Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 29
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sauti ya Yehova yenye nguvu

        • Abuduni katika mapambo matakatifu (2)

        • “Mungu mtukufu hunguruma” (3)

        • Yehova huwapa nguvu watu wake (11)

Zaburi 29:1

Marejeo

  • +1Nya 16:28, 29

Zaburi 29:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mwabuduni.”

  • *

    Au labda, “kwa sababu ya fahari ya utakatifu wake.”

Zaburi 29:3

Marejeo

  • +1Sa 7:10; Zb 18:13
  • +Zb 104:3

Zaburi 29:4

Marejeo

  • +Ayu 26:11; 40:9

Zaburi 29:5

Marejeo

  • +Isa 2:12, 13

Zaburi 29:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaonekana ni safu ya milima ya Lebanoni.

Marejeo

  • +Kum 3:8, 9

Zaburi 29:7

Marejeo

  • +Kut 19:18; Zb 77:18

Zaburi 29:8

Marejeo

  • +Isa 13:13; Ebr 12:26
  • +Hes 13:26

Zaburi 29:9

Marejeo

  • +Isa 10:17, 18; Eze 20:47

Zaburi 29:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “bahari ya mbinguni.”

Marejeo

  • +Ayu 38:25
  • +1Ti 1:17

Zaburi 29:11

Marejeo

  • +Isa 40:29
  • +Zb 72:7

Jumla

Zab. 29:11Nya 16:28, 29
Zab. 29:31Sa 7:10; Zb 18:13
Zab. 29:3Zb 104:3
Zab. 29:4Ayu 26:11; 40:9
Zab. 29:5Isa 2:12, 13
Zab. 29:6Kum 3:8, 9
Zab. 29:7Kut 19:18; Zb 77:18
Zab. 29:8Isa 13:13; Ebr 12:26
Zab. 29:8Hes 13:26
Zab. 29:9Isa 10:17, 18; Eze 20:47
Zab. 29:10Ayu 38:25
Zab. 29:101Ti 1:17
Zab. 29:11Isa 40:29
Zab. 29:11Zb 72:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 29:1-11

Zaburi

Muziki wa Daudi.

29 Mpeni Yehova anachostahili, enyi wana wa watu hodari,

Mpeni Yehova anachostahili kwa sababu ya utukufu wake na nguvu zake.+

 2 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili.

Mwinamieni* Yehova katika mapambo matakatifu.*

 3 Sauti ya Yehova husikika juu ya maji;

Mungu mtukufu hunguruma.+

Yehova yuko juu ya maji mengi.+

 4 Sauti ya Yehova ina nguvu;+

Sauti ya Yehova ina fahari.

 5 Sauti ya Yehova inavunja mierezi;

Naam, Yehova anaipasua-pasua mierezi ya Lebanoni.+

 6 Hufanya Lebanoni* irukeruke kama ndama,

Na Sirioni+ kama ng’ombe dume mchanga wa mwituni.

 7 Sauti ya Yehova hupiga kwa miali ya moto;+

 8 Sauti ya Yehova huifanya nyika itetemeke;+

Yehova huifanya nyika ya Kadeshi+ itetemeke.

 9 Sauti ya Yehova humfanya paa atetemeke na kuzaa

Nayo huivua kabisa misitu.+

Na wote walio katika hekalu lake husema: “Utukufu!”

10 Yehova huketi kwenye kiti cha ufalme juu ya mafuriko ya maji;*+

Yehova huketi kwenye kiti cha ufalme akiwa Mfalme milele.+

11 Yehova atawapa nguvu watu wake.+

Yehova atawabariki watu wake kwa amani.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki