Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 18
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 18:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Hudharau.”

Methali 18:2

Marejeo

  • +Met 10:19

Methali 18:3

Marejeo

  • +Met 11:2

Methali 18:4

Marejeo

  • +Met 10:11

Methali 18:5

Marejeo

  • +Kum 1:16, 17; Met 28:21
  • +1Fa 21:9, 10

Methali 18:6

Marejeo

  • +Met 13:10
  • +Met 19:19

Methali 18:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yake.”

Marejeo

  • +Met 13:3

Methali 18:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “vitu vinavyomezwa kwa pupa.”

Marejeo

  • +Law 19:16
  • +Met 26:22

Methali 18:9

Marejeo

  • +Met 10:4

Methali 18:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “na kuinuliwa juu,” yaani, hawezi kufikiwa, yuko salama.

Marejeo

  • +1Sa 17:45, 46; Zb 20:1
  • +Zb 18:2; 91:14

Methali 18:11

Marejeo

  • +Zb 49:6, 7; Met 11:4; Yer 9:23; Lu 12:19-21

Methali 18:12

Marejeo

  • +Met 11:2; Da 5:23, 30; Mdo 12:21-23
  • +Met 22:4; 1Pe 5:5

Methali 18:13

Marejeo

  • +Met 25:8

Methali 18:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “iliyokata tamaa kabisa?”

Marejeo

  • +Ayu 1:21; 2Ko 4:16; 12:10
  • +Met 17:22

Methali 18:15

Marejeo

  • +1Fa 3:7-9; Met 9:9

Methali 18:16

Marejeo

  • +Mwa 43:11; Met 17:8

Methali 18:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kumhoji.”

Marejeo

  • +2Sa 16:3, 4
  • +2Sa 19:25-27; Met 25:8

Methali 18:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Na kuwatenganisha.”

Marejeo

  • +Yos 14:1, 2; Ne 11:1; Met 16:33

Methali 18:19

Marejeo

  • +Mwa 27:41; 2Sa 13:22
  • +2Sa 14:28; Mdo 15:37-39

Methali 18:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kinywa chake.”

Marejeo

  • +Met 12:14; 13:2

Methali 18:21

Marejeo

  • +Mt 15:18; Efe 4:29; Yak 3:6, 9
  • +Mhu 10:12

Methali 18:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nia njema ya.”

Marejeo

  • +Met 31:10
  • +Met 19:14; Mhu 9:9

Methali 18:24

Marejeo

  • +2Sa 15:31; Mt 26:49
  • +1Sa 19:2, 4; Met 17:17

Jumla

Met. 18:2Met 10:19
Met. 18:3Met 11:2
Met. 18:4Met 10:11
Met. 18:5Kum 1:16, 17; Met 28:21
Met. 18:51Fa 21:9, 10
Met. 18:6Met 13:10
Met. 18:6Met 19:19
Met. 18:7Met 13:3
Met. 18:8Law 19:16
Met. 18:8Met 26:22
Met. 18:9Met 10:4
Met. 18:101Sa 17:45, 46; Zb 20:1
Met. 18:10Zb 18:2; 91:14
Met. 18:11Zb 49:6, 7; Met 11:4; Yer 9:23; Lu 12:19-21
Met. 18:12Met 11:2; Da 5:23, 30; Mdo 12:21-23
Met. 18:12Met 22:4; 1Pe 5:5
Met. 18:13Met 25:8
Met. 18:14Ayu 1:21; 2Ko 4:16; 12:10
Met. 18:14Met 17:22
Met. 18:151Fa 3:7-9; Met 9:9
Met. 18:16Mwa 43:11; Met 17:8
Met. 18:172Sa 16:3, 4
Met. 18:172Sa 19:25-27; Met 25:8
Met. 18:18Yos 14:1, 2; Ne 11:1; Met 16:33
Met. 18:19Mwa 27:41; 2Sa 13:22
Met. 18:192Sa 14:28; Mdo 15:37-39
Met. 18:20Met 12:14; 13:2
Met. 18:21Mt 15:18; Efe 4:29; Yak 3:6, 9
Met. 18:21Mhu 10:12
Met. 18:22Met 31:10
Met. 18:22Met 19:14; Mhu 9:9
Met. 18:242Sa 15:31; Mt 26:49
Met. 18:241Sa 19:2, 4; Met 17:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 18:1-24

Methali

18 Yeyote anayejitenga na wengine anafuatia tamaa zake mwenyewe za kichoyo;

Hukataa* hekima yote inayotumika.

 2 Mtu mpumbavu hapendezwi na uelewaji;

Anaona ni afadhali afunue yaliyo moyoni mwake.+

 3 Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pia,

Na aibu huja pamoja na fedheha.+

 4 Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina.+

Chemchemi ya hekima ni kijito kinachobubujika.

 5 Si vema kumpendelea mwovu+

Wala kumnyima haki mtu mwadilifu.+

 6 Maneno ya mpumbavu husababisha ugomvi,+

Na kinywa chake hualika kipigo.+

 7 Kinywa cha mpumbavu ndicho kinachomwangamiza,+

Na midomo yake ni mtego kwa uhai wake.*

 8 Maneno ya mchongezi ni kama matonge matamu;*+

Humezwa na kushuka tumboni moja kwa moja.+

 9 Yeyote aliye mvivu katika kazi yake

Ni ndugu ya mtu mharibifu.+

10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+

Mwadilifu hukimbilia humo na kupata ulinzi.*+

11 Mali ya tajiri ni jiji lake lenye ngome;

Ni kama ukuta wa ulinzi katika mawazo yake.+

12 Kabla ya kuanguka kwa kishindo moyo wa mtu huwa na kiburi,+

Na kabla ya utukufu kuna unyenyekevu.+

13 Yeyote anayejibu kabla ya kusikia ukweli wa mambo,

Huo ni upumbavu na aibu kwake.+

14 Roho ya mtu inaweza kumtegemeza anapokuwa mgonjwa,+

Lakini ni nani anayeweza kustahimili roho iliyopondeka?*+

15 Moyo wa mtu mwenye uelewaji hupata ujuzi,+

Na sikio la mwenye hekima hujitahidi kupata ujuzi.

16 Zawadi ya mwanadamu humfungulia njia;+

Humwezesha kufika mbele ya watu mashuhuri.

17 Mtu wa kwanza kuwasilisha kesi yake huonekana kuwa sahihi,+

Mpaka mwingine anapokuja na kumuuliza maswali.*+

18 Kupiga kura hukomesha mizozo+

Na kukata maneno kati ya* wapinzani wenye nguvu.

19 Ndugu aliyekosewa ni mgumu kuliko jiji lenye ngome,+

Na kuna mizozo ambayo ni kama makomeo ya ngome.+

20 Tumbo la mtu litajazwa matunda ya maneno yake;*+

Atashiba mazao ya midomo yake.

21 Kifo na uhai viko katika nguvu za ulimi;+

Wale wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.+

22 Anayepata mke mwema amepata kitu chema,+

Naye hupata kibali cha* Yehova.+

23 Maskini husihi anapoongea,

Lakini tajiri hujibu kwa ukali.

24 Kuna marafiki walio tayari kuangamizana,+

Lakini kuna rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu kuliko ndugu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki