Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya kumtumaini Mungu

        • “Kasirika, lakini usitende dhambi” (4)

        • ‘Nitalala usingizi kwa amani’ (8)

Zaburi 4:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nitengenezee nafasi pana katika.”

Marejeo

  • +Zb 11:7

Zaburi 4:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “atamfanya mshikamanifu wake aonekane kuwa tofauti; atamtenga kando mshikamanifu wake kwa ajili yake mwenyewe.”

Zaburi 4:4

Marejeo

  • +Efe 4:26

Zaburi 4:5

Marejeo

  • +Zb 37:3; 62:8; Met 3:5; 1Pe 4:19

Zaburi 4:6

Marejeo

  • +Hes 6:26; Zb 80:7; Met 16:15; 1Pe 3:12

Zaburi 4:8

Marejeo

  • +Zb 3:5; Met 3:24, 26
  • +Law 25:18

Jumla

Zab. 4:1Zb 11:7
Zab. 4:4Efe 4:26
Zab. 4:5Zb 37:3; 62:8; Met 3:5; 1Pe 4:19
Zab. 4:6Hes 6:26; Zb 80:7; Met 16:15; 1Pe 3:12
Zab. 4:8Zb 3:5; Met 3:24, 26
Zab. 4:8Law 25:18
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 4:1-8

Zaburi

Kwa kiongozi; uimbwe kwa vinanda. Muziki wa Daudi.

4 Ninapokuita, unijibu, Ee Mungu wangu mwadilifu.+

Nitengenezee njia ya kutoroka* taabu yangu.

Nionyeshe kibali na usikie sala yangu.

 2 Enyi wanadamu, mtaendelea mpaka lini kuibadili heshima yangu kuwa aibu?

Mtaendelea mpaka lini kupenda mambo yasiyo na faida na kutafuta mambo ya uwongo? (Sela)

 3 Jueni kwamba Yehova atamtendea mshikamanifu wake kwa njia ya pekee;*

Yehova atasikia ninapomlilia.

 4 Kasirika, lakini usitende dhambi.+

Zungumza moyoni mwako, kitandani mwako, na unyamaze kimya. (Sela)

 5 Toa dhabihu za uadilifu,

Na umtumaini Yehova.+

 6 Kuna wengi wanaosema: “Ni nani atakayetuonyesha jambo lolote jema?”

Acha nuru ya uso wako ituangazie, Ee Yehova.+

 7 Umeujaza moyo wangu shangwe nyingi sana

Kuliko wale walio na mavuno mengi sana ya nafaka na divai mpya.

 8 Nitajilaza chini na kulala usingizi kwa amani,+

Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya niishi kwa usalama.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki