33 Farao akiwaita na kuwauliza, ‘Mnafanya kazi gani?’ 34 Mnapaswa kumwambia, ‘Sisi watumishi wako tumekuwa wafugaji tangu tulipokuwa vijana mpaka sasa, sisi pamoja na mababu zetu,’+ ili mwishi katika nchi ya Gosheni,+ kwa sababu Wamisri wanamchukia kila mtu anayefuga kondoo.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki