Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 60
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Utukufu wa Mungu wang’aa juu ya Sayuni (1-22)

        • Kama njiwa kwenye viota vyao (8)

        • Dhahabu badala ya shaba (17)

        • Mdogo atakuwa elfu (22)

Isaya 60:1

Marejeo

  • +Isa 51:17; 52:1
  • +Isa 60:19, 20

Isaya 60:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwenye mwangaza wa mapambazuko yako.”

Marejeo

  • +Isa 11:10
  • +Isa 49:23
  • +Ufu 21:23, 24

Isaya 60:4

Marejeo

  • +Isa 49:17, 18; 54:1
  • +Isa 49:21, 22

Isaya 60:5

Marejeo

  • +Yer 33:9
  • +Isa 61:6; Hag 2:7, 8

Isaya 60:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “yatakufunika.”

Marejeo

  • +1Nya 1:32, 33
  • +Mal 1:11

Isaya 60:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nyumba yangu ya urembo.”

Marejeo

  • +Isa 42:11
  • +Mwa 25:13
  • +Kut 29:39, 42; Isa 56:6, 7
  • +Hag 2:9

Isaya 60:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “matundu katika nyumba ya ndege?”

Isaya 60:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kama zilivyokuwa awali.”

  • *

    Au “atakurembesha.”

Marejeo

  • +Isa 51:5
  • +Isa 60:4; 66:20
  • +Zb 149:4; Isa 52:1; 55:5

Isaya 60:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa nia yangu njema.”

Marejeo

  • +Ezr 7:27; Ne 2:7, 8; Isa 49:23
  • +Kum 30:3; Zb 30:5; Isa 54:7; 57:17, 18

Isaya 60:11

Marejeo

  • +Ufu 21:25, 26
  • +Isa 60:3, 5

Isaya 60:12

Marejeo

  • +Isa 41:11

Isaya 60:13

Marejeo

  • +Isa 35:1, 2
  • +Isa 41:19; 55:13
  • +Zb 132:7

Isaya 60:14

Marejeo

  • +Isa 62:12

Isaya 60:15

Marejeo

  • +2Nya 36:20, 21; Isa 49:14; Yer 30:17; Omb 1:4
  • +Isa 35:10; 61:7; Yer 33:10, 11

Isaya 60:16

Marejeo

  • +Isa 61:6
  • +Isa 49:23
  • +Isa 49:26

Isaya 60:17

Marejeo

  • +Isa 1:26; 32:1

Isaya 60:18

Marejeo

  • +Isa 2:4; 11:9; 54:14; Zek 9:8
  • +Isa 26:1

Isaya 60:19

Marejeo

  • +Zb 36:9; Isa 60:1; Ufu 21:23; 22:5
  • +Zek 2:4, 5

Isaya 60:20

Marejeo

  • +Zb 27:1; 84:11
  • +Isa 25:8; 30:19; 35:10

Isaya 60:21

Marejeo

  • +Isa 43:6, 7
  • +Isa 44:23

Jumla

Isa. 60:1Isa 51:17; 52:1
Isa. 60:1Isa 60:19, 20
Isa. 60:3Isa 11:10
Isa. 60:3Isa 49:23
Isa. 60:3Ufu 21:23, 24
Isa. 60:4Isa 49:17, 18; 54:1
Isa. 60:4Isa 49:21, 22
Isa. 60:5Yer 33:9
Isa. 60:5Isa 61:6; Hag 2:7, 8
Isa. 60:61Nya 1:32, 33
Isa. 60:6Mal 1:11
Isa. 60:7Isa 42:11
Isa. 60:7Mwa 25:13
Isa. 60:7Kut 29:39, 42; Isa 56:6, 7
Isa. 60:7Hag 2:9
Isa. 60:9Isa 51:5
Isa. 60:9Isa 60:4; 66:20
Isa. 60:9Zb 149:4; Isa 52:1; 55:5
Isa. 60:10Ezr 7:27; Ne 2:7, 8; Isa 49:23
Isa. 60:10Kum 30:3; Zb 30:5; Isa 54:7; 57:17, 18
Isa. 60:11Ufu 21:25, 26
Isa. 60:11Isa 60:3, 5
Isa. 60:12Isa 41:11
Isa. 60:13Isa 35:1, 2
Isa. 60:13Isa 41:19; 55:13
Isa. 60:13Zb 132:7
Isa. 60:14Isa 62:12
Isa. 60:152Nya 36:20, 21; Isa 49:14; Yer 30:17; Omb 1:4
Isa. 60:15Isa 35:10; 61:7; Yer 33:10, 11
Isa. 60:16Isa 61:6
Isa. 60:16Isa 49:23
Isa. 60:16Isa 49:26
Isa. 60:17Isa 1:26; 32:1
Isa. 60:18Isa 2:4; 11:9; 54:14; Zek 9:8
Isa. 60:18Isa 26:1
Isa. 60:19Zb 36:9; Isa 60:1; Ufu 21:23; 22:5
Isa. 60:19Zek 2:4, 5
Isa. 60:20Zb 27:1; 84:11
Isa. 60:20Isa 25:8; 30:19; 35:10
Isa. 60:21Isa 43:6, 7
Isa. 60:21Isa 44:23
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 60:1-22

Isaya

60 “Inuka, Ee mwanamke,+ angaza nuru, kwa maana nuru yako imekuja.

Utukufu wa Yehova unakuangazia.+

 2 Kwa maana tazama! giza litaifunika dunia

Na utusitusi mzito utayafunika mataifa;

Lakini Yehova atakuangazia,

Na utukufu wake utaonekana juu yako.

 3 Mataifa yataenda kwenye nuru yako+

Na wafalme+ kwenye fahari yako inayong’aa.*+

 4 Inua macho yako utazame pande zote kukuzunguka!

Wote wamekusanywa; wanakuja kwako.

Wana wako wanaendelea kuja kutoka mbali sana,+

Na mabinti wako wakiwa wametegemezwa viunoni.+

 5 Wakati huo utaona na kung’aa,+

Na moyo wako utadundadunda na kufurika,

Kwa sababu utajiri wa bahari utaelekezwa kwako;

Mali za mataifa zitakuja kwako.+

 6 Makundi ya ngamia yataifunika nchi yako,*

Ngamia dume wachanga wa Midiani na Efa.+

Wote kutoka Sheba—watakuja;

Watabeba dhahabu na ubani.

Watatangaza sifa za Yehova.+

 7 Makundi yote ya Kedari+ yatakusanywa kwako.

Kondoo dume wa Nebayothi+ watakutumikia.

Watakuja kwenye madhabahu yangu wakiwa na kibali,+

Nami nitairembesha nyumba yangu yenye utukufu.*+

 8 Ni nani hawa wanaokuja wakiruka kama mawingu,

Kama njiwa kwenye viota vyao?*

 9 Kwa maana visiwa vitanitumaini;+

Meli za Tarshishi zinaongoza,*

Kuwaleta wana wako kutoka mbali sana,+

Pamoja na fedha yao na dhahabu yao,

Kwa sifa ya jina la Yehova Mungu wako na ya Mtakatifu wa Israeli,

Kwa maana atakutukuza.*+

10 Wageni watazijenga kuta zako,

Na wafalme wao watakuhudumia,+

Kwa maana nilikupiga kwa hasira yangu,

Lakini kwa kibali changu* nitakuonyesha rehema.+

11 Malango yako yatakuwa wazi daima;+

Hayatafungwa mchana wala usiku,

Ili kukuletea mali za mataifa,

Na wafalme wao wataongoza.+

12 Kwa maana taifa lolote na ufalme wowote ambao hautakutumikia utaangamia,

Nayo mataifa yataharibiwa kabisa.+

13 Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako,+

Mberoshi, mtidhari, na mvinje pamoja,+

Ili kuparembesha mahali pangu patakatifu;

Nitapatukuza mahali pa miguu yangu.+

14 Wana wa wale waliokukandamiza watakuja na kuinama chini mbele yako;

Wote wanaokudharau watainama chini miguuni pako,

Nao watalazimika kukuita jiji la Yehova,

Sayuni la Mtakatifu wa Israeli.+

15 Badala ya kuwa aliyeachwa na kuchukiwa, bila yeyote kupita ndani yako,+

Nitakufanya uwe chanzo cha fahari ya milele,

Chanzo cha shangwe kwa vizazi vyote.+

16 Nawe kwa kweli utakunywa maziwa ya mataifa,+

Utanyonya matiti ya wafalme;+

Nawe hakika utajua kwamba mimi, Yehova, ni Mwokozi wako,

Na Mwenye Nguvu wa Yakobo ni Mkombozi wako.+

17 Badala ya shaba nitaleta dhahabu,

Na badala ya chuma nitaleta fedha,

Badala ya mbao, shaba,

Na badala ya mawe, chuma;

Nitaweka amani kuwa waangalizi wako

Na uadilifu kuwa watu wako wanaogawa kazi.+

18 Ukatili hautasikiwa tena katika nchi yako

Wala maangamizi na uharibifu katika mipaka yako.+

Nawe utaziita kuta zako Wokovu+ na malango yako Sifa.

19 Kwa maana jua halitakuwa tena nuru ya mchana kwako,

Wala nuru ya mwezi haitakuangazia,

Kwa maana Yehova atakuwa nuru ya milele kwako,+

Na Mungu wako atakuwa urembo wako.+

20 Jua lako halitatua tena,

Wala mwezi wako hautafifia,

Kwa maana Yehova atakuwa nuru yako ya milele,+

Na siku zako za kuomboleza zitakuwa zimekwisha.+

21 Na watu wako wote watakuwa waadilifu;

Wataimiliki nchi milele.

Wao ndio chipukizi nililopanda,

Kazi ya mikono yangu,+ ili nirembeshwe.+

22 Mdogo atakuwa elfu

Na mnyonge atakuwa taifa lenye nguvu.

Mimi mwenyewe, Yehova, nitaliharakisha jambo hilo kwa wakati wake.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki