Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

      • Thamani ya hekima (1-22)

        • Tafuta hekima kama hazina zilizofichika (4)

        • Uwezo wa kufikiri ni ulinzi (11)

        • Uasherati huleta msiba (16-19)

Methali 2:1

Marejeo

  • +Kum 6:6, 8

Methali 2:2

Marejeo

  • +Met 1:5
  • +Ebr 5:14

Methali 2:3

Marejeo

  • +1Fa 3:11, 12; Met 9:10; 2Ti 2:7
  • +Flp 1:9

Methali 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, madini ya fedha.

Marejeo

  • +Zb 19:9, 10
  • +Ayu 28:15-18

Methali 2:5

Marejeo

  • +Ayu 28:28; Met 8:13; Yer 32:40
  • +Yer 9:24; 1Yo 5:20

Methali 2:6

Marejeo

  • +Kut 31:2, 3; 1Fa 4:29; 2Ti 3:16, 17; Yak 3:17

Methali 2:7

Marejeo

  • +Zb 41:12; Met 28:18

Methali 2:8

Marejeo

  • +Zb 97:10

Methali 2:9

Marejeo

  • +Mhu 12:13; Mik 6:8; Mt 22:37-40

Methali 2:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Zb 119:111
  • +Mdo 17:11

Methali 2:11

Marejeo

  • +Mhu 7:12

Methali 2:12

Marejeo

  • +Met 8:13

Methali 2:13

Marejeo

  • +Yoh 3:19

Methali 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mgeni.” Ni wazi kwamba ni mgeni machoni pa Mungu kwa sababu ya upotovu wa maadili.

  • *

    Au “maneno yenye ushawishi.”

  • *

    Tnn., “mgeni.” Ni wazi kwamba ni mgeni machoni pa Mungu kwa sababu ya upotovu wa maadili.

Marejeo

  • +Mwa 39:10-12; Met 6:23, 24; 7:4, 5

Methali 2:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mume.”

Marejeo

  • +Mwa 2:24; Met 5:18

Methali 2:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mapito yake.”

Marejeo

  • +Met 5:3, 5, 20, 23; 9:16-18; Efe 5:5

Methali 2:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “anayeingia kwake.”

Marejeo

  • +Mhu 7:26; Ufu 22:15

Methali 2:20

Marejeo

  • +Met 13:20

Methali 2:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaoshika utimilifu.”

Marejeo

  • +Zb 37:11, 29

Methali 2:22

Marejeo

  • +Zb 104:35; Met 10:7; Mt 25:46
  • +Kum 28:45, 63

Jumla

Met. 2:1Kum 6:6, 8
Met. 2:2Met 1:5
Met. 2:2Ebr 5:14
Met. 2:31Fa 3:11, 12; Met 9:10; 2Ti 2:7
Met. 2:3Flp 1:9
Met. 2:4Zb 19:9, 10
Met. 2:4Ayu 28:15-18
Met. 2:5Ayu 28:28; Met 8:13; Yer 32:40
Met. 2:5Yer 9:24; 1Yo 5:20
Met. 2:6Kut 31:2, 3; 1Fa 4:29; 2Ti 3:16, 17; Yak 3:17
Met. 2:7Zb 41:12; Met 28:18
Met. 2:8Zb 97:10
Met. 2:9Mhu 12:13; Mik 6:8; Mt 22:37-40
Met. 2:10Zb 119:111
Met. 2:10Mdo 17:11
Met. 2:11Mhu 7:12
Met. 2:12Met 8:13
Met. 2:13Yoh 3:19
Met. 2:16Mwa 39:10-12; Met 6:23, 24; 7:4, 5
Met. 2:17Mwa 2:24; Met 5:18
Met. 2:18Met 5:3, 5, 20, 23; 9:16-18; Efe 5:5
Met. 2:19Mhu 7:26; Ufu 22:15
Met. 2:20Met 13:20
Met. 2:21Zb 37:11, 29
Met. 2:22Zb 104:35; Met 10:7; Mt 25:46
Met. 2:22Kum 28:45, 63
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 2:1-22

Methali

2 Mwanangu, ukiyakubali maneno yangu

Na kuhifadhi amri zangu kama hazina,+

 2 Kwa kutega sikio lako usikilize hekima+

Na kuuelekeza moyo wako upate utambuzi;+

 3 Pia, ukiuita uelewaji kwa sauti+

Na kupaza sauti yako upate utambuzi;+

 4 Ukiendelea kuutafuta kama fedha,*+

Na kuendelea kuutafuta sana kama hazina zilizofichika;+

 5 Ndipo utakapoelewa kumwogopa Yehova,+

Nawe utapata ujuzi kumhusu Mungu.+

 6 Kwa maana Yehova mwenyewe hutoa hekima;+

Na kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi.

 7 Huwahifadhia wanyoofu hekima inayotumika;

Yeye ni ngao kwa wanaotembea kwa utimilifu.+

 8 Huvilinda vijia vya haki,

Naye atailinda njia ya washikamanifu wake.+

 9 Ndipo utakapoelewa lililo la uadilifu na la haki na lililo sawa,

Njia yote ya lililo jema.+

10 Hekima inapoingia moyoni mwako+

Na ujuzi kupendeza nafsi* yako,+

11 Uwezo wa kufikiri utakukinga,+

Na utambuzi utakulinda,

12 Ili kukuokoa kutoka kwenye njia mbaya,

Kutoka kwa mtu anayesema mambo mapotovu,+

13 Kutoka kwa wale wanaoviacha vijia vya unyoofu

Ili watembee katika njia za giza,+

14 Kutoka kwa wale wanaoshangilia kutenda mabaya,

Wanaofurahia upotovu wa uovu,

15 Wale ambao vijia vyao vimepinda

Na ambao mwenendo wao wote ni wenye hila.

16 Utakuokoa kutoka kwa mwanamke aliyepotoka,*

Kutoka kwa maneno laini* ya mwanamke mwasherati,*+

17 Anayemwacha rafiki wa karibu* wa ujana wake+

Na kusahau agano la Mungu wake;

18 Kwa maana nyumba yake huzama katika kifo,

Na vijia vyake* huongoza kwa wale waliokufa ambao hawana uwezo.+

19 Hakuna yeyote anayelala naye* atakayerudi,

Wala hawatarudi kwenye vijia vya uzima.+

20 Basi fuata njia ya watu wema

Na ubaki kwenye vijia vya waadilifu,+

21 Kwa maana ni wanyoofu tu watakaokaa duniani,

Na wasio na lawama* ndio watakaobaki ndani yake.+

22 Lakini waovu, wataangamizwa kutoka duniani,+

Na wenye hila watang’olewa kutoka ndani yake.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki