Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 123
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kumtazama Yehova ili kupata kibali

        • ‘Kama watumishi, tunamtazama Yehova’ (2)

        • “Tumedharauliwa vya kutosha” (3)

Zaburi 123:1

Marejeo

  • +Zb 25:15; 121:1

Zaburi 123:2

Marejeo

  • +Zb 119:82; 130:6
  • +Omb 3:25; Mik 7:7

Zaburi 123:3

Marejeo

  • +Ne 4:4; Zb 44:13

Zaburi 123:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nafsi yetu imechoshwa na dhihaka nyingi za.”

Jumla

Zab. 123:1Zb 25:15; 121:1
Zab. 123:2Zb 119:82; 130:6
Zab. 123:2Omb 3:25; Mik 7:7
Zab. 123:3Ne 4:4; Zb 44:13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 123:1-4

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda.

123 Nayainua macho yangu kukuelekea wewe,+

Wewe unayeketi kwenye kiti cha ufalme mbinguni.

 2 Kama macho ya watumishi yanavyoutazama mkono wa bwana wao,

Na macho ya kijakazi yanavyoutazama mkono wa bimkubwa wake,

Ndivyo macho yetu yanavyokutazama wewe, Ee Yehova Mungu wetu+

Mpaka utakapotuonyesha kibali.+

 3 Tuonyeshe kibali, Ee Yehova, tuonyeshe kibali,

Kwa maana tumedharauliwa vya kutosha.+

 4 Tumedhihakiwa vya kutosha na* watu wanaojitumaini

Na kudharauliwa na wenye kiburi.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki