Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 108
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya ushindi dhidi ya maadui

        • Wokovu kutoka kwa wanadamu hauna faida yoyote (12)

        • “Kwa msaada wa Mungu tutapata nguvu” (13)

Zaburi 108:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hata kwa utukufu wangu.”

Marejeo

  • +Zb 57:7-11; 104:33

Zaburi 108:2

Marejeo

  • +Zb 81:2

Zaburi 108:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nitakupigia muziki.”

Zaburi 108:4

Marejeo

  • +Zb 36:5; 103:11

Zaburi 108:5

Marejeo

  • +Zb 8:1; 57:5, 11

Zaburi 108:6

Marejeo

  • +Zb 20:6; 60:5

Zaburi 108:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “mahali pake patakatifu.”

  • *

    Au “Nchi Tambarare ya Chini ya.”

Marejeo

  • +Yos 17:7
  • +Mwa 33:17; Zb 60:6-8

Zaburi 108:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ngome ya.”

Marejeo

  • +Yos 13:8, 11
  • +Kum 33:17
  • +Mwa 49:10

Zaburi 108:9

Marejeo

  • +2Sa 8:2
  • +Hes 24:18; 2Sa 8:14
  • +2Sa 8:1

Zaburi 108:10

Marejeo

  • +Zb 60:9-12

Zaburi 108:11

Marejeo

  • +Kum 23:14

Zaburi 108:12

Marejeo

  • +Zb 18:6
  • +Zb 118:8; 146:3, 4

Zaburi 108:13

Marejeo

  • +1Sa 2:4; 2Sa 22:40; Isa 40:29-31
  • +Zb 44:5

Jumla

Zab. 108:1Zb 57:7-11; 104:33
Zab. 108:2Zb 81:2
Zab. 108:4Zb 36:5; 103:11
Zab. 108:5Zb 8:1; 57:5, 11
Zab. 108:6Zb 20:6; 60:5
Zab. 108:7Yos 17:7
Zab. 108:7Mwa 33:17; Zb 60:6-8
Zab. 108:8Yos 13:8, 11
Zab. 108:8Kum 33:17
Zab. 108:8Mwa 49:10
Zab. 108:92Sa 8:2
Zab. 108:9Hes 24:18; 2Sa 8:14
Zab. 108:92Sa 8:1
Zab. 108:10Zb 60:9-12
Zab. 108:11Kum 23:14
Zab. 108:12Zb 18:6
Zab. 108:12Zb 118:8; 146:3, 4
Zab. 108:131Sa 2:4; 2Sa 22:40; Isa 40:29-31
Zab. 108:13Zb 44:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 108:1-13

Zaburi

Wimbo. Muziki wa Daudi.

108 Moyo wangu uko imara, Ee Mungu.

Nitaimba na kupiga muziki kwa nafsi yangu yote.*+

 2 Amka, Ee kinanda; nawe pia, Ee kinubi.+

Nitayaamsha mapambazuko.

 3 Nitakusifu miongoni mwa mataifa, Ee Yehova,

Nami nitakuimbia sifa* miongoni mwa mataifa.

 4 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkubwa, uko juu kama mbingu,+

Na uaminifu wako, unafika mpaka angani.

 5 Ukwezwe juu ya mbingu, Ee Mungu;

Utukufu wako na uwe juu ya dunia yote.+

 6 Ili wapendwa wako waokolewe,

Tuokoe kwa mkono wako wa kuume na unijibu.+

 7 Mungu ameongea katika utakatifu wake:*

“Nitashangilia, nitawagawia Shekemu+ kuwa urithi,

Nami nitawapimia Bonde la* Sukothi.+

 8 Gileadi+ ni yangu, na Manase ni yangu,

Na Efraimu ni kofia ya kukinga* kichwa changu;+

Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+

 9 Moabu ni beseni langu la kuogea.+

Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+

Nitapaza sauti kwa ushindi juu ya Ufilisti.”+

10 Ni nani atakayenipeleka kwenye lile jiji lenye ngome?

Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?+

11 Je, si wewe, Ee Mungu, ambaye umetukataa,

Mungu wetu, ambaye haendi tena na majeshi yetu?+

12 Tusaidie katika taabu yetu,+

Kwa maana wokovu kutoka kwa wanadamu hauna faida yoyote.+

13 Kwa msaada wa Mungu tutapata nguvu,+

Naye atawakanyagia chini maadui wetu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki