Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 99
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova ni Mfalme mtakatifu

        • Ameketi kwenye kiti cha ufalme juu ya makerubi (1)

        • Mungu anayesamehe na kuadhibu (8)

Zaburi 99:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “katikati ya.”

Marejeo

  • +Zb 93:1; Ufu 11:17
  • +Kut 25:22

Zaburi 99:2

Marejeo

  • +Zb 83:18

Zaburi 99:3

Marejeo

  • +Zb 8:1; 148:13; Ufu 15:4

Zaburi 99:4

Marejeo

  • +Ayu 36:6
  • +Kum 10:17, 18; Yer 9:24

Zaburi 99:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuabudu.”

Marejeo

  • +Kut 15:2
  • +1Nya 28:2; Zb 132:7
  • +Law 19:2

Zaburi 99:6

Marejeo

  • +Kut 24:6; Hes 14:19, 20
  • +1Sa 7:9
  • +Kut 15:24, 25; 1Sa 15:10

Zaburi 99:7

Marejeo

  • +Kut 19:9
  • +Kut 40:16; 1Sa 12:3

Zaburi 99:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ulilipiza kisasi.”

Marejeo

  • +Kum 9:19
  • +Mik 7:18
  • +Kut 34:6, 7

Zaburi 99:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwabudu.”

Marejeo

  • +Kut 15:2
  • +Zb 2:6
  • +1Sa 2:2; Isa 6:3

Jumla

Zab. 99:1Zb 93:1; Ufu 11:17
Zab. 99:1Kut 25:22
Zab. 99:2Zb 83:18
Zab. 99:3Zb 8:1; 148:13; Ufu 15:4
Zab. 99:4Ayu 36:6
Zab. 99:4Kum 10:17, 18; Yer 9:24
Zab. 99:5Kut 15:2
Zab. 99:51Nya 28:2; Zb 132:7
Zab. 99:5Law 19:2
Zab. 99:6Kut 24:6; Hes 14:19, 20
Zab. 99:61Sa 7:9
Zab. 99:6Kut 15:24, 25; 1Sa 15:10
Zab. 99:7Kut 19:9
Zab. 99:7Kut 40:16; 1Sa 12:3
Zab. 99:8Kum 9:19
Zab. 99:8Mik 7:18
Zab. 99:8Kut 34:6, 7
Zab. 99:9Kut 15:2
Zab. 99:9Zb 2:6
Zab. 99:91Sa 2:2; Isa 6:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 99:1-9

Zaburi

99 Yehova amekuwa Mfalme.+ Mataifa na yatetemeke.

Anaketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi.+ Dunia na itikisike.

 2 Yehova ni mkuu Sayuni,

Naye yuko juu ya mataifa yote.+

 3 Na walisifu jina lako kuu,+

Kwa maana linaogopesha, nalo ni takatifu.

 4 Yeye ni mfalme hodari anayependa haki.+

Umeimarisha kabisa mambo manyoofu.

Umetekeleza haki na uadilifu+ katika Yakobo.

 5 Mkwezeni Yehova Mungu wetu+ na kuinama chini* mbele ya kiti cha miguu yake;+

Yeye ni mtakatifu.+

 6 Musa na Haruni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,+

Na Samweli alikuwa miongoni mwa wale walioliita jina lake.+

Walikuwa wakimwita Yehova,

Naye alikuwa akiwajibu.+

 7 Alikuwa akiongea nao kutoka katika nguzo ya wingu.+

Walishika vikumbusho vyake na amri aliyowapa.+

 8 Ee Yehova Mungu wetu, uliwajibu.+

Ulikuwa Mungu uliyewasamehe,+

Lakini uliwaadhibu* kwa sababu ya dhambi walizotenda.+

 9 Mkwezeni Yehova Mungu wetu+

Na mwiname chini* mbele ya mlima wake mtakatifu,+

Kwa maana Yehova Mungu wetu ni mtakatifu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki