Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 143
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kiu kwa ajili ya Mungu kama nchi iliyokauka

        • ‘Ninatafakari kazi zako’ (5)

        • “Nifundishe kufanya mapenzi yako” (10)

        • ‘Roho yako nzuri na iniongoze’ (10)

Zaburi 143:1

Marejeo

  • +Zb 65:2

Zaburi 143:2

Marejeo

  • +Ayu 9:2; Zb 130:3; Mhu 7:20; Ro 3:20; Gal 2:16; 1Yo 1:10

Zaburi 143:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ninaishiwa na nguvu.”

Marejeo

  • +Zb 142:3
  • +Zb 102:4

Zaburi 143:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ninajifunza.”

Marejeo

  • +Zb 77:5, 6, 11, 12; 111:2, 3

Zaburi 143:6

Marejeo

  • +Zb 63:1

Zaburi 143:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Roho yangu imefikia.”

  • *

    Au “kaburini.”

Marejeo

  • +Zb 40:13; 70:5
  • +Zb 142:3
  • +Zb 27:9
  • +Zb 28:1

Zaburi 143:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kwa maana ninakuinulia nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 5:8; Met 3:6

Zaburi 143:9

Marejeo

  • +Zb 59:1; 61:3, 4; 91:1

Zaburi 143:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “katika nchi ya unyoofu.”

Marejeo

  • +Zb 25:4

Zaburi 143:11

Marejeo

  • +Zb 31:1

Zaburi 143:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wanyamazishe.”

Marejeo

  • +1Sa 25:29; 26:9, 10
  • +1Sa 24:12
  • +Zb 89:20

Jumla

Zab. 143:1Zb 65:2
Zab. 143:2Ayu 9:2; Zb 130:3; Mhu 7:20; Ro 3:20; Gal 2:16; 1Yo 1:10
Zab. 143:4Zb 142:3
Zab. 143:4Zb 102:4
Zab. 143:5Zb 77:5, 6, 11, 12; 111:2, 3
Zab. 143:6Zb 63:1
Zab. 143:7Zb 40:13; 70:5
Zab. 143:7Zb 142:3
Zab. 143:7Zb 27:9
Zab. 143:7Zb 28:1
Zab. 143:8Zb 5:8; Met 3:6
Zab. 143:9Zb 59:1; 61:3, 4; 91:1
Zab. 143:10Zb 25:4
Zab. 143:11Zb 31:1
Zab. 143:121Sa 25:29; 26:9, 10
Zab. 143:121Sa 24:12
Zab. 143:12Zb 89:20
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 143:1-12

Zaburi

Muziki wa Daudi.

143 Ee Yehova, isikie sala yangu;+

Sikiliza sihi yangu ya kuomba msaada.

Nijibu katika uaminifu wako na katika uadilifu wako.

 2 Usinihukumu mimi mtumishi wako,

Kwa maana hakuna yeyote aliye hai anayeweza kuwa mwadilifu mbele zako.+

 3 Kwa maana adui ananifuatia;

Ameuponda uhai wangu ardhini.

Amenifanya nikae gizani kama wale waliokufa zamani za kale.

 4 Roho yangu inazimia;*+

Moyo wangu umekufa ganzi.+

 5 Ninazikumbuka siku za kale;

Ninatafakari utendaji wako wote;+

Ninatafakari* kwa bidii kazi ya mikono yako.

 6 Ninakunyooshea mikono yangu;

Mimi ni kama nchi iliyokauka yenye kiu kwa ajili yako.+ (Sela)

 7 Nijibu haraka, Ee Yehova;+

Nguvu zangu zimefikia* mwisho.+

Usinifiche uso wako,+

La sivyo nitakuwa kama wale wanaoshuka shimoni.*+

 8 Acha nisikie upendo wako mshikamanifu asubuhi,

Kwa maana ninakutumaini wewe.

Nijulishe njia ninayopaswa kutembea ndani yake,+

Kwa maana ninakugeukia wewe.*

 9 Niokoe kutoka kwa maadui wangu, Ee Yehova.

Ninatafuta ulinzi wako.+

10 Nifundishe kufanya mapenzi yako,+

Kwa maana wewe ni Mungu wangu.

Roho yako ni nzuri;

Na iniongoze kwenye nchi tambarare.*

11 Ee Yehova, nihifadhi hai kwa ajili ya jina lako.

Katika uadilifu wako, niokoe kutoka katika taabu.+

12 Katika upendo wako mshikamanifu, waangamize* maadui wangu;+

Waangamize wote wanaoninyanyasa,+

Kwa maana mimi ni mtumishi wako.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki