Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 98
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova ni Mwokozi na Mwamuzi mwadilifu

        • Wokovu wa Yehova watangazwa (2, 3)

Zaburi 98:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “umemletea ushindi.”

Marejeo

  • +Zb 33:3; 96:1; 149:1; Isa 42:10
  • +Kut 15:11; Zb 111:2
  • +Kut 15:6; Isa 52:10; 59:16; 63:5

Zaburi 98:2

Marejeo

  • +Lu 2:30, 31
  • +Isa 5:16

Zaburi 98:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ushindi wa.”

Marejeo

  • +Law 26:42; Lu 1:54, 55
  • +Isa 49:6; Mdo 28:28; Ro 10:18

Zaburi 98:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kupiga muziki.”

Marejeo

  • +Zb 47:1; 67:4

Zaburi 98:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mpigieni muziki.”

Zaburi 98:6

Marejeo

  • +Hes 10:10; 1Nya 15:28; 2Nya 29:27

Zaburi 98:8

Marejeo

  • +Isa 44:23

Zaburi 98:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “amekuja.”

Marejeo

  • +Zb 9:8; Mdo 17:31
  • +Zb 67:4; 96:10; Ro 2:6

Jumla

Zab. 98:1Zb 33:3; 96:1; 149:1; Isa 42:10
Zab. 98:1Kut 15:11; Zb 111:2
Zab. 98:1Kut 15:6; Isa 52:10; 59:16; 63:5
Zab. 98:2Lu 2:30, 31
Zab. 98:2Isa 5:16
Zab. 98:3Law 26:42; Lu 1:54, 55
Zab. 98:3Isa 49:6; Mdo 28:28; Ro 10:18
Zab. 98:4Zb 47:1; 67:4
Zab. 98:6Hes 10:10; 1Nya 15:28; 2Nya 29:27
Zab. 98:8Isa 44:23
Zab. 98:9Zb 9:8; Mdo 17:31
Zab. 98:9Zb 67:4; 96:10; Ro 2:6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 98:1-9

Zaburi

Muziki.

98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+

Kwa maana ametenda mambo yanayostaajabisha.+

Mkono wake wa kuume, mkono wake mtakatifu, umeleta wokovu.*+

 2 Yehova ameutangaza wokovu wake;+

Amefunua uadilifu wake mbele ya mataifa.+

 3 Amekumbuka upendo wake mshikamanifu na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli.+

Miisho yote ya dunia imeona wokovu kutoka kwa* Mungu wetu.+

 4 Mpazieni Yehova sauti ya ushindi, dunia yote.

Changamkeni na kupaza sauti kwa shangwe na kuimba sifa.*+

 5 Mwimbieni sifa* Yehova kwa kinubi,

Kwa kinubi na wimbo mtamu.

 6 Kwa tarumbeta na mlio wa pembe,+

Pazeni sauti kwa ushindi mbele za Mfalme, Yehova.

 7 Bahari na ingurume na vitu vyote vinavyoijaza,

Dunia na wote wanaokaa humo.

 8 Mito na ipige makofi;

Milima na ipaze sauti pamoja kwa shangwe+

 9 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja* kuihukumu dunia.

Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+

Na mataifa kwa haki.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki