Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kutoka—Yaliyomo

      • Mabamba mapya ya mawe yatengenezwa (1-4)

      • Musa aona utukufu wa Yehova (5-9)

      • Maagizo kuhusu agano yarudiwa (10-28) (10-28)

      • Uso wa Musa watoa miale (29-35)

Kutoka 34:1

Marejeo

  • +Kum 10:1
  • +Kum 9:10
  • +Kut 32:19; Kum 9:17

Kutoka 34:2

Marejeo

  • +Kut 19:20; 24:12

Kutoka 34:3

Marejeo

  • +Kut 19:12, 13

Kutoka 34:5

Marejeo

  • +Mdo 7:38
  • +Kut 6:3; 33:19

Kutoka 34:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neema.”

  • *

    Au “fadhili zenye upendo.”

  • *

    Au “uaminifu.”

Marejeo

  • +Lu 6:36
  • +Kut 22:27; 2Nya 30:9; Ne 9:17; Zb 86:15; Yoe 2:13
  • +Hes 14:18; 2Pe 3:9
  • +Yer 31:3; Omb 3:22; Mik 7:18
  • +Zb 31:5; Ro 2:2

Kutoka 34:7

Marejeo

  • +Da 9:4
  • +Zb 103:12; Isa 55:7; Efe 4:32; 1Yo 1:9
  • +Kum 32:35; Yos 24:19; Ro 2:5; 2Pe 2:4; Yud 14, 15
  • +Kut 20:5; Kum 30:19; 1Sa 15:2

Kutoka 34:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wenye shingo ngumu.”

Marejeo

  • +Kut 33:14
  • +Kut 32:9; 33:3
  • +Hes 14:19

Kutoka 34:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuyaumba.”

Marejeo

  • +2Sa 7:23; Zb 147:19, 20
  • +Kut 33:16; Kum 10:21

Kutoka 34:11

Marejeo

  • +Kut 19:5, 6; Kum 12:28
  • +Kut 3:8; 33:2; Kum 7:1

Kutoka 34:12

Marejeo

  • +Kum 7:2
  • +Kut 23:32, 33

Kutoka 34:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Kut 23:24; Kum 12:3

Kutoka 34:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Yehova, jina langu linadai.”

  • *

    Au “nisiyevumilia washindani.”

Marejeo

  • +Kut 20:3; 1Ko 10:14; 1Yo 5:21
  • +Yos 24:19

Kutoka 34:15

Marejeo

  • +1Ko 10:20
  • +Hes 25:2; 2Ko 6:14

Kutoka 34:16

Marejeo

  • +Ezr 9:2
  • +Kum 7:4; 31:16; Amu 2:17; 8:33; 1Fa 11:2; Ne 13:26; Zb 106:28

Kutoka 34:17

Marejeo

  • +Kut 32:8; Law 19:4

Kutoka 34:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza B15.

Marejeo

  • +Law 23:6
  • +Kut 23:15

Kutoka 34:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Kila kifungua mimba.”

Marejeo

  • +Kut 13:2; Lu 2:23
  • +Kut 22:30

Kutoka 34:20

Marejeo

  • +Kut 13:15; Hes 18:15, 16

Kutoka 34:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mtashika sabato.”

Marejeo

  • +Kum 5:12

Kutoka 34:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Pia inaitwa Sherehe ya Vibanda (Mahema).

Marejeo

  • +Kut 23:16; Law 23:34

Kutoka 34:23

Marejeo

  • +Kum 16:16

Kutoka 34:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuuona uso wa.”

Marejeo

  • +Kut 34:11

Kutoka 34:25

Marejeo

  • +Kut 23:18
  • +Kut 12:10; Hes 9:12

Kutoka 34:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Matunda ya kwanza bora yaliyoiva.”

Marejeo

  • +Hes 18:8, 12; Kum 26:2; Met 3:9
  • +Kut 23:19; Kum 14:21

Kutoka 34:27

Marejeo

  • +Kut 24:4; Kum 31:9, 11
  • +Kut 24:8; Kum 4:13

Kutoka 34:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “yale Maneno Kumi.”

Marejeo

  • +Kum 9:18
  • +Kut 31:18; Kum 10:2

Kutoka 34:29

Marejeo

  • +Kut 32:15

Kutoka 34:30

Marejeo

  • +2Ko 3:7

Kutoka 34:32

Marejeo

  • +Kut 24:3; Kum 1:3

Kutoka 34:33

Marejeo

  • +2Ko 3:13

Kutoka 34:34

Marejeo

  • +2Ko 3:16
  • +Kum 27:10

Kutoka 34:35

Marejeo

  • +2Ko 3:7, 13

Jumla

Kut. 34:1Kum 10:1
Kut. 34:1Kum 9:10
Kut. 34:1Kut 32:19; Kum 9:17
Kut. 34:2Kut 19:20; 24:12
Kut. 34:3Kut 19:12, 13
Kut. 34:5Mdo 7:38
Kut. 34:5Kut 6:3; 33:19
Kut. 34:6Lu 6:36
Kut. 34:6Kut 22:27; 2Nya 30:9; Ne 9:17; Zb 86:15; Yoe 2:13
Kut. 34:6Hes 14:18; 2Pe 3:9
Kut. 34:6Yer 31:3; Omb 3:22; Mik 7:18
Kut. 34:6Zb 31:5; Ro 2:2
Kut. 34:7Da 9:4
Kut. 34:7Zb 103:12; Isa 55:7; Efe 4:32; 1Yo 1:9
Kut. 34:7Kum 32:35; Yos 24:19; Ro 2:5; 2Pe 2:4; Yud 14, 15
Kut. 34:7Kut 20:5; Kum 30:19; 1Sa 15:2
Kut. 34:9Kut 33:14
Kut. 34:9Kut 32:9; 33:3
Kut. 34:9Hes 14:19
Kut. 34:102Sa 7:23; Zb 147:19, 20
Kut. 34:10Kut 33:16; Kum 10:21
Kut. 34:11Kut 19:5, 6; Kum 12:28
Kut. 34:11Kut 3:8; 33:2; Kum 7:1
Kut. 34:12Kum 7:2
Kut. 34:12Kut 23:32, 33
Kut. 34:13Kut 23:24; Kum 12:3
Kut. 34:14Kut 20:3; 1Ko 10:14; 1Yo 5:21
Kut. 34:14Yos 24:19
Kut. 34:151Ko 10:20
Kut. 34:15Hes 25:2; 2Ko 6:14
Kut. 34:16Ezr 9:2
Kut. 34:16Kum 7:4; 31:16; Amu 2:17; 8:33; 1Fa 11:2; Ne 13:26; Zb 106:28
Kut. 34:17Kut 32:8; Law 19:4
Kut. 34:18Law 23:6
Kut. 34:18Kut 23:15
Kut. 34:19Kut 13:2; Lu 2:23
Kut. 34:19Kut 22:30
Kut. 34:20Kut 13:15; Hes 18:15, 16
Kut. 34:21Kum 5:12
Kut. 34:22Kut 23:16; Law 23:34
Kut. 34:23Kum 16:16
Kut. 34:24Kut 34:11
Kut. 34:25Kut 23:18
Kut. 34:25Kut 12:10; Hes 9:12
Kut. 34:26Hes 18:8, 12; Kum 26:2; Met 3:9
Kut. 34:26Kut 23:19; Kum 14:21
Kut. 34:27Kut 24:4; Kum 31:9, 11
Kut. 34:27Kut 24:8; Kum 4:13
Kut. 34:28Kum 9:18
Kut. 34:28Kut 31:18; Kum 10:2
Kut. 34:29Kut 32:15
Kut. 34:302Ko 3:7
Kut. 34:32Kut 24:3; Kum 1:3
Kut. 34:332Ko 3:13
Kut. 34:342Ko 3:16
Kut. 34:34Kum 27:10
Kut. 34:352Ko 3:7, 13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Kutoka 34:1-35

Kutoka

34 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Jichongee mabamba mawili ya mawe kama yale ya kwanza,+ nami nitaandika kwenye mabamba hayo maneno yaliyokuwa kwenye yale mabamba ya kwanza+ uliyoyavunja.+ 2 Jitayarishe kwa ajili ya asubuhi, kwa maana asubuhi utapanda Mlima Sinai na kusimama huko mbele zangu juu ya mlima huo.+ 3 Lakini mtu yeyote asipande pamoja nawe, na mtu mwingine yeyote asionekane popote mlimani. Hata mifugo haipaswi kulisha mbele ya mlima huo.”+

4 Basi Musa akachonga mabamba mawili ya mawe kama yale ya kwanza, akaamka asubuhi na mapema na kupanda Mlima Sinai, kama Yehova alivyomwamuru, akayabeba yale mabamba mawili ya mawe mikononi mwake. 5 Ndipo Yehova akashuka+ katika wingu na kusimama pamoja naye huko na kutangaza jina lake, Yehova.+ 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+ 7 ninawatendea maelfu kwa upendo mshikamanifu,+ ninasamehe makosa na uovu na dhambi,+ lakini sikosi kamwe kuwaadhibu wenye hatia,+ ninawaadhibu wana na wajukuu kufikia kizazi cha tatu na cha nne kwa sababu ya makosa ya baba zao.”+

8 Musa akainama haraka mpaka chini na kusujudu. 9 Kisha akasema: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako, Ee Yehova, sasa tafadhali, Yehova, nenda pamoja nasi uwe kati yetu,+ ingawa sisi ni watu wakaidi,*+ utusamehe makosa yetu na dhambi zetu,+ nawe utuchukue kuwa mali yako mwenyewe.” 10 Naye akasema: “Tazama, ninafanya agano: Nitafanya mbele ya watu wako wote mambo yanayostaajabisha ambayo sijawahi kamwe kuyafanya* katika dunia yote wala kati ya mataifa yote,+ na watu wote mnaoishi miongoni mwao wataona kazi yangu mimi, Yehova, kwa sababu nitafanya jambo linaloogopesha kwa ajili yenu.+

11 “Sikilizeni mambo ninayowaamuru leo.+ Tazama, ninawafukuza Waamori, Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi+ kutoka mbele yenu. 12 Muwe waangalifu msifanye agano na wakaaji wa nchi mnayoenda kuingia,+ ili agano hilo lisiwe mtego kwenu.+ 13 Lakini mtabomoa madhabahu zao, mtazivunjavunja nguzo zao takatifu, na kuikata miti yao mitakatifu.*+ 14 Msimwinamie mungu mwingine,+ kwa sababu mimi Yehova ninajulikana kuwa Mungu ninayetaka* watu waniabudu mimi peke yangu.* Naam, mimi ni Mungu ninayetaka watu waniabudu mimi peke yangu.+ 15 Muwe waangalifu msifanye agano na wakaaji wa nchi, kwa maana wanapofanya ukahaba na miungu yao na kuitolea dhabihu,+ mmoja wao atawaalika nanyi mtakula dhabihu yake.+ 16 Kisha kwa hakika mtawachukua baadhi ya mabinti wao ili waolewe na wana wenu,+ na mabinti wao watafanya ukahaba na miungu yao na kusababisha wana wenu wafanye ukahaba na miungu yao.+

17 “Hampaswi kutengeneza miungu ya chuma.+

18 “Mnapaswa kuadhimisha Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Mtakula mikate isiyo na chachu, kama nilivyowaamuru; mtaila kwa siku saba wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,*+ kwa sababu mlitoka Misri katika mwezi wa Abibu.

19 “Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume* ni wangu,+ kutia ndani mifugo yenu yote, iwe ni ng’ombe dume wa kwanza au kondoo.+ 20 Mtamkomboa mzaliwa wa kwanza wa punda kwa kondoo. Lakini msipomkomboa, basi mtamvunja shingo. Mnapaswa kumkomboa kila mzaliwa wenu wa kwanza kati ya wana wenu.+ Mtu yeyote asije mbele zangu mikono mitupu.

21 “Kwa siku sita mtafanya kazi, lakini siku ya saba mtapumzika.*+ Mtapumzika hata wakati wa kulima na wa kuvuna.

22 “Nanyi mtafanya Sherehe yenu ya Majuma kwa kutumia mavuno ya kwanza ya ngano iliyokomaa, na pia Sherehe ya Kukusanya* mwishoni mwa mwaka.+

23 “Mara tatu kwa mwaka, wanaume wenu wote wanapaswa kwenda mbele za Bwana wa kweli, Yehova, Mungu wa Israeli.+ 24 Kwa maana nitayafukuza mataifa kutoka mbele yenu,+ nami nitapanua eneo lenu, na hakuna mtu atakayetamani nchi yenu mtakapokuwa mkipanda kwenda mbele za* Yehova Mungu wenu mara tatu kwa mwaka.

25 “Hampaswi kutoa damu ya dhabihu yangu pamoja na kitu chochote kilichotiwa chachu.+ Dhabihu ya sherehe ya Pasaka haipaswi kuhifadhiwa usiku kucha mpaka asubuhi.+

26 “Mazao bora ya kwanza yaliyokomaa* ya ardhi yenu mnapaswa kuyaleta katika nyumba ya Yehova Mungu wenu.+

“Msimchemshe mwanambuzi katika maziwa ya mama yake.”+

27 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Unapaswa kuandika maneno haya,+ kwa sababu kulingana na maneno haya, ninafanya agano pamoja nawe na pamoja na Israeli.”+ 28 Musa akaendelea kukaa huko pamoja na Yehova kwa siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala kunywa maji.+ Naye Mungu aliandika kwenye yale mabamba, maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+

29 Basi Musa akashuka Mlima Sinai akiwa amebeba mikononi yale mabamba mawili+ ya Ushahidi. Aliposhuka mlimani, Musa hakujua kwamba ngozi ya uso wake ilikuwa ikitoa miale kwa sababu alikuwa ameongea na Mungu. 30 Haruni na Waisraeli wote walipomtazama Musa, waliona kwamba ngozi ya uso wake ilikuwa ikitoa miale, wakaogopa kumkaribia.+

31 Lakini Musa akawaita, kwa hiyo Haruni na wakuu wote wa kusanyiko wakamkaribia, naye Musa akaongea nao. 32 Baada ya hayo Waisraeli wote wakamkaribia, naye akawapa amri zote alizopewa na Yehova kwenye Mlima Sinai.+ 33 Musa alipomaliza kuongea nao, alikuwa akiufunika uso wake kwa kitambaa.+ 34 Lakini kila mara Musa alipoingia ndani mbele za Yehova ili kuongea naye, alikivua kitambaa hicho lakini alijifunika alipotoka nje.+ Alipotoka nje aliwajulisha Waisraeli amri zote alizopewa.+ 35 Nao Waisraeli waliona kwamba ngozi ya uso wa Musa ilitoa miale; basi Musa alijifunika tena kitambaa hicho usoni alipotoka na kukivua alipoingia kuzungumza na Mungu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki