Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 33
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Hukumu na tumaini kwa waadilifu (1-24)

        • Yehova ni Mwamuzi, Mpaji-sheria, na Mfalme (22)

        • Hakuna atakayesema: “Mimi ni mgonjwa” (24)

Isaya 33:1

Marejeo

  • +2Fa 18:13; Isa 10:5
  • +Isa 10:12; Nah 3:7

Isaya 33:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nguvu zetu.”

Marejeo

  • +Zb 123:2
  • +Zb 44:3; Isa 52:10
  • +Zb 46:1; Nah 1:7

Isaya 33:3

Marejeo

  • +Zb 46:6; 68:1; Isa 17:13

Isaya 33:6

Marejeo

  • +Zb 27:1
  • +Met 19:23

Isaya 33:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, adui.

Marejeo

  • +2Fa 18:19, 20

Isaya 33:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “inakauka.”

Marejeo

  • +Isa 37:24
  • +Nah 1:4

Isaya 33:10

Marejeo

  • +Zb 46:10

Isaya 33:11

Marejeo

  • +Isa 5:24

Isaya 33:12

Marejeo

  • +Isa 9:18

Isaya 33:14

Marejeo

  • +Kum 28:66, 67
  • +Kum 32:22; Nah 1:6; Ebr 12:29

Isaya 33:15

Marejeo

  • +Eze 18:17
  • +1Nya 29:17
  • +Kut 23:8; Kum 16:19

Isaya 33:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kilele salama.”

Marejeo

  • +1Fa 19:5, 6; Zb 34:9, 10; Isa 65:13

Isaya 33:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utatafakari.”

Marejeo

  • +2Fa 15:19

Isaya 33:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ina kina kirefu isiweze kueleweka.”

Marejeo

  • +Kum 28:49, 50; Isa 28:11; Yer 5:15

Isaya 33:20

Marejeo

  • +Kum 12:5, 6
  • +Zb 125:1

Isaya 33:22

Marejeo

  • +Mwa 18:25; Zb 50:6; 98:9
  • +Law 26:3; Yak 4:12
  • +Zb 44:4; 97:1; Ufu 11:15, 17
  • +Isa 12:2; Sef 3:17

Isaya 33:23

Marejeo

  • +Isa 33:4

Isaya 33:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwenyeji.”

Marejeo

  • +Kum 7:15; Ufu 21:4; 22:1, 2
  • +Yer 50:20; Mik 7:18, 19

Jumla

Isa. 33:12Fa 18:13; Isa 10:5
Isa. 33:1Isa 10:12; Nah 3:7
Isa. 33:2Zb 123:2
Isa. 33:2Zb 44:3; Isa 52:10
Isa. 33:2Zb 46:1; Nah 1:7
Isa. 33:3Zb 46:6; 68:1; Isa 17:13
Isa. 33:6Zb 27:1
Isa. 33:6Met 19:23
Isa. 33:82Fa 18:19, 20
Isa. 33:9Isa 37:24
Isa. 33:9Nah 1:4
Isa. 33:10Zb 46:10
Isa. 33:11Isa 5:24
Isa. 33:12Isa 9:18
Isa. 33:14Kum 28:66, 67
Isa. 33:14Kum 32:22; Nah 1:6; Ebr 12:29
Isa. 33:15Eze 18:17
Isa. 33:151Nya 29:17
Isa. 33:15Kut 23:8; Kum 16:19
Isa. 33:161Fa 19:5, 6; Zb 34:9, 10; Isa 65:13
Isa. 33:182Fa 15:19
Isa. 33:19Kum 28:49, 50; Isa 28:11; Yer 5:15
Isa. 33:20Kum 12:5, 6
Isa. 33:20Zb 125:1
Isa. 33:22Mwa 18:25; Zb 50:6; 98:9
Isa. 33:22Law 26:3; Yak 4:12
Isa. 33:22Zb 44:4; 97:1; Ufu 11:15, 17
Isa. 33:22Isa 12:2; Sef 3:17
Isa. 33:23Isa 33:4
Isa. 33:24Kum 7:15; Ufu 21:4; 22:1, 2
Isa. 33:24Yer 50:20; Mik 7:18, 19
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 33:1-24

Isaya

33 Ole wako wewe, mwangamizaji ambaye hujaangamizwa;+

Ewe msaliti ambaye hujasalitiwa!

Utakapomaliza kuangamiza, utaangamizwa.+

Utakapomaliza kusaliti, utasalitiwa.

 2 Ee Yehova, tuonyeshe kibali.+

Tunakutumaini wewe.

Uwe mkono wetu*+ kila asubuhi,

Naam, wokovu wetu wakati wa taabu.+

 3 Watu wanakimbia kwa sababu ya sauti ya ghasia.

Unapoinuka, mataifa yanatawanyika.+

 4 Kama nzige wanaokula sana wanavyokusanyika, ndivyo nyara zako zitakavyokusanywa;

Watu watazikimbilia kama makundi ya nzige.

 5 Yehova atakwezwa,

Kwa maana anakaa katika vilele vilivyo juu.

Ataijaza Sayuni haki na uadilifu.

 6 Yeye ndiye tegemeo imara la nyakati zako;

Wingi wa wokovu,+ hekima, ujuzi, na kumwogopa Yehova+

—Hiyo ndiyo hazina yake.

 7 Tazama! Mashujaa wao wanalia kwa sauti barabarani;

Wajumbe wa amani wanalia kwa uchungu.

 8 Barabara kuu zimebaki tupu;

Hakuna mtu anayesafiri kwenye vijia.

Amelivunja* agano;

Ameyakataa majiji;

Hamheshimu mwanadamu anayeweza kufa.+

 9 Nchi inaomboleza* na kunyauka kabisa.

Lebanoni imeaibika;+ imeoza.

Sharoni imekuwa kama jangwa,

Na Bashani na Karmeli zinapukutisha majani yake.+

10 “Sasa nitainuka,” asema Yehova,

“Sasa nitajikweza mwenyewe;+

Sasa nitajitukuza mwenyewe.

11 Mnachukua mimba ya majani yaliyokauka na kuzaa majani makavu.

Roho yenu wenyewe itawateketeza kama moto.+

12 Na watu watakuwa kama chokaa iliyoteketea.

Watawashwa moto kama miiba iliyokatwa.+

13 Ninyi mlio mbali sana, sikieni jambo nitakalofanya!

Nanyi mlio karibu, tambueni uwezo wangu!

14 Watenda dhambi walio Sayuni wanaogopa;+

Waasi imani wanatetemeka:

‘Ni nani kati yetu anayeweza kuishi mahali palipo na moto unaoteketeza?+

Ni nani kati yetu anayeweza kuishi na miale isiyoweza kuzimwa?’

15 Yule anayetembea katika uadilifu wa daima,+

Anayesema mambo manyoofu,+

Anayekataa faida isiyo ya haki, ya ulaghai,

Ambaye mikono yake inakataa rushwa badala ya kuichukua kwa nguvu,+

Anayeziba sikio lake ili lisisikilize mazungumzo ya umwagaji wa damu,

Na anayefunga macho yake ili yasione maovu

16 —Atakaa katika vilele;

Kimbilio lake salama* litakuwa katika ngome zilizo kwenye miamba,

Atapewa mkate wake,

Naye maji yake hayataisha kamwe.”+

17 Macho yako yatamwona mfalme katika fahari yake;

Yataona nchi iliyo mbali sana.

18 Moyoni mwako utakumbuka* jambo linaloogopesha:

“Yuko wapi mwandishi?

Yuko wapi yule aliyepima ushuru?+

Yuko wapi yule aliyeihesabu minara?”

19 Hutawaona tena watu wenye dharau,

Watu ambao lugha yao ni ngumu sana kueleweka,*

Ambao huwezi kuelewa ulimi wao wenye kigugumizi.+

20 Tazama Sayuni, jiji la sherehe zetu!+

Macho yako yataona Yerusalemu kama makao matulivu,

Hema ambalo halitaondolewa.+

Vigingi vyake vya mahema havitang’olewa kamwe,

Na hakuna kamba yake yoyote itakayokatwa.

21 Lakini huko, yule Aliye Mkuu, Yehova,

Atakuwa kwetu eneo la mito, la mifereji mipana,

Ambako hakuna kundi la merikebu litakaloenda huko

Na hakuna meli za kifahari zitakazopita huko.

22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi wetu,+

Yehova ni Mpaji-sheria wetu,+

Yehova ni Mfalme wetu;+

Yeye Ndiye atakayetuokoa.+

23 Kamba zako zitalegea na kuning’inia;

Haziwezi kushika mlingoti usimame imara wala kutandaza tanga.

Wakati huo nyara nyingi zitagawanywa;

Hata mtu mlemavu atachukua nyara nyingi.+

24 Na hakuna mkaaji* atakayesema: “Mimi ni mgonjwa.”+

Watu wanaokaa katika nchi watasamehewa dhambi yao.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki