Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova ni msaidizi wa wasio na uwezo

        • Mwovu hujigamba: “Hakuna Mungu” (4)

        • Wasio na uwezo humgeukia Yehova (14)

        • “Yehova ni Mfalme milele” (16)

Zaburi 10:1

Marejeo

  • +Zb 13:1; 22:1; Yer 14:8

Zaburi 10:2

Marejeo

  • +Kut 14:17
  • +Zb 7:14, 16; 37:7; Met 5:22; 26:27

Zaburi 10:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tamaa ya nafsi yake.”

  • *

    Au labda, “Mwenye pupa hujibariki mwenyewe.”

Marejeo

  • +Kut 15:9; Ho. 12:8

Zaburi 10:4

Marejeo

  • +Zb 14:1, 2; 53:1; Sef 1:12

Zaburi 10:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Hujitutumua kwa.”

Marejeo

  • +Zb 37:35
  • +Isa 26:11; Ho. 14:9

Zaburi 10:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sitapepesuka (Sitayumbayumba) kamwe.”

Marejeo

  • +Met 14:16; Mhu 8:11

Zaburi 10:7

Marejeo

  • +Ro 3:14
  • +Zb 7:14; 12:2; 55:21

Zaburi 10:8

Marejeo

  • +Met 1:10, 11
  • +Zb 17:9, 11

Zaburi 10:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “pori.”

Marejeo

  • +Ayu 38:39, 40; Zb 17:12; 59:3
  • +Zb 140:5; Yer 5:26

Zaburi 10:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “katika makucha yake.”

Zaburi 10:11

Marejeo

  • +Mhu 8:11
  • +Zb 73:3, 11; 94:3, 7; Eze 8:12; 9:9

Zaburi 10:12

Marejeo

  • +Zb 3:7
  • +Mik 5:9
  • +Zb 9:12; 35:10

Zaburi 10:14

Marejeo

  • +2Fa 9:26; 2Nya 6:23
  • +1Pe 4:19
  • +Kum 10:17, 18; Zb 146:9; Ebr 13:6

Zaburi 10:15

Marejeo

  • +Ayu 38:15

Zaburi 10:16

Marejeo

  • +Kut 15:18; Zb 145:13; Yer 10:10; Da 4:34; 1Ti 1:17
  • +Zb 9:5; 44:2

Zaburi 10:17

Marejeo

  • +Zb 9:18
  • +1Nya 29:18, 19
  • +Met 15:8; 1Pe 3:12

Zaburi 10:18

Marejeo

  • +Zb 72:4
  • +Isa 51:12

Jumla

Zab. 10:1Zb 13:1; 22:1; Yer 14:8
Zab. 10:2Kut 14:17
Zab. 10:2Zb 7:14, 16; 37:7; Met 5:22; 26:27
Zab. 10:3Kut 15:9; Ho. 12:8
Zab. 10:4Zb 14:1, 2; 53:1; Sef 1:12
Zab. 10:5Zb 37:35
Zab. 10:5Isa 26:11; Ho. 14:9
Zab. 10:6Met 14:16; Mhu 8:11
Zab. 10:7Ro 3:14
Zab. 10:7Zb 7:14; 12:2; 55:21
Zab. 10:8Met 1:10, 11
Zab. 10:8Zb 17:9, 11
Zab. 10:9Ayu 38:39, 40; Zb 17:12; 59:3
Zab. 10:9Zb 140:5; Yer 5:26
Zab. 10:11Mhu 8:11
Zab. 10:11Zb 73:3, 11; 94:3, 7; Eze 8:12; 9:9
Zab. 10:12Zb 3:7
Zab. 10:12Mik 5:9
Zab. 10:12Zb 9:12; 35:10
Zab. 10:142Fa 9:26; 2Nya 6:23
Zab. 10:141Pe 4:19
Zab. 10:14Kum 10:17, 18; Zb 146:9; Ebr 13:6
Zab. 10:15Ayu 38:15
Zab. 10:16Kut 15:18; Zb 145:13; Yer 10:10; Da 4:34; 1Ti 1:17
Zab. 10:16Zb 9:5; 44:2
Zab. 10:17Zb 9:18
Zab. 10:171Nya 29:18, 19
Zab. 10:17Met 15:8; 1Pe 3:12
Zab. 10:18Zb 72:4
Zab. 10:18Isa 51:12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 10:1-18

Zaburi

ל [Lamed]

10 Ee Yehova, kwa nini unasimama mbali?

Kwa nini unajificha nyakati za taabu?+

 2 Mwovu humfuatia kwa kiburi mtu asiye na uwezo,+

Lakini atanaswa katika njama anazopanga.+

 3 Kwa maana mwovu hujigamba kuhusu tamaa zake za kichoyo*+

Naye humbariki mwenye pupa;*

נ [Nun]

Humkosea heshima Yehova.

 4 Kwa sababu ya kiburi chake, mwovu hafanyi uchunguzi wowote;

Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+

 5 Njia zake huendelea kufanikiwa,+

Lakini hukumu zako zimepita uelewaji wake;+

Huwadhihaki* maadui wake wote.

 6 Anasema moyoni mwake: “Sitatikiswa kamwe;*

Kizazi baada ya kizazi

Sitaona msiba kamwe.”+

פ [Pe]

 7 Kinywa chake kimejaa laana, uwongo, na vitisho;+

Chini ya ulimi wake kuna taabu na madhara.+

 8 Huvizia karibu na makao;

Kutoka mahali anapojificha humuua mtu asiye na hatia.+

ע [Ayin]

Macho yake yanamtafuta mtu asiye na kosa.+

 9 Hungojea mahali alipojificha kama simba katika pango* lake.+

Hungojea ili amkamate asiye na uwezo.

Humkamata asiye na uwezo anapouvuta wavu wake na kuufunga.+

10 Mtu huyo hupondwa na kuangushwa chini;

Watu wasio na kosa huanguka mikononi mwake.*

11 Yeye husema moyoni mwake: “Mungu amesahau.+

Ameugeuzia mbali uso wake.

Haoni kamwe.”+

ק [Qoph]

12 Inuka, Ee Yehova.+ Ee Mungu, inua mkono wako.+

Usiwasahau wasio na uwezo.+

13 Kwa nini mwovu amemkosea Mungu heshima?

Husema moyoni mwake: “Hutanifanya niwajibike.”

ר [Resh]

14 Lakini unaona mateso na taabu.

Wewe huendelea kutazama na kuchukua hatua.+

Mtu huyo asiye na kosa hukugeukia wewe;+

Wewe ndiye msaidizi wa yatima.+

ש [Shin]

15 Uvunje mkono wa mtu mwovu na mbaya,+

Ili utakapoutafuta uovu wake,

Hutaupata tena.

16 Yehova ni Mfalme milele na milele.+

Mataifa yameangamia kutoka duniani.+

ת [Taw]

17 Lakini utasikia ombi la wapole, Ee Yehova.+

Utaiimarisha mioyo yao+ na kuwasikiliza kwa makini.+

18 Utawatendea haki mayatima na wale wanaopondwa,+

Ili mwanadamu anayeweza kufa ambaye ni mavumbi asiwaogopeshe tena.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki