Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 144
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya kuomba ushindi

        • ‘Mwanadamu anayeweza kufa ni nini?’ (3)

        • ‘Maadui na watawanywe’ (6)

        • Watu wa Yehova ni wenye furaha (15)

Zaburi 144:1

Marejeo

  • +Kum 32:4
  • +2Sa 22:35; Zb 18:2, 34

Zaburi 144:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kilele changu salama.”

Marejeo

  • +2Sa 22:2, 3
  • +Zb 18:47

Zaburi 144:3

Marejeo

  • +Zb 8:4; Ebr 2:6

Zaburi 144:4

Marejeo

  • +Zb 39:5
  • +1Nya 29:15; Ayu 14:1, 2

Zaburi 144:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kunja.”

Marejeo

  • +Zb 18:9
  • +Kut 19:18

Zaburi 144:6

Marejeo

  • +Ayu 36:32
  • +2Sa 22:15

Zaburi 144:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “udhibiti.”

Marejeo

  • +2Sa 22:17, 18; Zb 18:16, 17; 54:3

Zaburi 144:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Na mkono wao wa kulia ni mkono wa kulia wa uwongo.”

Zaburi 144:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitakupigia muziki.”

Marejeo

  • +Zb 33:3; 40:3; 96:1; Isa 42:10; Ufu 5:9; 14:3

Zaburi 144:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wokovu.”

Marejeo

  • +2Sa 5:19; Zb 18:50
  • +1Sa 17:45, 46; 2Sa 21:15, 17

Zaburi 144:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hawatapasukiwa na mimba.”

Zaburi 144:15

Marejeo

  • +Zb 33:12; 37:9, 37; 146:5

Jumla

Zab. 144:1Kum 32:4
Zab. 144:12Sa 22:35; Zb 18:2, 34
Zab. 144:22Sa 22:2, 3
Zab. 144:2Zb 18:47
Zab. 144:3Zb 8:4; Ebr 2:6
Zab. 144:4Zb 39:5
Zab. 144:41Nya 29:15; Ayu 14:1, 2
Zab. 144:5Zb 18:9
Zab. 144:5Kut 19:18
Zab. 144:6Ayu 36:32
Zab. 144:62Sa 22:15
Zab. 144:72Sa 22:17, 18; Zb 18:16, 17; 54:3
Zab. 144:9Zb 33:3; 40:3; 96:1; Isa 42:10; Ufu 5:9; 14:3
Zab. 144:102Sa 5:19; Zb 18:50
Zab. 144:101Sa 17:45, 46; 2Sa 21:15, 17
Zab. 144:15Zb 33:12; 37:9, 37; 146:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 144:1-15

Zaburi

Wa Daudi.

144 Yehova, Mwamba wangu,+ na asifiwe,

Anayeizoeza mikono yangu kwa ajili ya vita,

Vidole vyangu kwa ajili ya kupigana.+

 2 Yeye ni upendo wangu mshikamanifu na ngome yangu,

Kimbilio langu salama* na mwokozi wangu,

Ngao yangu na Yule ambaye nimejificha ndani yake,+

Yule anayeyatiisha mataifa chini yangu.+

 3 Ee Yehova, mwanadamu ni nini hata umtambue,

Mwana wa mtu anayeweza kufa ni nini hata umkazie uangalifu?+

 4 Mwanadamu ni kama pumzi tu;+

Siku zake ni kama kivuli kinachopita.+

 5 Ee Yehova, shusha* mbingu zako uteremke;+

Iguse milima na uifanye ifuke moshi.+

 6 Ifanye radi imweke na kuwatawanya maadui;+

Piga mishale yako uwavuruge.+

 7 Inyooshe mikono yako kutoka juu;

Niokoe na kuninusuru kutoka katika maji mengi,

Kutoka katika mkono* wa wageni,+

 8 Ambao kinywa chao kinasema uwongo

Na ambao wanainua juu mkono wao wa kulia ili kuapa kwa uwongo.*

 9 Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya.+

Nitakuimbia sifa* kwa kinanda cha nyuzi kumi,

10 Wewe unayewapa wafalme ushindi,*+

Wewe unayemwokoa mtumishi wako Daudi kutokana na upanga hatari.+

11 Niokoe na kuninusuru kutoka katika mkono wa wageni,

Ambao vinywa vyao husema uwongo

Na ambao wanainua mkono wao wa kulia ili kuapa kwa uwongo.

12 Ndipo wana wetu watakuwa kama mimea michanga inayokua haraka,

Mabinti wetu kama nguzo za pembeni zilizochongwa kwa ajili ya jumba la mfalme.

13 Maghala yetu yatafurika mazao ya kila aina;

Makundi yetu ya kondoo yataongezeka kwa maelfu, kwa makumi ya maelfu.

14 Ng’ombe wetu, wakiwa na mimba, hawatapatwa na jambo baya* wala mimba kuharibika,

Hakutakuwa na kilio cha kuteseka katika viwanja vyetu vya mji.

15 Wenye furaha ni watu wenye hali hizo!

Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova!+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki