Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania—Yaliyomo

      • Hatari ya kutoingia katika pumziko la Mungu (1-10)

      • Himizo la kuingia katika pumziko la Mungu (11-13)

        • Neno la Mungu liko hai (12)

      • Yesu, kuhani mkuu aliye bora (14-16)

Waebrania 4:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tuwe na woga.”

Marejeo

  • +Ebr 3:12, 13

Waebrania 4:2

Marejeo

  • +Mt 4:23; Mdo 15:7; Kol 1:23

Waebrania 4:3

Marejeo

  • +Zb 95:11; Ebr 3:11
  • +Kut 31:17

Waebrania 4:4

Marejeo

  • +Mwa 2:2, 3

Waebrania 4:5

Marejeo

  • +Zb 95:11

Waebrania 4:6

Marejeo

  • +Hes 14:30; Kum 31:27

Waebrania 4:7

Marejeo

  • +Zb 95:7, 8

Waebrania 4:8

Marejeo

  • +Kut 24:13; Kum 1:38

Waebrania 4:9

Marejeo

  • +Mk 2:28

Waebrania 4:10

Marejeo

  • +Mwa 2:2, 3

Waebrania 4:11

Marejeo

  • +Zb 95:11

Waebrania 4:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Yer 23:29; 1Th 2:13
  • +Efe 6:17

Waebrania 4:13

Marejeo

  • +Zb 7:9; 90:8; Met 15:11
  • +Mdo 17:31; Ro 2:16; 14:12

Waebrania 4:14

Marejeo

  • +Mk 1:11
  • +Ebr 10:23

Waebrania 4:15

Marejeo

  • +Isa 53:4; Ebr 2:17
  • +Ebr 7:26; 1Pe 2:22

Waebrania 4:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “zitusaidie wakati unaofaa.”

Marejeo

  • +Efe 3:11, 12; Ebr 10:19-22

Jumla

Ebr. 4:1Ebr 3:12, 13
Ebr. 4:2Mt 4:23; Mdo 15:7; Kol 1:23
Ebr. 4:3Zb 95:11; Ebr 3:11
Ebr. 4:3Kut 31:17
Ebr. 4:4Mwa 2:2, 3
Ebr. 4:5Zb 95:11
Ebr. 4:6Hes 14:30; Kum 31:27
Ebr. 4:7Zb 95:7, 8
Ebr. 4:8Kut 24:13; Kum 1:38
Ebr. 4:9Mk 2:28
Ebr. 4:10Mwa 2:2, 3
Ebr. 4:11Zb 95:11
Ebr. 4:12Yer 23:29; 1Th 2:13
Ebr. 4:12Efe 6:17
Ebr. 4:13Zb 7:9; 90:8; Met 15:11
Ebr. 4:13Mdo 17:31; Ro 2:16; 14:12
Ebr. 4:14Mk 1:11
Ebr. 4:14Ebr 10:23
Ebr. 4:15Isa 53:4; Ebr 2:17
Ebr. 4:15Ebr 7:26; 1Pe 2:22
Ebr. 4:16Efe 3:11, 12; Ebr 10:19-22
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waebrania 4:1-16

Kwa Waebrania

4 Kwa hiyo, kwa kuwa ahadi ya kuingia katika pumziko lake bado ipo, acheni tuwe macho* ili yeyote kati yenu asionekane amepungukiwa.+ 2 Kwa maana sisi pia tumetangaziwa habari njema,+ kama walivyotangaziwa; lakini neno walilosikia halikuwaletea faida, kwa sababu hawakuunganishwa kwa imani pamoja na wale waliosikia. 3 Kwa maana sisi ambao tumeonyesha imani tunaingia katika pumziko, kama alivyosema: “Kwa hiyo niliapa kwa hasira yangu, ‘Hawataingia katika pumziko langu,’”+ ingawa kazi zake zilimalizika tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+ 4 Kwa maana mahali fulani amesema hivi kuhusu siku ya saba: “Na Mungu akapumzika siku ya saba kutoka katika kazi zake zote,”+ 5 na hapa tena anasema: “Hawataingia katika pumziko langu.”+

6 Basi, kwa kuwa bado imebaki watu fulani waingie katika pumziko hilo, na wale ambao walitangaziwa kwanza habari njema hawakuingia kwa sababu ya kutotii,+ 7 yeye tena anaweka siku fulani kwa kusema baadaye katika zaburi ya Daudi, “Leo”; kama ilivyosemwa hapo juu, “Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu.”+ 8 Kwa maana ikiwa Yoshua+ aliwaingiza katika mahali pa pumziko, Mungu hangesema baadaye kuhusu siku nyingine. 9 Kwa hiyo bado limebaki pumziko la sabato kwa ajili ya watu wa Mungu.+ 10 Kwa maana mtu ambaye ameingia katika pumziko la Mungu, amepumzika pia kutoka kwenye kazi zake mwenyewe, kama Mungu alivyopumzika kutoka kwenye kazi zake.+

11 Kwa hiyo acheni tufanye yote tunayoweza ili kuingia katika pumziko hilo, ili yeyote asije akaanguka katika kielelezo kilekile cha kutotii.+ 12 Kwa maana neno la Mungu liko hai nalo ni lenye nguvu+ na lina makali kuliko upanga wowote wenye makali pande mbili+ nalo huchoma hata kufikia kugawanya nafsi* na roho,* na viungo kutoka katika urojorojo, nalo linaweza kutambua fikira na makusudio ya moyo. 13 Na hakuna kiumbe kilichofichwa machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pa yule ambaye tunapaswa kutoa hesabu kwake.+

14 Basi, kwa kuwa tuna kuhani mkuu sana ambaye ameingia katika mbingu, Yesu Mwana wa Mungu,+ acheni tuendelee kumtangaza hadharani.+ 15 Kwa maana hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kuusikitikia udhaifu wetu,+ bali tuna yule ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama tulivyojaribiwa, lakini hakutenda dhambi.+ 16 Basi na tukikaribie kiti cha ufalme cha fadhili zisizostahiliwa tukiwa na uhuru wa kusema,+ ili tupokee rehema na kupata fadhili zisizostahiliwa tunapohitaji msaada.*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki