Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Yohana 5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Yohana—Yaliyomo

      • Kumwamini Yesu huushinda ulimwengu (1-12)

        • Maana ya kumpenda Mungu (3)

      • Uhakika katika nguvu za sala (13-17)

      • Jihadharini katika ulimwengu mwovu (18-21)

        • Ulimwengu mzima katika nguvu za yule mwovu (19)

1 Yohana 5:1

Marejeo

  • +Yoh 3:3; 1Pe 1:3, 23; 1Yo 3:9

1 Yohana 5:2

Marejeo

  • +Yoh 1:12, 13; Ro 8:14

1 Yohana 5:3

Marejeo

  • +Yoh 14:23
  • +Kum 30:11; Mik 6:8

1 Yohana 5:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kila kitu kilichozaliwa.”

Marejeo

  • +Yoh 16:33; 1Yo 5:18
  • +Efe 6:16; 2Ti 4:7; Ufu 12:10, 11

1 Yohana 5:5

Marejeo

  • +1Yo 4:4
  • +Yoh 20:31

1 Yohana 5:6

Marejeo

  • +Mt 3:13
  • +Mdo 20:28; Efe 1:7; 1Pe 1:19
  • +Mt 3:16; Yoh 1:32, 33

1 Yohana 5:8

Marejeo

  • +Lu 3:22; 4:18
  • +Lu 3:21
  • +Ebr 9:14

1 Yohana 5:10

Marejeo

  • +Yoh 3:33

1 Yohana 5:11

Marejeo

  • +Yoh 17:3
  • +Yoh 5:26

1 Yohana 5:12

Marejeo

  • +Yoh 3:36

1 Yohana 5:13

Marejeo

  • +Yoh 20:31
  • +1Yo 1:2

1 Yohana 5:14

Marejeo

  • +Ebr 4:16; 1Yo 3:21
  • +Met 15:29

1 Yohana 5:15

Marejeo

  • +Lu 11:13; Yoh 14:13

1 Yohana 5:16

Marejeo

  • +Yak 5:15; 1Yo 1:9
  • +Mt 12:31; Mk 3:29; Lu 12:10; Ebr 6:4-6; 10:26

1 Yohana 5:17

Marejeo

  • +1Yo 3:4

1 Yohana 5:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, Yesu Kristo, Mwana wa Mungu.

  • *

    Au “hamshiki imara.”

Marejeo

  • +Yoh 17:15

1 Yohana 5:19

Marejeo

  • +Mt 13:19; Lu 4:6; Yoh 12:31

1 Yohana 5:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uwezo wa kufikiri; uwezo wa akili.”

Marejeo

  • +1Ti 3:16
  • +Yoh 17:20, 21
  • +Yoh 17:3

1 Yohana 5:21

Marejeo

  • +1Ko 10:14

Jumla

1 Yoh. 5:1Yoh 3:3; 1Pe 1:3, 23; 1Yo 3:9
1 Yoh. 5:2Yoh 1:12, 13; Ro 8:14
1 Yoh. 5:3Yoh 14:23
1 Yoh. 5:3Kum 30:11; Mik 6:8
1 Yoh. 5:4Yoh 16:33; 1Yo 5:18
1 Yoh. 5:4Efe 6:16; 2Ti 4:7; Ufu 12:10, 11
1 Yoh. 5:51Yo 4:4
1 Yoh. 5:5Yoh 20:31
1 Yoh. 5:6Mt 3:13
1 Yoh. 5:6Mdo 20:28; Efe 1:7; 1Pe 1:19
1 Yoh. 5:6Mt 3:16; Yoh 1:32, 33
1 Yoh. 5:8Lu 3:22; 4:18
1 Yoh. 5:8Lu 3:21
1 Yoh. 5:8Ebr 9:14
1 Yoh. 5:10Yoh 3:33
1 Yoh. 5:11Yoh 17:3
1 Yoh. 5:11Yoh 5:26
1 Yoh. 5:12Yoh 3:36
1 Yoh. 5:13Yoh 20:31
1 Yoh. 5:131Yo 1:2
1 Yoh. 5:14Ebr 4:16; 1Yo 3:21
1 Yoh. 5:14Met 15:29
1 Yoh. 5:15Lu 11:13; Yoh 14:13
1 Yoh. 5:16Yak 5:15; 1Yo 1:9
1 Yoh. 5:16Mt 12:31; Mk 3:29; Lu 12:10; Ebr 6:4-6; 10:26
1 Yoh. 5:171Yo 3:4
1 Yoh. 5:18Yoh 17:15
1 Yoh. 5:19Mt 13:19; Lu 4:6; Yoh 12:31
1 Yoh. 5:201Ti 3:16
1 Yoh. 5:20Yoh 17:20, 21
1 Yoh. 5:20Yoh 17:3
1 Yoh. 5:211Ko 10:14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Yohana 5:1-21

Barua ya Kwanza ya Yohana

5 Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ndiye Kristo amezaliwa kutokana na Mungu,+ na kila mtu anayempenda yule aliyesababisha kuzaliwa humpenda yule ambaye amezaliwa kutokana na huyo. 2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu,+ kwa kumpenda Mungu na kushika amri zake. 3 Kwa maana kumpenda Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+ 4 kwa sababu kila mtu aliyezaliwa* kutokana na Mungu huushinda ulimwengu.+ Na huu ndio ushindi ambao umeushinda ulimwengu, imani yetu.+

5 Ni nani anayeweza kuushinda ulimwengu?+ Ni yule anayeamini kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.+ 6 Huyu ndiye aliyekuja kupitia maji na damu, Yesu Kristo, si kwa maji tu,+ bali kwa maji na kwa damu.+ Na roho inatoa ushahidi,+ kwa sababu roho ndiyo kweli. 7 Kwa maana kuna vitu vitatu vinavyotoa ushahidi: 8 roho+ na maji+ na damu;+ na hivyo vitatu vinakubaliana.

9 Tukikubali ushahidi wa wanadamu, ushahidi wa Mungu ni mkuu zaidi. Kwa sababu huu ndio ushahidi ambao Mungu hutoa, ushahidi ambao ametoa kumhusu Mwana wake. 10 Mtu anayemwamini Mwana wa Mungu, ana ushahidi ndani yake. Mtu asiyemwamini Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo,+ kwa sababu hana imani katika ushahidi uliotolewa na Mungu kumhusu Mwana wake. 11 Na huu ndio ushahidi, kwamba Mungu alitupatia uzima wa milele,+ na uzima huu umo ndani ya Mwana wake.+ 12 Mtu aliye na Mwana ana uzima huu; mtu ambaye hana Mwana wa Mungu hana uzima huu.+

13 Ninawaandikia mambo haya ili ninyi mlio na imani katika jina la Mwana wa Mungu+ mjue kwamba mna uzima wa milele.+ 14 Na huu ndio uhakika tulio nao kwake,+ kwamba tukiomba chochote kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+ 15 Na ikiwa tunajua kwamba anatusikia kuhusiana na chochote tunachoomba, tunajua kwamba tutapata mambo tuliyomwomba, kwa kuwa tumeyaomba kwake.+

16 Yeyote akimwona ndugu yake akifanya dhambi isiyoleta kifo, yeye ataomba, na Mungu atampa huyo uzima,+ ndiyo, kwa wale ambao hawafanyi dhambi inayoleta kifo. Kuna dhambi ambayo huleta kifo.+ Simwambii aombe kuhusu dhambi hiyo. 17 Ukosefu wote wa uadilifu ni dhambi,+ na bado kuna dhambi isiyoleta kifo.

18 Tunajua kwamba kila mtu aliyezaliwa kutokana na Mungu hana mazoea ya kufanya dhambi, lakini yeye hulindwa na yule aliyezaliwa kutokana na Mungu,* na yule mwovu hawezi kumshika.*+ 19 Tunajua tunatokana na Mungu, lakini ulimwengu mzima unakaa katika nguvu za yule mwovu.+ 20 Hata hivyo, tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja,+ naye ametupatia ufahamu* ili tuweze kumjua yule aliye wa kweli. Nasi tumo katika muungano na yule aliye wa kweli,+ kupitia Mwana wake, Yesu Kristo. Huyo ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele.+ 21 Watoto wadogo, jiepusheni na sanamu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki