Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 28
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya mtunga zaburi yasikiwa

        • ‘Yehova ni nguvu zangu na ngao yangu’ (7)

Zaburi 28:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kaburini.”

Marejeo

  • +Kum 32:4; Isa 26:4
  • +Ayu 33:28

Zaburi 28:2

Marejeo

  • +Zb 5:7

Zaburi 28:3

Marejeo

  • +Hes 16:25, 26; Zb 26:9
  • +Zb 62:4

Zaburi 28:4

Marejeo

  • +Zb 59:12; Yer 18:22
  • +Zb 62:12; 2Th 1:6

Zaburi 28:5

Marejeo

  • +Ayu 34:26, 27
  • +Isa 5:12

Zaburi 28:7

Marejeo

  • +Isa 12:2
  • +Mwa 15:1; 2Sa 22:3; Zb 3:3
  • +Zb 56:4

Zaburi 28:8

Marejeo

  • +1Sa 16:13; 2Sa 22:3; Zb 20:6

Zaburi 28:9

Marejeo

  • +Kum 9:29
  • +Isa 40:11

Jumla

Zab. 28:1Kum 32:4; Isa 26:4
Zab. 28:1Ayu 33:28
Zab. 28:2Zb 5:7
Zab. 28:3Hes 16:25, 26; Zb 26:9
Zab. 28:3Zb 62:4
Zab. 28:4Zb 59:12; Yer 18:22
Zab. 28:4Zb 62:12; 2Th 1:6
Zab. 28:5Ayu 34:26, 27
Zab. 28:5Isa 5:12
Zab. 28:7Isa 12:2
Zab. 28:7Mwa 15:1; 2Sa 22:3; Zb 3:3
Zab. 28:7Zb 56:4
Zab. 28:81Sa 16:13; 2Sa 22:3; Zb 20:6
Zab. 28:9Kum 9:29
Zab. 28:9Isa 40:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 28:1-9

Zaburi

Wa Daudi.

28 Ninaendelea kukulilia wewe, Ee Yehova Mwamba wangu;+

Usiwe kama kiziwi kwangu.

Ukininyamazia,

Nitakuwa kama wale wanaoshuka shimoni.*+

 2 Sikia sihi zangu ninapokulilia unisaidie

Ninapoinua mikono yangu kuelekea chumba cha ndani zaidi cha mahali pako patakatifu.+

 3 Usinikokote pamoja na waovu, pamoja na wale wanaotenda mambo yanayodhuru,+

Wale wanaoongea na jirani yao maneno ya amani lakini uovu uko mioyoni mwao.+

 4 Walipe kulingana na matendo yao,+

Kulingana na mazoea yao maovu.

Walipe kulingana na kazi ya mikono yao,

Kulingana na mambo waliyotenda.+

 5 Kwa maana hawazingatii utendaji wa Yehova,+

Wala kazi ya mikono yake.+

Atawabomoa kabisa naye hatawajenga.

 6 Yehova na asifiwe,

Kwa maana amesikia sihi zangu za kuomba msaada.

 7 Yehova ni nguvu zangu+ na ngao yangu;+

Moyo wangu unamtumaini yeye.+

Amenisaidia, na moyo wangu unashangilia,

Kwa hiyo nitamsifu kwa wimbo wangu.

 8 Yehova ni nguvu kwa watu wake;

Yeye ni ngome, anamletea mtiwa-mafuta wake wokovu mkubwa.+

 9 Waokoe watu wako, na uubariki urithi wako.+

Wachunge na kuwabeba mikononi mwako milele.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki