Zaburi
Muziki.
Mkono wake wa kuume, mkono wake mtakatifu, umeleta wokovu.*+
3 Amekumbuka upendo wake mshikamanifu na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli.+
Miisho yote ya dunia imeona wokovu kutoka kwa* Mungu wetu.+
4 Mpazieni Yehova sauti ya ushindi, dunia yote.
Changamkeni na kupaza sauti kwa shangwe na kuimba sifa.*+
5 Mwimbieni sifa* Yehova kwa kinubi,
Kwa kinubi na wimbo mtamu.
6 Kwa tarumbeta na mlio wa pembe,+
Pazeni sauti kwa ushindi mbele za Mfalme, Yehova.
7 Bahari na ingurume na vitu vyote vinavyoijaza,
Dunia na wote wanaokaa humo.