Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 26
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI ZILIZONAKILIWA NA WATU WA MFALME HEZEKIA (25:1–29:27)

Methali 26:1

Marejeo

  • +Met 30:21, 22; Mhu 10:7

Methali 26:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Ndivyo laana isiyostahiliwa isivyompata mtu.”

Methali 26:3

Marejeo

  • +Zb 32:9
  • +Met 27:22

Methali 26:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ili usilingane naye.”

Methali 26:5

Marejeo

  • +Mt 21:23-25

Methali 26:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kunywa ukatili.”

Methali 26:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “inayoning’inia.”

Marejeo

  • +Met 17:7

Methali 26:8

Marejeo

  • +Met 19:10; 26:1

Methali 26:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayemjeruhi kila mtu.”

Methali 26:11

Marejeo

  • +2Pe 2:22

Methali 26:12

Marejeo

  • +Met 12:15; 1Ko 3:18; 8:2

Methali 26:13

Marejeo

  • +Met 22:13

Methali 26:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maegemeo yake.”

Marejeo

  • +Met 6:9; 19:15; 24:33, 34

Methali 26:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “huuzika.”

Marejeo

  • +Met 19:24

Methali 26:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “anayejiingiza katika.”

Marejeo

  • +1Th 4:11; 1Pe 4:15

Methali 26:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mishale inayoua.”

Methali 26:19

Marejeo

  • +Met 15:21

Methali 26:20

Marejeo

  • +Met 22:10; Yak 3:6

Methali 26:21

Marejeo

  • +Met 3:30; 16:28; 17:14

Methali 26:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “vitu vinavyomezwa kwa pupa.”

Marejeo

  • +Met 18:8

Methali 26:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ndivyo ilivyo midomo yenye shauku pamoja na.”

Marejeo

  • +2Sa 20:9, 10

Methali 26:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kwa maana moyo wake unachukiza kabisa.”

Methali 26:27

Marejeo

  • +Est 7:10; Zb 9:15; Met 28:10; Mhu 10:8

Methali 26:28

Marejeo

  • +Met 29:5

Jumla

Met. 26:1Met 30:21, 22; Mhu 10:7
Met. 26:3Zb 32:9
Met. 26:3Met 27:22
Met. 26:5Mt 21:23-25
Met. 26:7Met 17:7
Met. 26:8Met 19:10; 26:1
Met. 26:112Pe 2:22
Met. 26:12Met 12:15; 1Ko 3:18; 8:2
Met. 26:13Met 22:13
Met. 26:14Met 6:9; 19:15; 24:33, 34
Met. 26:15Met 19:24
Met. 26:171Th 4:11; 1Pe 4:15
Met. 26:19Met 15:21
Met. 26:20Met 22:10; Yak 3:6
Met. 26:21Met 3:30; 16:28; 17:14
Met. 26:22Met 18:8
Met. 26:232Sa 20:9, 10
Met. 26:27Est 7:10; Zb 9:15; Met 28:10; Mhu 10:8
Met. 26:28Met 29:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 26:1-28

Methali

26 Kama theluji wakati wa kiangazi na mvua wakati wa mavuno,

Ndivyo heshima isivyomfaa mpumbavu.+

 2 Kama ndege alivyo na sababu ya kukimbia na mbayuwayu kuruka,

Ndivyo laana isivyokuja bila sababu nzuri.*

 3 Mjeledi ni wa farasi, lijamu ni ya punda,+

Na fimbo ni ya mgongo wa watu wapumbavu.+

 4 Usimjibu mpumbavu kulingana na ujinga wake,

Ili usiwe kama yeye.*

 5 Mjibu mpumbavu kulingana na ujinga wake,

Ili asifikiri kwamba ana hekima.+

 6 Kama mtu anayeilemaza miguu yake na kujidhuru mwenyewe*

Ndivyo alivyo mtu anayemkabidhi mambo mpumbavu.

 7 Kama miguu inayochechemea* ya walemavu,

Ndivyo ilivyo methali kinywani mwa watu wapumbavu.+

 8 Kama jiwe linavyofungwa kwenye kombeo,

Ndivyo ilivyo kumpa utukufu mtu mpumbavu.+

 9 Kama mmea wa miiba mkononi mwa mlevi,

Ndivyo ilivyo methali kinywani mwa watu wapumbavu.

10 Kama mpiga mishale anayemjeruhi yeyote yule,*

Ndivyo alivyo mtu anayemwajiri mpumbavu au wapita njia.

11 Kama mbwa anayerudia matapishi yake,

Ndivyo mpumbavu anavyorudia ujinga wake.+

12 Je, umemwona mtu anayefikiri ana hekima?+

Kuna tumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwa mtu huyo.

13 Mvivu anasema: “Kuna mwanasimba barabarani,

Kuna simba katika uwanja wa jiji!”+

14 Mlango huzunguka-zunguka katika bawaba zake,*

Na mvivu hugeuka-geuka kitandani mwake.+

15 Mvivu huutumbukiza* mkono wake katika bakuli la karamu,

Lakini amechoka sana kuurudisha kinywani mwake.+

16 Mvivu hufikiri kwamba ana hekima zaidi

Kuliko watu saba wanaojibu kwa busara.

17 Kama mtu anayemkamata mbwa masikio

Ndivyo alivyo mpita njia anayekasirishwa na* ugomvi usiomhusu.+

18 Kama mwenda wazimu anayetupa vishale vinavyowaka moto, mishale, na kifo*

19 Ndivyo alivyo mtu anayemhadaa jirani yake na kusema, “Nilikuwa nikifanya mzaha tu!”+

20 Pasipo na kuni moto huzimika,

Na pasipo na mchongezi, ugomvi hukoma.+

21 Kama makaa yanavyoongezwa kwenye makaa yanayozimika na kuni zinavyoongezwa motoni,

Ndivyo mtu mgomvi anavyochochea ugomvi.+

22 Maneno ya mchongezi ni kama matonge matamu;*

Humezwa na kushuka tumboni moja kwa moja.+

23 Kama fedha inayopakwa juu ya chombo cha udongo

Ndivyo yalivyo maneno ya upendo yanayotoka katika* moyo mwovu.+

24 Anayewachukia wengine huficha chuki hiyo kwa midomo yake,

Lakini ndani amesitiri udanganyifu.

25 Ingawa anaongea kwa fadhili, usimwamini,

Kwa maana kuna mambo saba yanayochukiza moyoni mwake.*

26 Ingawa chuki yake imefichwa kwa udanganyifu,

Uovu wake utafunuliwa kutanikoni.

27 Anayechimba shimo ataanguka ndani yake,

Na yeyote anayebingirisha jiwe—litamrudia.+

28 Ulimi unaosema uwongo huwachukia watu uliowaponda,

Na kinywa kinachosifusifu huleta uharibifu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki