Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 38
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Hezekia ashikwa na ugonjwa kisha apona (1-22)

        • Wimbo wa shukrani (10-20)

Isaya 38:1

Marejeo

  • +2Nya 32:24
  • +2Fa 19:20; Isa 1:1
  • +2Fa 20:1-3

Isaya 38:3

Marejeo

  • +Ne 13:22; Zb 20:1-3; Ebr 6:10
  • +2Nya 31:20, 21

Isaya 38:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika siku zako.”

Marejeo

  • +2Fa 20:4-6
  • +Met 15:29; 1Yo 5:14
  • +Zb 39:12; 56:8
  • +Kum 32:39; 1Sa 2:6

Isaya 38:6

Marejeo

  • +2Nya 32:22

Isaya 38:7

Marejeo

  • +2Fa 20:8-11

Isaya 38:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Labda hatua hizo za ngazi zilitumiwa kuhesabu muda, kama saa ya kivuli.

Marejeo

  • +Yos 10:12, 13

Isaya 38:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Huu ni utungo wa.”

Isaya 38:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Isaya 38:11

Maelezo ya Chini

  • *

    “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Zb 6:5; Mhu 9:5

Isaya 38:12

Marejeo

  • +Zb 146:4; Mhu 8:8
  • +Ayu 17:1

Isaya 38:13

Marejeo

  • +Zb 39:10

Isaya 38:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “korongo.”

  • *

    Tnn., “Uwe dhamana yangu.”

Marejeo

  • +Zb 102:7
  • +Isa 59:11
  • +Zb 39:7
  • +Zb 39:12; 119:82, 123

Isaya 38:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kimyakimya.”

  • *

    Au “uchungu wa nafsi yangu.”

Isaya 38:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, maneno na matendo ya Mungu.

Marejeo

  • +1Sa 2:6; Ayu 33:28; Zb 71:20

Isaya 38:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uliipenda sana nafsi yangu.”

  • *

    Au “Umeziondoa dhambi zangu zote kutoka mbele ya macho yako.”

Marejeo

  • +Zb 30:3; 86:13; Yon 2:6
  • +Isa 43:25; Mik 7:18

Isaya 38:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Zb 30:9
  • +Zb 6:5; 115:17
  • +Mhu 9:5, 10

Isaya 38:19

Marejeo

  • +Mwa 18:19; Kum 4:9; Yos 4:21-24

Isaya 38:20

Marejeo

  • +Zb 30:11, 12
  • +2Fa 20:5; Zb 84:2

Isaya 38:21

Marejeo

  • +2Fa 20:7

Isaya 38:22

Marejeo

  • +2Fa 20:8

Jumla

Isa. 38:12Nya 32:24
Isa. 38:12Fa 19:20; Isa 1:1
Isa. 38:12Fa 20:1-3
Isa. 38:3Ne 13:22; Zb 20:1-3; Ebr 6:10
Isa. 38:32Nya 31:20, 21
Isa. 38:52Fa 20:4-6
Isa. 38:5Met 15:29; 1Yo 5:14
Isa. 38:5Zb 39:12; 56:8
Isa. 38:5Kum 32:39; 1Sa 2:6
Isa. 38:62Nya 32:22
Isa. 38:72Fa 20:8-11
Isa. 38:8Yos 10:12, 13
Isa. 38:11Zb 6:5; Mhu 9:5
Isa. 38:12Zb 146:4; Mhu 8:8
Isa. 38:12Ayu 17:1
Isa. 38:13Zb 39:10
Isa. 38:14Zb 102:7
Isa. 38:14Isa 59:11
Isa. 38:14Zb 39:7
Isa. 38:14Zb 39:12; 119:82, 123
Isa. 38:161Sa 2:6; Ayu 33:28; Zb 71:20
Isa. 38:17Zb 30:3; 86:13; Yon 2:6
Isa. 38:17Isa 43:25; Mik 7:18
Isa. 38:18Zb 30:9
Isa. 38:18Zb 6:5; 115:17
Isa. 38:18Mhu 9:5, 10
Isa. 38:19Mwa 18:19; Kum 4:9; Yos 4:21-24
Isa. 38:20Zb 30:11, 12
Isa. 38:202Fa 20:5; Zb 84:2
Isa. 38:212Fa 20:7
Isa. 38:222Fa 20:8
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 38:1-22

Isaya

38 Katika siku hizo Hezekia akawa mgonjwa karibu afe.+ Nabii Isaya+ mwana wa Amozi akaja na kumwambia, “Yehova anasema hivi: ‘Wape maagizo watu wa nyumba yako, kwa maana utakufa; hutapona.’”+ 2 Ndipo Hezekia akaugeuza uso wake kuelekea ukutani, akaanza kusali hivi kwa Yehova: 3 “Nakusihi, Ee Yehova, tafadhali, kumbuka+ jinsi ambavyo nimetembea mbele zako kwa uaminifu na kwa moyo kamili,+ nami nimetenda mambo mema machoni pako.” Kisha Hezekia akaanza kulia sana na kububujikwa na machozi.

4 Kisha neno la Yehova likamjia Isaya, likisema: 5 “Rudi ukamwambie Hezekia,+ ‘Yehova, Mungu wa Daudi babu yako anasema hivi: “Nimesikia sala yako.+ Nimeona machozi yako.+ Sasa ninakuongezea miaka 15 ya kuishi,*+ 6 nami nitakuokoa wewe na jiji hili kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru, nami nitalilinda jiji hili.+ 7 Hii ndiyo ishara kutoka kwa Yehova itakayokuonyesha kwamba Yehova atatimiza neno alilosema:+ 8 Nitafanya kivuli cha jua kinachoshuka kwenye ngazi* ya Ahazi kirudi nyuma hatua kumi.”’”+ Basi jua likarudi nyuma hatua kumi kwenye ngazi ambayo tayari lilikuwa limeshuka.

9 Haya ni maandishi ya* Mfalme Hezekia wa Yuda, aliposhikwa na ugonjwa na kupona ugonjwa wake.

10 Nilisema: “Katikati ya maisha yangu

Lazima niingie katika malango ya Kaburi.*

Nitanyimwa miaka yangu iliyobaki.”

11 Nilisema: “Sitamwona Yah,* Yah katika nchi ya walio hai.+

Sitawaona tena wanadamu

Nitakapokuwa pamoja na wakaaji wa mahali ambapo kila kitu hukoma.

12 Makao yangu yameng’olewa na kuondolewa kwangu+

Kama hema la mchungaji.

Nimeukunja uhai wangu kama mfumaji wa nguo;

Ananikata kabisa kama nyuzi za mtande.

Kuanzia mapambazuko mpaka usiku unaendelea kunimaliza.+

13 Nimejituliza mpaka asubuhi.

Kama simba, anaendelea kuivunja mifupa yangu yote;

Kuanzia mapambazuko mpaka usiku unaendelea kunimaliza.+

14 Ninaendelea kulia kama mbayuwayu au teleka;*+

Ninaendelea kulia kama njiwa.+

Macho yangu yanatazama kileleni kwa uchovu:+

‘Ee Yehova, ninataabika sana;

Uwe msaada wangu!’*+

15 Niseme nini?

Amezungumza nami na kutenda.

Nitatembea kwa unyenyekevu* miaka yangu yote

Kwa sababu ya mateso yangu makali.*

16 ‘Ee Yehova, kila mwanadamu anaishi kwa mambo haya,*

Na katika mambo hayo kuna uhai wa roho yangu.

Utaniponya na kunihifadhi hai.+

17 Tazama! Badala ya amani, nilikuwa na uchungu mwingi;

Lakini kwa sababu ulinipenda sana,*

Uliniokoa kutokana na shimo la maangamizi.+

Umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.*+

18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukutukuza,+

Kifo hakiwezi kukusifu.+

Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini uaminifu wako.+

19 Walio hai, walio hai wanaweza kukusifu,

Kama ninavyoweza leo hii.

Baba anaweza kuwapa wanawe ujuzi kuhusu uaminifu wako.+

20 Ee Yehova, niokoe,

Nasi tutapiga nyimbo zangu kwa vinanda+

Siku zote za maisha yetu katika nyumba ya Yehova.’”+

21 Ndipo Isaya akasema: “Leteni keki ya tini kavu zilizoshinikizwa mlipake jipu hilo, ili apone.”+ 22 Hezekia alikuwa ameuliza: “Ni ishara gani itakayonionyesha kwamba nitapanda kwenda katika nyumba ya Yehova?”+

Tanzanian sign language publications (2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki