Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 142
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya kuomba aokolewe kutoka kwa watesaji

        • “Sina mahali popote pa kukimbilia” (4)

        • “Ni wewe tu niliye nawe” (5)

Zaburi 142:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Sa 22:1; 24:3; Ebr 11:32, 38

Zaburi 142:1

Marejeo

  • +Zb 28:2; 141:1

Zaburi 142:2

Marejeo

  • +Zb 18:6; Yon 2:7; Mt 26:38, 39; Mk 15:34; Ebr 5:7

Zaburi 142:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ninapoishiwa na nguvu.”

Marejeo

  • +Zb 139:3

Zaburi 142:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “anayenitambua.”

Marejeo

  • +Zb 31:11; 69:20
  • +1Sa 23:11

Zaburi 142:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Fungu langu.”

Marejeo

  • +Met 18:10

Zaburi 142:6

Marejeo

  • +1Sa 20:33; 23:26; 25:29

Jumla

Zab. 142:utangulizi1Sa 22:1; 24:3; Ebr 11:32, 38
Zab. 142:1Zb 28:2; 141:1
Zab. 142:2Zb 18:6; Yon 2:7; Mt 26:38, 39; Mk 15:34; Ebr 5:7
Zab. 142:3Zb 139:3
Zab. 142:4Zb 31:11; 69:20
Zab. 142:41Sa 23:11
Zab. 142:5Met 18:10
Zab. 142:61Sa 20:33; 23:26; 25:29
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 142:1-7

Zaburi

Maskili.* Wa Daudi, alipokuwa pangoni.+ Sala.

142 Kwa sauti yangu ninamlilia Yehova anisaidie;+

Kwa sauti yangu ninamsihi Yehova anionyeshe kibali.

 2 Ninamwaga mahangaiko yangu mbele zake;

Mbele zake ninaeleza taabu yangu+

 3 Roho yangu inapozimia ndani yangu.*

Ndipo unapoitazama barabara yangu.+

Katika njia ninayotembea,

Wanaficha mtego wa kuninasa.

 4 Tazama upande wa mkono wangu wa kulia uone+

Kwamba hakuna yeyote anayenijali.*

Sina mahali popote pa kukimbilia;+

Hakuna yeyote anayenihangaikia.

 5 Ninakulilia unisaidie, Ee Yehova.

Ninasema: “Wewe ni kimbilio langu,+

Ni wewe tu niliye nawe* katika nchi ya walio hai.”

 6 Sikiliza kilio changu cha kuomba msaada,

Kwa maana nimeshushwa chini sana.

Niokoe kutoka kwa wale wanaonitesa,+

Kwa maana wana nguvu kuliko mimi.

 7 Nitoe katika gereza lililo chini ya ardhi

Ili nilisifu jina lako.

Waadilifu na wakusanyike kunizunguka

Kwa sababu unanitendea kwa fadhili.

Tanzanian sign language publications (2020-2026)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki