Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Utawala wa uadilifu wa tawi la Yese (1-10)

        • Mbwamwitu na mwanakondoo watakaa pamoja (6)

        • Ujuzi kumhusu Yehova utajaa duniani (9)

      • Waliobaki watarudishwa (11-16)

Isaya 11:1

Marejeo

  • +Zb 132:11; Isa 53:2; Ufu 5:5; 22:16
  • +Ru 4:17; 1Sa 17:58; Mt 1:1, 6; Lu 3:23, 32; Mdo 13:22, 23; Ro 15:12
  • +Yer 23:5; 33:15; Zek 3:8; 6:12

Isaya 11:2

Marejeo

  • +Isa 42:1; Yoh 1:32; Mdo 10:38
  • +Lu 2:52
  • +Isa 9:6

Isaya 11:3

Marejeo

  • +Ebr 5:7
  • +Yoh 7:24; 8:16

Isaya 11:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uadilifu.”

  • *

    Au “roho.”

Marejeo

  • +Zb 2:9; 110:2; Ufu 19:11, 15
  • +2Th 2:8

Isaya 11:5

Marejeo

  • +Ufu 3:14

Isaya 11:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwanasimba mwenye manyoya marefu shingoni.”

  • *

    Au labda, “Na ndama na simba watakula pamoja.”

Marejeo

  • +Isa 65:25
  • +Eze 34:25

Isaya 11:7

Marejeo

  • +Ho. 2:18

Isaya 11:9

Marejeo

  • +Isa 2:4; 35:9; 60:18; Mik 4:4
  • +Isa 51:3; 56:7; 65:25
  • +Zb 22:27; Hab 2:14

Isaya 11:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nguzo ya ishara.”

  • *

    Au “Mataifa yatamtafuta.”

Marejeo

  • +Ro 15:12; Ufu 22:16
  • +Mwa 49:10; Isa 49:22; 62:10
  • +Mdo 11:18; 28:28

Isaya 11:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, Babilonia.

Marejeo

  • +Isa 11:16
  • +Isa 27:13; Yer 44:28; Mik 7:12
  • +Yer 44:15
  • +Sef 3:10
  • +Da 8:2
  • +Isa 66:19

Isaya 11:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nguzo ya ishara.”

Marejeo

  • +Ezr 1:2, 3; Isa 49:22; 62:10
  • +Zb 147:2; Isa 66:20

Isaya 11:13

Marejeo

  • +2Nya 30:1, 10; Yer 31:6
  • +Yer 3:18; Eze 37:16, 19; Ho. 1:11

Isaya 11:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “bega la.”

  • *

    Au “Mamlaka yao itafika juu ya.”

Marejeo

  • +Amo 9:11, 12; Oba 18
  • +Isa 25:10
  • +Yer 49:2

Isaya 11:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “ataikausha.”

  • *

    Tnn., “ulimi wa.”

  • *

    Yaani, Mto Efrati.

  • *

    Au “roho.”

  • *

    Au labda, “ataipiga iwe mito saba.”

Marejeo

  • +Kut 14:22
  • +Mwa 15:18

Isaya 11:16

Marejeo

  • +Isa 19:23; 27:13; 35:8; 40:3; 57:14; Yer 31:21
  • +Ezr 1:2, 3

Jumla

Isa. 11:1Zb 132:11; Isa 53:2; Ufu 5:5; 22:16
Isa. 11:1Ru 4:17; 1Sa 17:58; Mt 1:1, 6; Lu 3:23, 32; Mdo 13:22, 23; Ro 15:12
Isa. 11:1Yer 23:5; 33:15; Zek 3:8; 6:12
Isa. 11:2Isa 42:1; Yoh 1:32; Mdo 10:38
Isa. 11:2Lu 2:52
Isa. 11:2Isa 9:6
Isa. 11:3Ebr 5:7
Isa. 11:3Yoh 7:24; 8:16
Isa. 11:4Zb 2:9; 110:2; Ufu 19:11, 15
Isa. 11:42Th 2:8
Isa. 11:5Ufu 3:14
Isa. 11:6Isa 65:25
Isa. 11:6Eze 34:25
Isa. 11:7Ho. 2:18
Isa. 11:9Isa 2:4; 35:9; 60:18; Mik 4:4
Isa. 11:9Isa 51:3; 56:7; 65:25
Isa. 11:9Zb 22:27; Hab 2:14
Isa. 11:10Ro 15:12; Ufu 22:16
Isa. 11:10Mwa 49:10; Isa 49:22; 62:10
Isa. 11:10Mdo 11:18; 28:28
Isa. 11:11Isa 11:16
Isa. 11:11Isa 27:13; Yer 44:28; Mik 7:12
Isa. 11:11Yer 44:15
Isa. 11:11Sef 3:10
Isa. 11:11Da 8:2
Isa. 11:11Isa 66:19
Isa. 11:12Ezr 1:2, 3; Isa 49:22; 62:10
Isa. 11:12Zb 147:2; Isa 66:20
Isa. 11:132Nya 30:1, 10; Yer 31:6
Isa. 11:13Yer 3:18; Eze 37:16, 19; Ho. 1:11
Isa. 11:14Amo 9:11, 12; Oba 18
Isa. 11:14Isa 25:10
Isa. 11:14Yer 49:2
Isa. 11:15Kut 14:22
Isa. 11:15Mwa 15:18
Isa. 11:16Isa 19:23; 27:13; 35:8; 40:3; 57:14; Yer 31:21
Isa. 11:16Ezr 1:2, 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 11:1-16

Isaya

11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+

Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda.

 2 Na roho ya Yehova itatua juu yake,+

Roho ya hekima+ na ya uelewaji,

Roho ya shauri na ya nguvu,+

Roho ya ujuzi na ya kumwogopa Yehova.

 3 Naye atafurahia kumwogopa Yehova.+

Hatahukumu kwa mambo anayoona kwa macho yake,

Wala kukaripia kulingana tu na mambo anayosikia kwa masikio yake.+

 4 Atawahukumu kwa haki* watu wa hali ya chini,

Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia.

Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+

Na kuwaua waovu kwa pumzi* ya midomo yake.+

 5 Uadilifu utakuwa mshipi kiunoni mwake,

Na uaminifu mshipi wa kiuno chake.+

 6 Mbwamwitu atakaa pamoja na mwanakondoo kwa muda fulani,+

Na chui atalala pamoja na mwanambuzi,

Na ndama na simba* na mnyama aliyenoneshwa wote watakuwa pamoja;*+

Na mvulana mdogo atawaongoza.

 7 Ng’ombe na dubu watakula pamoja,

Na watoto wao watalala pamoja.

Simba atakula majani kama ng’ombe dume.+

 8 Na mtoto anayenyonya atacheza juu ya shimo la swila,

Na mtoto aliyeachishwa kunyonya atatia mkono wake juu ya shimo la nyoka mwenye sumu.

 9 Hawatasababisha madhara yoyote+

Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+

Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu Yehova

Kama maji yanavyoifunika bahari.+

10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+

Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+

Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.

11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari. 12 Atainua ishara* kwa ajili ya mataifa na kuwakusanya watu wa Israeli+ waliotawanywa, na watu wa Yuda waliotawanywa atawakusanya pamoja kutoka katika pembe nne za dunia.+

13 Wivu wa Efraimu utakuwa umetoweka,+

Na wale wanaomwonyesha Yuda uadui wataangamizwa.

Efraimu hatamwonea Yuda wivu,

Wala Yuda hatamwonyesha Efraimu uadui.+

14 Nao watashuka chini kwa ghafla kwenye miteremko ya* Wafilisti upande wa magharibi;

Wakiwa pamoja watawapora watu wa Mashariki.

Wataunyoosha mkono wao dhidi ya* Edomu+ na Moabu,+

Na Waamoni watakuwa raia wao.+

15 Yehova ataigawanya* ghuba ya* bahari ya Misri+

Na kuutikisa mkono wake juu ya ule Mto.*+

Kwa pumzi* yake inayounguza ataipiga katika vijito vyake saba,*

Naye atawafanya watu watembee na kuvuka wakiwa wamevaa viatu vyao.

16 Na kutakuwa na barabara kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya watu wake waliobaki,+

Kama ilivyokuwa kwa ajili ya Israeli siku aliyotoka nchini Misri.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki