Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 124
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • “Kama Yehova hangekuwa pamoja nasi”

        • Ponyoka kutoka katika mtego uliovunjika (7)

        • ‘Jina la Yehova ni msaada wetu’ (8)

Zaburi 124:1

Marejeo

  • +Zb 46:7; Ro 8:31; Ebr 13:6

Zaburi 124:2

Marejeo

  • +Zb 54:4; 118:6
  • +Zb 3:1; 22:16

Zaburi 124:3

Marejeo

  • +Zb 27:2
  • +Zb 56:1

Zaburi 124:4

Marejeo

  • +Zb 18:4

Zaburi 124:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nafsi yetu.”

Marejeo

  • +1Sa 23:26-28; 2Sa 17:21, 22
  • +Zb 25:15; 91:3

Zaburi 124:8

Marejeo

  • +Met 18:10

Jumla

Zab. 124:1Zb 46:7; Ro 8:31; Ebr 13:6
Zab. 124:2Zb 54:4; 118:6
Zab. 124:2Zb 3:1; 22:16
Zab. 124:3Zb 27:2
Zab. 124:3Zb 56:1
Zab. 124:4Zb 18:4
Zab. 124:71Sa 23:26-28; 2Sa 17:21, 22
Zab. 124:7Zb 25:15; 91:3
Zab. 124:8Met 18:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 124:1-8

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda. Wa Daudi.

124 “Kama Yehova hangekuwa pamoja nasi”+

—Watu wa Israeli na waseme sasa—

 2 “Kama Yehova hangekuwa pamoja nasi+

Watu walipokuja kutushambulia,+

 3 Basi wangetumeza tukiwa hai+

Hasira yao ilipokuwa ikiwaka dhidi yetu.+

 4 Kisha maji yangetufagilia mbali,

Mafuriko yangetufunika.+

 5 Maji yenye nguvu yangetulemea.

 6 Yehova na asifiwe,

Kwa maana hakututia katika meno yao kama mawindo.

 7 Sisi* ni kama ndege aliyeponyoka

Kutoka katika mtego wa mwindaji;+

Mtego ulivunjika,

Nasi tukaponyoka.+

 8 Msaada wetu uko katika jina la Yehova,+

Muumba wa mbingu na dunia.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki