Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 16
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ufunuo—Yaliyomo

      • Mabakuli saba ya hasira ya Mungu (1-21)

        • Yamwagwa duniani (2), baharini (3), kwenye mito na chemchemi (4-7), kwenye jua (8, 9), kwenye kiti cha ufalme cha mnyama-mwitu (10, 11), kwenye Mto Efrati (12-16), na hewani (17-21)

        • Vita vya Mungu, Har-magedoni (14, 16)

Ufunuo 16:1

Marejeo

  • +Ufu 16:17
  • +Zb 69:24; Sef 3:8

Ufunuo 16:2

Marejeo

  • +Ufu 8:7
  • +Kut 9:10
  • +Ufu 13:16, 18
  • +Ufu 13:15; 19:20

Ufunuo 16:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kila nafsi ikafa.”

Marejeo

  • +Ufu 8:8
  • +Kut 7:20
  • +Isa 57:20

Ufunuo 16:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mabubujiko ya maji.”

Marejeo

  • +Ufu 8:10
  • +Kut 7:20; Zb 78:44

Ufunuo 16:5

Marejeo

  • +Ufu 1:4
  • +Zb 145:17; Ufu 15:4
  • +Kum 32:4; Zb 119:137

Ufunuo 16:6

Marejeo

  • +Zb 79:3
  • +Isa 49:26
  • +Ufu 18:20

Ufunuo 16:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Au “maamuzi yako ya hukumu.”

Marejeo

  • +Kut 6:3
  • +Zb 19:9; 119:137; Ufu 19:1, 2

Ufunuo 16:8

Marejeo

  • +Ufu 8:12

Ufunuo 16:10

Marejeo

  • +Kut 10:21; Isa 8:22

Ufunuo 16:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mawio ya jua.”

Marejeo

  • +Ufu 9:13, 14
  • +Yer 50:38
  • +Isa 44:27, 28

Ufunuo 16:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “roho waovu.”

Marejeo

  • +Ufu 12:3

Ufunuo 16:14

Marejeo

  • +Ufu 13:11, 13
  • +Ufu 19:19
  • +Isa 13:6; Yer 25:33; Eze 30:3; Yoe 1:15; 2:1, 11; Sef 1:15; 2Pe 3:11, 12

Ufunuo 16:15

Marejeo

  • +1Th 5:2; 2Pe 3:10
  • +Lu 21:36
  • +Ufu 3:18

Ufunuo 16:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki, Har Ma·ge·donʹ, kutokana na neno la Kiebrania linalomaanisha “Mlima wa Megido.”

Marejeo

  • +2Nya 35:22; Zek 12:11; Ufu 19:19

Ufunuo 16:17

Marejeo

  • +Ufu 16:1

Ufunuo 16:18

Marejeo

  • +Eze 38:19; Da 12:1; Ebr 12:26

Ufunuo 16:19

Marejeo

  • +Ufu 17:18
  • +Ufu 18:2
  • +Yer 25:15; Ufu 15:7

Ufunuo 16:20

Marejeo

  • +Ufu 6:14

Ufunuo 16:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Talanta ya Kigiriki ilikuwa sawa na kilogramu 20.4. Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +Ayu 38:22, 23
  • +Kut 9:24

Jumla

Ufu. 16:1Ufu 16:17
Ufu. 16:1Zb 69:24; Sef 3:8
Ufu. 16:2Ufu 8:7
Ufu. 16:2Kut 9:10
Ufu. 16:2Ufu 13:16, 18
Ufu. 16:2Ufu 13:15; 19:20
Ufu. 16:3Ufu 8:8
Ufu. 16:3Kut 7:20
Ufu. 16:3Isa 57:20
Ufu. 16:4Ufu 8:10
Ufu. 16:4Kut 7:20; Zb 78:44
Ufu. 16:5Ufu 1:4
Ufu. 16:5Zb 145:17; Ufu 15:4
Ufu. 16:5Kum 32:4; Zb 119:137
Ufu. 16:6Zb 79:3
Ufu. 16:6Isa 49:26
Ufu. 16:6Ufu 18:20
Ufu. 16:7Kut 6:3
Ufu. 16:7Zb 19:9; 119:137; Ufu 19:1, 2
Ufu. 16:8Ufu 8:12
Ufu. 16:10Kut 10:21; Isa 8:22
Ufu. 16:12Ufu 9:13, 14
Ufu. 16:12Yer 50:38
Ufu. 16:12Isa 44:27, 28
Ufu. 16:13Ufu 12:3
Ufu. 16:14Ufu 13:11, 13
Ufu. 16:14Ufu 19:19
Ufu. 16:14Isa 13:6; Yer 25:33; Eze 30:3; Yoe 1:15; 2:1, 11; Sef 1:15; 2Pe 3:11, 12
Ufu. 16:151Th 5:2; 2Pe 3:10
Ufu. 16:15Lu 21:36
Ufu. 16:15Ufu 3:18
Ufu. 16:162Nya 35:22; Zek 12:11; Ufu 19:19
Ufu. 16:17Ufu 16:1
Ufu. 16:18Eze 38:19; Da 12:1; Ebr 12:26
Ufu. 16:19Ufu 17:18
Ufu. 16:19Ufu 18:2
Ufu. 16:19Yer 25:15; Ufu 15:7
Ufu. 16:20Ufu 6:14
Ufu. 16:21Ayu 38:22, 23
Ufu. 16:21Kut 9:24
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ufunuo 16:1-21

Ufunuo kwa Yohana

16 Nami nikasikia sauti kubwa kutoka katika patakatifu+ ikiwaambia wale malaika saba: “Nendeni mkamwage yale mabakuli saba ya hasira ya Mungu juu ya dunia.”+

2 Malaika wa kwanza akaenda na kumwaga bakuli lake juu ya dunia.+ Na kidonda chenye maumivu na kilicho hatari+ kikawapata watu waliokuwa na alama ya yule mnyama wa mwituni+ na waliokuwa wakiiabudu sanamu yake.+

3 Malaika wa pili akamwaga bakuli lake ndani ya bahari.+ Nayo ikawa damu+ kama ya mwanadamu aliyekufa, na kila kiumbe aliye hai akafa,* ndiyo, vitu vilivyo ndani ya bahari.+

4 Malaika wa tatu akamwaga bakuli lake ndani ya mito na chemchemi za maji.*+ Nazo zikawa damu.+ 5 Nikamsikia malaika aliye juu ya maji akisema: “Wewe, Ambaye uko na uliyekuwako,+ Mshikamanifu,+ wewe ni mwadilifu, kwa kuwa umetoa hukumu hizi,+ 6 kwa sababu waliimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,+ nawe umewapa damu wanywe;+ wanastahili hivyo.”+ 7 Nikasikia madhabahu ikisema: “Ndiyo, Yehova* Mungu, Mweza-Yote,+ hukumu zako* ni za kweli na za uadilifu.”+

8 Malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua,+ nalo jua likapewa ruhusa ya kuwaunguza watu kwa moto. 9 Na wale watu wakaunguzwa na joto hilo kali, lakini wakalikufuru jina la Mungu, aliye na mamlaka juu ya mapigo haya, nao hawakutubu wala kumpa utukufu.

10 Malaika wa tano akamwaga bakuli lake juu ya kiti cha ufalme cha yule mnyama wa mwituni. Na ufalme wake ukatiwa giza,+ nao wakaanza kuzitafuna ndimi zao kwa sababu ya maumivu yao, 11 lakini wakamkufuru Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu yao na vidonda vyao, nao hawakutubu matendo yao.

12 Malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka+ ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.*

13 Nami nikaona maneno matatu machafu yaliyoongozwa na roho* ambayo yalionekana kama vyura yakitoka katika kinywa cha yule joka+ na katika kinywa cha yule mnyama wa mwituni na katika kinywa cha yule nabii wa uwongo. 14 Kwa kweli, hayo ni maneno yanayoongozwa na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme wa dunia nzima inayokaliwa, ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya siku kuu ya Mungu Mweza-Yote.+

15 “Tazama! Ninakuja kama mwizi.+ Mwenye furaha ni yule anayekaa macho+ na kutunza mavazi yake ya nje, ili asije akatembea uchi na watu waitazame aibu yake.”+

16 Nayo yakawakusanya pamoja mahali panapoitwa katika Kiebrania Har-Magedoni.*+

17 Malaika wa saba akamwaga bakuli lake juu ya hewa. Ndipo sauti kubwa ikatokea katika patakatifu+ kwenye kile kiti cha ufalme, ikisema: “Imetimia!” 18 Kukawa na radi na sauti na ngurumo, na kukatokea tetemeko kubwa la ardhi ambalo halijawahi kutokea tangu wanadamu walipoumbwa duniani,+ tetemeko hilo la ardhi lilikuwa kubwa sana na lilienea sana. 19 Lile jiji kubwa+ likapasuka na kuwa sehemu tatu, na majiji ya mataifa yakaanguka; na Babiloni Mkubwa+ akakumbukwa mbele za Mungu, ili kumpa kikombe cha divai cha hasira ya ghadhabu yake.+ 20 Pia, kila kisiwa kikatoweka, na milima haikupatikana tena.+ 21 Ndipo mvua kubwa ya mawe, kila jiwe likiwa na uzito wa karibu talanta moja,* ikanyesha kutoka mbinguni juu ya watu,+ nao watu wakamkufuru Mungu kwa sababu ya lile pigo la mvua ya mawe,+ kwa kuwa pigo hilo lilikuwa kubwa mno.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki