Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 116
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Wimbo wa shukrani

        • “Nitamlipa Yehova nini?” (12)

        • “Nitakiinua kikombe cha wokovu” (13)

        • “Nitamtimizia Yehova nadhiri zangu” (14, 18)

        • Kifo cha washikamanifu kina thamani (15)

Zaburi 116:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Ninapenda kwa sababu Yehova huisikia.”

Marejeo

  • +Zb 18:6

Zaburi 116:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huinama chini ili kunisikiliza.”

  • *

    Tnn., “katika siku zangu.”

Marejeo

  • +Zb 34:15

Zaburi 116:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nilipatwa na taabu za Sheoli.”

Marejeo

  • +Isa 38:10
  • +Zb 18:4; 38:6

Zaburi 116:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “iokoe nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 34:6; Ro 10:13

Zaburi 116:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neema.”

Marejeo

  • +Kum 32:4
  • +Kut 34:6; Ne 9:17; Da 9:9

Zaburi 116:6

Marejeo

  • +Zb 19:7

Zaburi 116:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Zaburi 116:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Umeiokoa nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 56:13; 94:18

Zaburi 116:10

Marejeo

  • +2Ko 4:13

Zaburi 116:11

Marejeo

  • +Ro 3:4

Zaburi 116:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wokovu mkuu.”

Zaburi 116:14

Marejeo

  • +Zb 22:25; Yon 2:9

Zaburi 116:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ni cha bei kubwa sana.”

Marejeo

  • +1Sa 25:29; Ayu 1:12; Zb 91:14; Zek 2:8; 2Pe 2:9

Zaburi 116:16

Marejeo

  • +Zb 107:14

Zaburi 116:17

Marejeo

  • +Law 7:12; Zb 50:23

Zaburi 116:18

Marejeo

  • +Zb 22:25; 76:11
  • +Zb 116:14

Zaburi 116:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Zb 96:8
  • +Ufu 19:1

Jumla

Zab. 116:1Zb 18:6
Zab. 116:2Zb 34:15
Zab. 116:3Isa 38:10
Zab. 116:3Zb 18:4; 38:6
Zab. 116:4Zb 34:6; Ro 10:13
Zab. 116:5Kum 32:4
Zab. 116:5Kut 34:6; Ne 9:17; Da 9:9
Zab. 116:6Zb 19:7
Zab. 116:8Zb 56:13; 94:18
Zab. 116:102Ko 4:13
Zab. 116:11Ro 3:4
Zab. 116:14Zb 22:25; Yon 2:9
Zab. 116:151Sa 25:29; Ayu 1:12; Zb 91:14; Zek 2:8; 2Pe 2:9
Zab. 116:16Zb 107:14
Zab. 116:17Law 7:12; Zb 50:23
Zab. 116:18Zb 22:25; 76:11
Zab. 116:18Zb 116:14
Zab. 116:19Zb 96:8
Zab. 116:19Ufu 19:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 116:1-19

Zaburi

116 Ninampenda Yehova

Kwa sababu yeye huisikia* sauti yangu, sihi zangu za kuomba msaada.+

 2 Kwa maana yeye hunitegea sikio lake,*+

Nami nitamlilia maadamu ninaishi.*

 3 Kamba za kifo zilinizunguka;

Kaburi lilinishika kwa nguvu.*+

Nililemewa na taabu na huzuni.+

 4 Lakini nikaliita jina la Yehova:+

“Ee, Yehova, niokoe!”*

 5 Yehova ni mwenye huruma* na ni mwadilifu;+

Mungu wetu ni mwenye rehema.+

 6 Yehova anawalinda wasio na uzoefu.+

Nilishushwa chini, akaniokoa.

 7 Acha nafsi* yangu ipumzike tena,

Kwa maana Yehova amenitendea kwa fadhili.

 8 Umeniokoa* kutoka katika kifo,

Jicho langu kutokana na machozi, mguu wangu usijikwae.+

 9 Nitatembea mbele za Yehova katika nchi ya walio hai.

10 Nilikuwa na imani, ndio maana niliongea;+

Niliteseka sana.

11 Basi nikashikwa na hofu na kusema:

“Kila mwanadamu ni mwongo.”+

12 Nitamlipa Yehova nini

Kwa mema yote aliyonitendea?

13 Nitakiinua kikombe cha wokovu,*

Nami nitaliitia jina la Yehova.

14 Nitamtimizia Yehova nadhiri zangu

Mbele ya watu wake wote.+

15 Ni chenye thamani sana* machoni pa Yehova

Kifo cha washikamanifu wake.+

16 Ninakusihi, Ee Yehova,

Kwa maana mimi ni mtumishi wako.

Mimi ni mtumishi wako, mwana wa kijakazi wako.

Umezifungua pingu zangu.+

17 Nitakutolea dhabihu ya shukrani;+

Nitaliitia jina la Yehova.

18 Nitamtimizia Yehova nadhiri zangu+

Mbele ya watu wake wote,+

19 Katika nyua za nyumba ya Yehova,+

Kati yako, Ee Yerusalemu.

Msifuni Yah!*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki