Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 19
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 19:1

Marejeo

  • +Met 15:16; Yak 2:5
  • +Met 28:6

Methali 19:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “anayetembea haraka.”

Marejeo

  • +Ro 10:2

Methali 19:4

Marejeo

  • +Met 14:20

Methali 19:5

Marejeo

  • +Kum 19:18, 19
  • +Met 19:9

Methali 19:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mkarimu.”

Methali 19:7

Marejeo

  • +Met 14:20
  • +Mhu 9:14, 15; Yak 2:2, 3

Methali 19:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “moyo.”

  • *

    Au “anaipenda nafsi yake.”

  • *

    Tnn., “mema.”

Marejeo

  • +Met 15:32
  • +Met 2:2, 5

Methali 19:9

Marejeo

  • +Met 19:5; Ufu 21:8

Methali 19:10

Marejeo

  • +2Sa 3:24, 38, 39; Met 30:21, 22; Mhu 10:7

Methali 19:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kupita.”

Marejeo

  • +Met 14:29; 16:32; Yak 1:19
  • +Mwa 50:19-21; Mt 18:21, 22; Efe 4:32

Methali 19:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwanasimba mwenye manyoya marefu shingoni.”

Marejeo

  • +Met 16:14; 20:2; Da 2:12

Methali 19:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “msumbufu.”

Marejeo

  • +2Sa 16:21, 22
  • +Met 21:9, 19; 27:15

Methali 19:14

Marejeo

  • +Mwa 24:14; Met 18:22; 31:10

Methali 19:15

Marejeo

  • +Met 23:21; 24:33, 34; 2Th 3:10

Methali 19:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anailinda nafsi yake.”

Marejeo

  • +Met 16:17
  • +Met 15:32

Methali 19:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Atamthawabisha.”

Marejeo

  • +Kum 15:7, 8; Zb 37:25, 26; Ebr 13:16
  • +Met 11:24; Mt 5:7; Ebr 6:10

Methali 19:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwana.”

  • *

    Au “usitamani.”

Marejeo

  • +Met 13:24; 22:6, 15
  • +1Sa 3:12, 13

Methali 19:19

Marejeo

  • +1Sa 24:16-18; 26:21

Methali 19:20

Marejeo

  • +Met 4:13
  • +Kum 8:14, 16; Ebr 12:7, 11

Methali 19:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kusudi.”

Marejeo

  • +Mwa 11:6, 7; 50:19, 20; Met 21:30; Da 4:35; Mdo 5:38, 39

Methali 19:22

Marejeo

  • +Mik 6:8

Methali 19:23

Marejeo

  • +Met 14:27; Mal 3:16
  • +Met 12:21

Methali 19:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “huuzika.”

Marejeo

  • +Met 6:9-11; 15:19; 24:30, 31; 26:14, 15

Methali 19:25

Marejeo

  • +Kum 25:2
  • +Met 15:5
  • +Met 9:9; 21:11

Methali 19:26

Marejeo

  • +Kut 20:12; Law 20:9; Met 20:20; 30:17

Methali 19:28

Marejeo

  • +1Fa 21:9, 10
  • +Met 4:16, 17

Methali 19:29

Marejeo

  • +Met 9:12
  • +Met 10:13; 26:3

Jumla

Met. 19:1Met 15:16; Yak 2:5
Met. 19:1Met 28:6
Met. 19:2Ro 10:2
Met. 19:4Met 14:20
Met. 19:5Kum 19:18, 19
Met. 19:5Met 19:9
Met. 19:7Met 14:20
Met. 19:7Mhu 9:14, 15; Yak 2:2, 3
Met. 19:8Met 15:32
Met. 19:8Met 2:2, 5
Met. 19:9Met 19:5; Ufu 21:8
Met. 19:102Sa 3:24, 38, 39; Met 30:21, 22; Mhu 10:7
Met. 19:11Met 14:29; 16:32; Yak 1:19
Met. 19:11Mwa 50:19-21; Mt 18:21, 22; Efe 4:32
Met. 19:12Met 16:14; 20:2; Da 2:12
Met. 19:132Sa 16:21, 22
Met. 19:13Met 21:9, 19; 27:15
Met. 19:14Mwa 24:14; Met 18:22; 31:10
Met. 19:15Met 23:21; 24:33, 34; 2Th 3:10
Met. 19:16Met 16:17
Met. 19:16Met 15:32
Met. 19:17Kum 15:7, 8; Zb 37:25, 26; Ebr 13:16
Met. 19:17Met 11:24; Mt 5:7; Ebr 6:10
Met. 19:18Met 13:24; 22:6, 15
Met. 19:181Sa 3:12, 13
Met. 19:191Sa 24:16-18; 26:21
Met. 19:20Met 4:13
Met. 19:20Kum 8:14, 16; Ebr 12:7, 11
Met. 19:21Mwa 11:6, 7; 50:19, 20; Met 21:30; Da 4:35; Mdo 5:38, 39
Met. 19:22Mik 6:8
Met. 19:23Met 14:27; Mal 3:16
Met. 19:23Met 12:21
Met. 19:24Met 6:9-11; 15:19; 24:30, 31; 26:14, 15
Met. 19:25Kum 25:2
Met. 19:25Met 15:5
Met. 19:25Met 9:9; 21:11
Met. 19:26Kut 20:12; Law 20:9; Met 20:20; 30:17
Met. 19:281Fa 21:9, 10
Met. 19:28Met 4:16, 17
Met. 19:29Met 9:12
Met. 19:29Met 10:13; 26:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 19:1-29

Methali

19 Ni afadhali kuwa maskini na kutembea kwa utimilifu+

Kuliko kuwa mpumbavu na kusema uwongo.+

 2 Mtu asiye na ujuzi si mtu mzuri,+

Na mtu anayetenda bila kufikiri* anatenda dhambi.

 3 Ujinga wa mtu ndio unaopotosha njia yake,

Kisha moyo wake unamkasirikia vikali Yehova.

 4 Mali huwavuta marafiki wengi,

Lakini maskini ataachwa hata na rafiki yake.+

 5 Shahidi anayesema uwongo hatakosa kuadhibiwa,+

Na yule anayesema uwongo kila anapopumua hataponyoka.+

 6 Wengi hujipendekeza kwa mtu maarufu,*

Na kila mtu ni rafiki ya yule anayetoa zawadi.

 7 Ndugu wote wa mtu maskini humchukia;+

Marafiki zake humwepuka hata zaidi!+

Huwafuatia ili awasihi, lakini hakuna yeyote anayemsikiliza.

 8 Yeyote anayepata busara* anajipenda mwenyewe.*+

Yeyote anayethamini utambuzi kama hazina atapata mafanikio.*+

 9 Shahidi anayesema uwongo hatakosa kuadhibiwa,

Na yule anayesema uwongo kila anapopumua ataangamia.+

10 Mjinga hastahili kuishi maisha ya anasa;

Sembuse mtumishi kuwatawala wakuu!+

11 Ufahamu wa mtu hakika hutuliza hasira yake,+

Na ni fahari kwake kuachilia* kosa.+

12 Ghadhabu ya mfalme ni kama mngurumo wa simba,*+

Lakini kibali chake ni kama umande juu ya majani.

13 Mwana mpumbavu humletea shida baba yake,+

Na mke mgomvi* ni kama paa ambalo haliachi kamwe kuvuja.+

14 Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa akina baba,

Lakini mke mwenye busara hutoka kwa Yehova.+

15 Uvivu huleta usingizi mzito,

Na mtu mzembe atakaa njaa.+

16 Anayeshika amri anaulinda uhai wake;*+

Asiyejali njia zake atakufa.+

17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+

Naye Atamlipa* kwa anayotenda.+

18 Mtie nidhamu mtoto* wako wakati bado kuna tumaini,+

Nawe usiwajibike kwa* kifo chake.+

19 Mtu mwenye hasira kali atalipia adhabu;

Ukijaribu kumwokoa, utalazimika kufanya hivyo tena na tena.+

20 Sikiliza mashauri na ukubali nidhamu,+

Ili uwe na hekima wakati wako ujao.+

21 Moyo wa mwanadamu una mipango mingi,

Lakini shauri* la Yehova ndilo litakalodumu.+

22 Kinachomfanya mtu awe mwenye kutamanika ni upendo wake mshikamanifu;+

Na ni afadhali kuwa maskini kuliko kuwa mwongo.

23 Kumwogopa Yehova huongoza kwenye uzima;+

Yule aliye na woga huo atakuwa na pumziko jema, hatapatwa na madhara.+

24 Mvivu huutumbukiza* mkono wake katika bakuli la karamu,

Lakini hata hashughuliki kuurudisha kinywani mwake.+

25 Mpige mwenye dhihaka,+ ili mjinga awe mwerevu,+

Mkaripie mwenye uelewaji ili aongeze ujuzi wake.+

26 Yule anayemtendea vibaya baba yake na kumfukuza mama yake

Ni mwana anayeleta aibu na fedheha.+

27 Mwanangu, ukiacha kusikiliza nidhamu,

Utatangatanga mbali na maneno ya ujuzi.

28 Shahidi asiyefaa kitu hudhihaki haki,+

Na kinywa cha waovu hubugia uovu.+

29 Hukumu inawangojea wadhihaki,+

Na mgongo wa wapumbavu unangojea mapigo.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki