Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova ni kimbilio la mwadilifu

        • Mungu anachukia uovu (4, 5)

        • ‘Niongoze katika uadilifu wako’ (8)

Zaburi 5:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Zaburi 5:1

Marejeo

  • +Zb 65:2; 1Pe 3:12

Zaburi 5:3

Marejeo

  • +Zb 55:16, 17
  • +Mk 1:35

Zaburi 5:4

Marejeo

  • +Zb 89:14; Met 6:16-19; Hab 1:13
  • +Zb 15:1-5; Met 12:19

Zaburi 5:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika uwepo wako.”

Marejeo

  • +Ro 12:9; Ebr 1:9

Zaburi 5:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anamchukia mtu anayemwaga damu na ambaye ni mdanganyifu.”

Marejeo

  • +Met 20:19; Yoh 8:44; Kol 3:9; Ufu 21:8
  • +Mwa 9:6; Zb 55:23; Met 6:16, 17; 1Pe 3:10

Zaburi 5:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mahali pako patakatifu.”

Marejeo

  • +1Sa 3:3; 1Nya 16:1
  • +Zb 69:13
  • +Zb 28:2; 138:2

Zaburi 5:8

Marejeo

  • +Zb 25:4, 5; 27:11

Zaburi 5:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wanatumia ulimi laini.”

Marejeo

  • +Met 29:5; Ro 3:13

Zaburi 5:10

Marejeo

  • +2Sa 15:31; 17:23; Zb 7:14, 15

Zaburi 5:11

Marejeo

  • +Zb 40:16

Zaburi 5:12

Marejeo

  • +Mwa 15:1; Zb 3:3

Jumla

Zab. 5:1Zb 65:2; 1Pe 3:12
Zab. 5:3Zb 55:16, 17
Zab. 5:3Mk 1:35
Zab. 5:4Zb 89:14; Met 6:16-19; Hab 1:13
Zab. 5:4Zb 15:1-5; Met 12:19
Zab. 5:5Ro 12:9; Ebr 1:9
Zab. 5:6Met 20:19; Yoh 8:44; Kol 3:9; Ufu 21:8
Zab. 5:6Mwa 9:6; Zb 55:23; Met 6:16, 17; 1Pe 3:10
Zab. 5:71Sa 3:3; 1Nya 16:1
Zab. 5:7Zb 69:13
Zab. 5:7Zb 28:2; 138:2
Zab. 5:8Zb 25:4, 5; 27:11
Zab. 5:9Met 29:5; Ro 3:13
Zab. 5:102Sa 15:31; 17:23; Zb 7:14, 15
Zab. 5:11Zb 40:16
Zab. 5:12Mwa 15:1; Zb 3:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 5:1-12

Zaburi

Kwa kiongozi wa Nehilothi.* Muziki wa Daudi.

5 Sikiliza maneno yangu, Ee Yehova;+

Sikiliza kwa makini kilio changu cha uchungu.

 2 Sikiliza kilio changu cha kuomba msaada,

Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa sababu ninasali kwako.

 3 Ee Yehova, utasikia sauti yangu asubuhi;+

Asubuhi nitakueleza mahangaiko yangu+ na kusubiri kwa hamu.

 4 Kwa maana wewe si Mungu anayefurahia uovu;+

Hakuna mtu yeyote mwovu anayeweza kukaa nawe.+

 5 Hakuna mtu yeyote mwenye kiburi anayeweza kusimama mbele zako.*

Unawachukia wale wote wanaotenda maovu;+

 6 Utawaangamiza wale wanaosema uwongo.+

Yehova anawachukia kabisa watu wakatili na wadanganyifu.*+

 7 Lakini nitaingia katika nyumba yako+ kwa sababu ya upendo wako mwingi mshikamanifu;+

Nitainama chini kuelekea hekalu lako takatifu* nikiwa na heshima na woga kukuelekea.+

 8 Niongoze, Ee Yehova, katika uadilifu wako kwa sababu ya maadui wangu;

Ifanye njia yako iwe wazi kwangu.+

 9 Kwa maana hakuna lolote wanalosema linaloweza kutumainiwa;

Ndani yao hamna lolote isipokuwa nia ya kudhuru.

Koo lao ni kaburi lililo wazi;

Wanasifusifu kwa ulimi wao.*+

10 Lakini Mungu atawatangaza kuwa na hatia;

Njama zao wenyewe zitasababisha waanguke.+

Na wafukuzwe kwa sababu ya dhambi zao nyingi,

Kwa maana wamekuasi wewe.

11 Lakini wale wote wanaokukimbilia watashangilia;+

Watapaza sauti kwa shangwe daima.

Nawe utawakinga wasifikiwe,

Na wale wanaolipenda jina lako watashangilia kwa sababu yako.

12 Kwa maana utambariki yeyote aliye mwadilifu, Ee Yehova;

Utawazunguka kwa kibali kana kwamba kwa ngao kubwa.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki