Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • lfb seh. 12
  • Utangulizi wa Sehemu ya 12

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 12
  • Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • Utangulizi wa Sehemu ya 11
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Je, Yehova Hutusikiliza?
    Msikilize Mungu Uishi Milele
  • Yesu Alifanya Nini Alipokuwa Duniani?
    Furahia Maisha Milele!​—Masomo ya Kujifunza Biblia
  • Mkaribie Mungu Kupitia Sala
    Furahia Maisha Milele!​—Masomo ya Kujifunza Biblia
Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
lfb seh. 12
Yesu akifundisha watu wazima na watoto

Utangulizi wa Sehemu ya 12

Yesu aliwafundisha watu kuhusu Ufalme wa mbinguni. Pia aliwafundisha kusali jina la Mungu litakaswe, Ufalme wake uje, na mapenzi yake yatendeke duniani. Ikiwa wewe ni mzazi, mweleze mtoto wako sala hiyo inamaanisha nini kwetu. Yesu hakumruhusu Shetani amfanye avunje ushikamanifu wake. Yesu aliwachagua mitume wake, nao wakafanyiza msingi wa Ufalme. Ona jinsi Yesu alivyokuwa na bidii kwa ajili ya ibada safi. Kwa kuwa alitaka kuwasaidia watu, Yesu aliponya wagonjwa, akalisha wenye njaa, na hata akawafanya watu wawe hai tena. Kupitia miujiza hiyo yote, alionyesha kile ambacho Ufalme utawafanyia wanadamu.

MAMBO MAKUU

  • Yesu aliwapa wafuasi wake kazi ya kuhubiri kuhusu Ufalme na kufanya wanafunzi

  • Sali kuhusu mambo yanayomhusu Yehova kabla ya kusali kuhusu mambo ya kibinafsi

  • Samehe kwa hiari kutoka moyoni, na uwatendee wengine kama unavyotaka wakutendee

    Tanzanian sign language publications (2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki