Zaburi
ל [Lamed]
10 Ee Yehova, kwa nini unasimama mbali?
Kwa nini unajificha nyakati za taabu?+
Humkosea heshima Yehova.
4 Kwa sababu ya kiburi chake, mwovu hafanyi uchunguzi wowote;
Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+
5 Njia zake huendelea kufanikiwa,+
Lakini hukumu zako zimepita uelewaji wake;+
Huwadhihaki* maadui wake wote.
פ [Pe]
8 Huvizia karibu na makao;
Kutoka mahali anapojificha humuua mtu asiye na hatia.+
ע [Ayin]
Macho yake yanamtafuta mtu asiye na kosa.+
9 Hungojea mahali alipojificha kama simba katika pango* lake.+
Hungojea ili amkamate asiye na uwezo.
Humkamata asiye na uwezo anapouvuta wavu wake na kuufunga.+
10 Mtu huyo hupondwa na kuangushwa chini;
Watu wasio na kosa huanguka mikononi mwake.*
11 Yeye husema moyoni mwake: “Mungu amesahau.+
Ameugeuzia mbali uso wake.
Haoni kamwe.”+
ק [Qoph]
12 Inuka, Ee Yehova.+ Ee Mungu, inua mkono wako.+
Usiwasahau wasio na uwezo.+
13 Kwa nini mwovu amemkosea Mungu heshima?
Husema moyoni mwake: “Hutanifanya niwajibike.”
ר [Resh]
14 Lakini unaona mateso na taabu.
Wewe huendelea kutazama na kuchukua hatua.+
ש [Shin]
16 Yehova ni Mfalme milele na milele.+
Mataifa yameangamia kutoka duniani.+
ת [Taw]
17 Lakini utasikia ombi la wapole, Ee Yehova.+